Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Mliamua hadi kuwatoa kina hasnat hanje gerezani usiku na kuwaapisha kwenye corridor za bungeTunataka Fedha za Miradi kutoka IMF…hizi picha ni muhimu sana kwa Comrade Mwigulu Nchemba kwny kukamilisha project paper
'Demokrasia imeimarishwa sana katika kipindi hiki ikiwemo kuruhusu mikutano ya Siasa ( angalia kimbatisho)'
Tunawashukuru sana wana maridhiano wenzetu wa upande wa pili kwa kazi hii
Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm.Bara hakuna upinzani ni zogo tu
Hapa ndio unaona umecheza mind game ya hatari?!Tunataka Fedha za Miradi kutoka IMF…hizi picha ni muhimu sana kwa Comrade Mwigulu Nchemba kwny kukamilisha project paper
'Demokrasia imeimarishwa sana katika kipindi hiki ikiwemo kuruhusu mikutano ya Siasa ( angalia kimbatisho)'
Tunawashukuru sana wana maridhiano wenzetu wa upande wa pili kwa kazi hii
sasa ulitaka afie Gerezani ?Mliamua hadi kuwatoa kina hasnat hanje gerezani usiku na kuwaapisha kwenye corridor za bunge
Tunahitaji maridhiano kwa faida ya Nchi yetu japo Wahafidhina pia tunajua wapo na wanachukizwa na hiloHapa ndio unaona umecheza mind game ya hatari?!
Kwahiyo ili asifie gerezani ilibidi atolewe usiku? Mbona babu seya alitolewa mchana japo alikuwa na case ya ulawiti????sasa ulitaka afie Gerezani ?
Kwahiyo ili asifie gerezani ilibidi atolewe usiku? Mbona babu seya alitolewa mchana japo alikuwa na case ya ulawiti????
Hamna maridhiano yoyote bali utapeli mtupu.Tunahitaji maridhiano kwa faida ya Nchi yetu japo Wahafidhina pia tunajua wapo na wanachukizwa na hilo
Mbowe na Rais watasimama imara kufanikisha
sio huko tu hata CCM kuna wahafidhina wa kupinga maridhianoHamna maridhiano yoyote bali utapeli mtupu.
Jioni tunakunywa Kahawa SheikhEbu chukua kikombe cha maji unywe angalau akili itulie
Hao watu Huwa wanakuja kuwashangaa tuu,waambie wakapige kura au kuandamana kama utawaonaAmini nawaambia kabisa kuwa CCM siyo wajinga kiasi hicho.
Kama watawala wanafuatilia mikutano ya CHADEMA kuhusu katiba mpya naamini wanalo jambo moyoni mwao.
Siamini kama watakuwa tayari kukubali kupitisha katiba mpya ya kweli kwa nia safi kabisa.
Mikutano yote ya CHADEMA imekuwa na mutikio chanya wa wananchi wasomi na kina maamuuma.
Inaonyesha sasa watanzania wameanza kuelewa maana ya upinzani na wapo tayari kuitupilia mbali CCM.
Hapa ni Mpanda ambako CCM huwa inajivunia kupata wapiga kura wengi kila uchaguzi.
hahahahaaNajua sukuma gang mkiona nyomi kama hiyo kwenye mikutano ya cdm mnahara