Kwa Mzozo huu wa Congo DR na Rwanda nani ananibishia kuwa EAC haiendi kufa na Wazungu kufurahia?


Ndio muungano ndio nguvu yenyewe kuanzia kiuchumi na kijamii, ndio maana EAC inajitanua kila leo Congo iko EA , sudan ndani, somalia ndani baadae tutaihitaji ethiopia, eritria na djbout hapo tutabaki tunalilia kanda sasa ziungane SADC, EAC , COMESA, ECOWAS na kadhalika zije pamoja tuingie ndani ya AU iliyo kamili na kuondoa vikwazo kwa watu wa Africa lakini wavurugaji kama kagame wanatakiwa kuonywa sana maana wanatamaa za kupita kiasi
 
Na haya maugomvi yenu ya kijinga jinga mnawasingizia wazungu??
Hamna akili.
 

Ovious kila nchi inambinu za kusafirisha silaha zake lakini kwa baadhi njia ya maji ni common ndio unakuja hiyo ya midege mikubwa ya kijeshi kubeba silaha lakini napo ni sawa na silaha za maonesho ya jwtz kamwe hawaoneshi kila kitu kuna akiba kubwa iko kwenye maghala huko na makamanda wako well trained kwa matumizi ya silaha mpya kila wakati hivo sio kinyonge
 
Ndio Maana nimesema Silaha anazopitisha TZ au Kenya Ni zile Common.PK Ni mwanajeshi so anajua anachokifanya Maana Kama sisi layman tunaelewa haya, nadhani yeye anajua zaidi.
 
Rekebisha hii sentesi yako kwanza, Museven si kwamba hawezi kuipiga Tanzania kwa sababu hizo ulizoeleza hapo Bali uwezo huo hana.

Waunde Alliance Kagame na Museven kupigana na Tanzania cha kwanza tutaifuta Rwanda kwenye ramani ya dunia Pili tutamuondowa Museven madarakani na kumuweka Rais mwingine Uganda.

Huu ujinga wawafanyie Wacongo Man walioinvest kucheza Kwasakwasa tu, maana hata Che Guevara aliachana nao baada ya kuwaona wanaendekeza pombe, umalaya na kwasakwasa tu akaona hapa hakuna wanamapinduzi, akaondoka zake akarudi Dar akamuaga Nyerere akarejea Cuba.
 
Ndio Maana nimesema Silaha anazopitisha TZ au Kenya Ni zile Common.PK Ni mwanajeshi so anajua anachokifanya Maana Kama sisi layman tunaelewa haya, nadhani yeye anajua zaidi.

Sisi raia wa kawaida ambao hatuna hata mafunzo ya kijeshi yoyote tunafahamu kidogo sana mambo ya silaha na vita lakini PK ni mbobezi na hakuna mtu msiri kama PK kwenye medani yuko vizuri pamoja na ujinga wake
 
Ninakubaliana nawe hapa mkuu, ni hatari sana.
 
hahahaha
 
hahahaha,juzi kati wakati felix anabadili majenerali ,nini ilikua maoni yako?
 
Umeandika kitu kwa Jicho la Tai Hasa Diplomasia lakini na medeni za uchumi kwa ustawi wa Jumuiya Yetu.. Wengi mmekulupuka pasi na kumwelewa mtoa hoja..
 
Bila ile conflict Rwanda itakuwa bankrupt, maana wanavyowapa silaha wale M23 ni kwa ajili ya kuvuruga usimamizi na kuwezesha uchotwjicwa madini kwenda Rwanda, hii conflict ndio uti wa mgongo wa uchumi wa Rwanda, bila hii vita Reanda itafilisika, hawawezi kukubali vita iishe
 
hahahaha,juzi kati wakati felix anabadili majenerali ,nini ilikua maoni yako?
Huenda alikuwa anajaribu kutafuta akili mbadala..

Kuna wakati raia wa Drc walimuona Kabila kama dhaifu na ameshindwa kukabili tatizo la ukosefu wa usalama na wengine kumuita kibaraka wa Rwanda na Uganda ila nadhani Sasa wameshapata majibu kuwa Kabila hakuwa sehemu ya tatizo ila hata yeye alipambana Sana kukabili tatizo.
 
Umeandika kitu kwa Jicho la Tai Hasa Diplomasia lakini na medeni za uchumi kwa ustawi wa Jumuiya Yetu.. Wengi mmekulupuka pasi na kumwelewa mtoa hoja..
Asante Mkuu na labda nikuambie tu kuwa GENTAMYCINE sijawahi hata Siku Moja kueleweka na Wapumbavu kadhaa ( kama siyo wengi ) hapa, ila huwa naeleweka vyema na upesi na Watu Intelligent ( Brainy ) kama Wewe na Wengine wachache sana.
 
Hopeless Rwanda inaiba Madini ya Congo DR peke yake? Una uhakika kuwa Tanzania yako nayo hawaibi ( japo wanajificha katika Mgongo wa Kuwasaidia ) Congo DR Kijeshi na Kiusalama?

Kama Rwanda inaiba Madini ya Congo DR na je, zile Ndege za Ufaransa, Ubelgiji, Italy, Marekani na Afrika Kusini huwa zinabeba Makende yako 24/7 Kusafirisha Makwao? Huwa mnazishambulia hizi nchi kama mnavyoishambulia Kutwa Rwanda?

Wanafiki na Wapumbavu wakubwa.
 
Kwani Rwanda akiiba hayo madini anabaki nayo?, si anawateja wake wakubwa hao uliowataja wenye ndege zao hapo?
 
Suluhisho kikosi kazi kiingie misitu ya Congo Munusco ikapumzike imeshindwa Jukumu


Atajulikana anayewatuma wale waaasi

Inachosha Africa ya Waasi na makundi yanayotajwa ya kigaidi na jihadi zao za Kwenye machimbo ya Madini na Mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…