Sawa chawaHuo umati utawaadhibu kwenye sanduku la kura. Wamekuja mkutanoni kuwakariri sura ili kwenye karatasi ya kura wasije kukosea kuwapigia kura. Tangu 1995 huo umati unawaadhibu wapinzani. Mama Samia hadi sasa ana kura zote za BAWACHA, bodaboda na kina mama wote wa VICCOBA.
Babu unaweza kuwa na katiba mpya lkn bila kuwa na utawala uliodhamilia kuheshimu hiyo katiba utaambulia patupu.Tume kama haipo huru haiwezi kutumia electronic devices au wataharibu mfumo ili kukipa ushindi chama tawala .
Matatizo ya tume ni ya kikatiba . Suluhusho ni katiba tu
Tunajua kuwa ni majambazi wa kura
Katiba inayotoa madaraka makubwa sana tena sana kwa mhimili mmoja pekee matokeo yake ni lazima yawe kama ulivyosema !! Hata Mwalimu aliyatabiri hayo !! Kinachotakiwa ni Katiba mpya BORA !Babu unaweza kuwa na katiba mpya lkn bila kuwa na utawala uliodhamilia kuheshimu hiyo katiba utaambulia patupu.
Tazama alivyofanya madudu Jiwe kipindi cha utawala wake kwa kutoheshimu katiba iliyopo.
Unadhani CCM itakubali kuwa na tume huru?Tume kama haipo huru haiwezi kutumia electronic devices au wataharibu mfumo ili kukipa ushindi chama tawala .
Matatizo ya tume ni ya kikatiba . Suluhusho ni katiba tu
Ccm haiwezi kubali chohote ambacho inaona kitaipotezea uhuru wa kufanya mambo yake. Hilo lipo waziUnadhani CCM itakubali kuwa na tume huru?
Katiba mpya ni kwa ajili ya mimi na wewe na vizazi vyetu.Hivi katiba mpya ni kwa ajili ya chadema au kwa ajili ya wananchi?
Au Chadema mnahisi kukiwepo na katiba mpya ndo itakuwa rahisi kwenu kushika DOLA?
Chadema inaamini kuwa wananchi wana muamko wa kutosha kupinga madudu yanayofanywa serikalini. Ila jitihada zao zinazuiwa na uwepo wa katiba mbovu.Maana nachoona hapa ni upiganiwaji wa kuchukua Dola na si kwa maslahi mapana ya Taifa.
CHADEMA anaombea kuwepo na katiba mpya huku akiamini ndo itakuwa rahisi kwa yeye kuchukua nchi, CCM naye anahofia katiba mpya akihisi ndo itakuwa upenyo wa yeye kupoteza madaraka.
Ila ukifatialia kwa ndani utagundua hii vita ya katiba ni vita ya wanasiasa kuhombania kupata madaraka mwananchi anatumika kama kiunganishi tu kufika nchi ya ahadi.
Kama kuna mtu anaamini uwepo wa katiba mpya ndo utaleta mabadiliko chanya kwa taifa hili anajidanganya maana katiba mpya inaweza kuwepo na viongozi wakashindwa kuiheshimu wakaendelea kuikanyaga na hakuna kitakochotokea.
Mm ningeona mikutano hii ya katiba mpya inafaa endapo mijadala yake ingefokasi zaidi katika maendeleo yatakayotokana na katiba na si kwa sababu ya kuchukua dola.
Ccm wamebakia madarakani kwa 62 yrs kwa kutumia mapungufu ya katiba tuliyo nayo.Chadema inaamini kuwa wananchi wana muamko wa kutosha kupinga madudu yanayofanywa serikalini. Ila jitihada zao zinazuiwa na uwepo wa katiba mbovu.
Wanacholalamikia chadema kina mashiko kwa mtu yoyote mwenye akili timamu.
Kwani kukiwa na tume huru ya uchaguzi kwa mfano, Ccm inaogopa nini kama wanajiamini wana wanafuasi wengi?
Jibu zuri sana kwa huyo mhafidhinaKatiba mpya ni kwa ajili ya mimi na wewe na vizazi vyetu.
Chadema wanaweza wasishieke dola hata kama katiba mpya itakuja ila m8mi na wewe tutasalimika na utawala guu wa kifalme ambao the elites wanaonekana kutoka kwenye circle moja
Ndugu yangu mtanzania elewa kuwa kuparikana kwa katiba mpya ni haki ya kila mtanzania.Maana nachoona hapa ni upiganiwaji wa kuchukua Dola na si kwa maslahi mapana ya Taifa.
CHADEMA anaombea kuwepo na katiba mpya huku akiamini ndo itakuwa rahisi kwa yeye kuchukua nchi, CCM naye anahofia katiba mpya akihisi ndo itakuwa upenyo wa yeye kupoteza madaraka.
Ila ukifatialia kwa ndani utagundua hii vita ya katiba ni vita ya wanasiasa kuhombania kupata madaraka mwananchi anatumika kama kiunganishi tu kufika nchi ya ahadi.
Kama kuna mtu anaamini uwepo wa katiba mpya ndo utaleta mabadiliko chanya kwa taifa hili anajidanganya maana katiba mpya inaweza kuwepo na viongozi wakashindwa kuiheshimu wakaendelea kuikanyaga na hakuna kitakochotokea.
Mm ningeona mikutano hii ya katiba mpya inafaa endapo mijadala yake ingefokasi zaidi katika maendeleo yatakayotokana na katiba na si kwa sababu ya kuchukua dola.
Wapo wasiojielewa wanadhani Katiba mpya ni kwa ajili ya Chadema kushika madaraka !! Ujinga ni mzigo mzito !!Ndugu yangu mtanzania elewa kuwa kuparikana kwa katiba mpya ni haki ya kila mtanzania.
Inalinda uhuru wako na wala siyo lazima kuipeleka cdm ikulu.
Jitahidini kuwaunga mkono cdm ili watuletee hiyo nafasi ya kupatiwa katiba mpya
Sina shida na uwepo wajinga , inawezekana tutakuja kuwa werevu hapo mbele ya safari!! Kinachinisumbua ni jitihada za wazi kabisa za watawala kutufanya tuendelee kuwa wajinga !!!Wapo wasiojielewa wanadhani Katiba mpya ni kwa ajili ya Chadema kushika madaraka !! Ujinga ni mzigo mzito !!
Kenya walipata katiba mpya nini kimeendelea, sipingi katiba mpya but maendeleo ni mind set kama unahisi katiba itakuletea ugali au itakusomeshea watt unajidanganya. Inshort ni wanasiasa wanatafuta ni vipi wafanikishe malengo yao kwa kupitia mgongo wa katiba mpya.Ndugu yangu mtanzania elewa kuwa kuparikana kwa katiba mpya ni haki ya kila mtanzania.
Inalinda uhuru wako na wala siyo lazima kuipeleka cdm ikulu.
Jitahidini kuwaunga mkono cdm ili watuletee hiyo nafasi ya kupatiwa katiba mpya