Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
HIVI NI KWELI DENI LA TAIFA LIMEFIKA TRILLIONI 91.?
Uko Twitter na Jamii forum kuna watu washaanza kumsingizia Hayati Rais Magufuli, sasa niliweke sawa jambo hili, baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli,Waziri wa fedha alitoa taarifa kuhusu deni la Taifa nami nanukuu;-
"Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo amewasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.
Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hadi Aprili 2022, deni la Serikali lilikuwa shilingi trilioni 69.44 ikilinganishwa na shilingi trilioni 60.72 kipindi kama hicho mwaka 2021."
Shame on you mnaemsingizia Marehemu.
Uko Twitter na Jamii forum kuna watu washaanza kumsingizia Hayati Rais Magufuli, sasa niliweke sawa jambo hili, baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli,Waziri wa fedha alitoa taarifa kuhusu deni la Taifa nami nanukuu;-
"Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo amewasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.
Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hadi Aprili 2022, deni la Serikali lilikuwa shilingi trilioni 69.44 ikilinganishwa na shilingi trilioni 60.72 kipindi kama hicho mwaka 2021."
Shame on you mnaemsingizia Marehemu.