Kwa namna Watanzania masikini wanavyohangaika kupata chakula Rais Samia mfute kazi ya uwaziri Hussein Bashe

Kwa namna Watanzania masikini wanavyohangaika kupata chakula Rais Samia mfute kazi ya uwaziri Hussein Bashe

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Sasa hivi ni kipindi cha mavuno hasa ya mpunga lakini chakula kipo bei ya juu.

Huyu waziri mwenye dhamana ya chakula amefeli

Mahindi yanauzwa vijijini debe elfu ishirini.

Waziri makini lazima angekuwa makini kulinda walaji wa ndani. Hata nchi kama Usa haiwezi kuexport chakula hovyo bila kuwa na plan ya kulinda walaji wa ndani.

Bashe amefeli kuwa waziri wa Chakula
 
Mazao Sio Mali ya serikali Bashe yupo sahihi.
Kuzuia kuuza nje chakula ni kuzidi kuongeza tatizo la ajira nchini.
Kilimo kikilipa bodaboda na machinga watapungua mijini.
Bodaboda na machinga ni wengi kuliko idadi ya wateja wao.
Mtaa upasao kuwa na bodaboda 5 kwa mgawanyo wa abiria una bodaboda 30 wanapokonyana abiria, kilimo kikilipa watapungua mijini kwenda shamba kulima.
Acheni gari za Kenya zimwage pesa shambani watu wawe na maendeleo,gunia la mahindi ilifikia laki 20 Leo elf 40 nani ataingia shamba kulima Tena msimu ujao.
Ishu ya chakulaa ni kupromote uzalishaji mapori yamejaa na Sio kuwanyima wakulima haki ya kuuza popote watakapo.
 
Kila kitu kilipangwa na kimetokea jinsi walivyotaka itokee, njaa imetengenezwa kwa makusudi wanakuja kuzuia chakuka kuuzwa nje wakati kilishaisha siyo kwa bahati mbaya ni satanic plan to depopulate the World, pure evil!
 
Wamezuia Sasa vyakula vitashuka bei ila ni maumivu makubwa kwa wafanyabiashara na wakulima
 
Sasa hivi ni kipindi cha mavuno hasa ya mpunga lakini chakula kipo bei ya juu.

Huyu waziri mwenye dhamana ya chakula amefeli

Mahindi yanauzwa vijijini debe elfu ishirini.

Waziri makini lazima angekuwa makini kulinda walaji wa ndani. Hata nchi kama Usa haiwezi kuexport chakula hovyo bila kuwa na plan ya kulinda walaji wa ndani.

Bashe amefeli kuwa waziri wa Chakula
Usikute wewe ulie andika msimu wa mvua umepita na hujalima hata mchicha au tembele hapo nje kwako.
 
mkulima hana ruzuku, hana uwezo wa kukopesheka zaidi propaganda na huyo ndiyo anatakiwa kulisha taifa! nchi masikini kama yetu inabidi iruhusu soko huria la mazao kilimo ni biasha na lazima mkulima anufaike nacho. hutaki kufungua mipaka toa ruzuku kwa wakulima watoto wao wapate elimu bora, huduma bora za afya n.k. siasa italiangamiza taifa... mpaka leo maji hakuna watu wanakunywa tope halafu mkulima analaumiwa kuwauzia wakenya mazao yake wtf.
 
Sasa hivi ni kipindi cha mavuno hasa ya mpunga lakini chakula kipo bei ya juu.

Huyu waziri mwenye dhamana ya chakula amefeli

Mahindi yanauzwa vijijini debe elfu ishirini.

Waziri makini lazima angekuwa makini kulinda walaji wa ndani. Hata nchi kama Usa haiwezi kuexport chakula hovyo bila kuwa na plan ya kulinda walaji wa ndani.

Bashe amefeli kuwa waziri wa Chakula
Tuko kwenye free market ndugu yangu , Soko ndio linaamua Bei , kifupi Supply na Demand ndio zinazoleta Bei kuwa ndogo or Kubwa. Piya elitakiwa umpe lawama sio Kwa Bei zimeoanda, Ila Kwa serikali kushindwa kuwasadia wakulima kupunguza gharama za za uzalishaji, Leo Hii kilimo kimekuwa Cha gharama kubwa, Mbegu zipo Juu, Disiel Zipo Juu, Viwatilifu vipo Juu, mbolea Bado Bei zake sio rafiki, Kilimo chetu kinategemea mvua hatuna mifumo na miundo mbinu ya umwagiliaji.
 
Kama imeshindwa kuishi Mjini Rudi kijijini acha kulalamika, Bei zote zinatokana soko, Hata Leo Hii serikali ikizuia , ila ikifika Desemba mwaka huu utanunua Debe Tshs 50,000/ Cha msingi shauri viongozi wako wawe na sera , na watumie wataalam kwenye kubuni Mipango ya Kilimo, Bila kuangalia Nini kinatakiwa kufanyika itakuwa ni story tu Kila mwaka, Tunawakulima Wasomi wenye experience kwenye field Wana majibu ya haya matatizo yetu.
 
Tumekuwa wapumbavu sana kwene hii nchi,
Kukosa maono na mipango ya mda mrefu ndo kunatufikisha hapa.
Yaan nchi ambayo tuna zaidi ya asilimia 70 ya ardhi ambayo haitumiki na ingeweza kufaa kwa kilimo.. tukazalisha mpk tukawa na surplus ya kuuzia majirani... ila bado tunawaza kipumbavu na kimaskini kwa ajili ya njaa ya mda mfupi.
Waziri bashe nadhani ndo waziri mwenye maono na anaetaka kuisaidia hii nchi kwa dhati..
Yaan badala ya kuhangaikia mbolea na pembejeo zingine zipungue gharama, kuwatafutia masoko wakulima ili wazalishe kwa wingi tupate na surplus ya kuuza nje, unazuia ili wapate hasara ili msimu unaokuja washindwe zaidi.... kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa
Though tunaweza kuelewa kwamba dunia inapitia kipindi kigumu, food security imekuwa changamono lakini kufunga mipaka sio suluhisho
 
Sasa hivi ni kipindi cha mavuno hasa ya mpunga lakini chakula kipo bei ya juu.

Huyu waziri mwenye dhamana ya chakula amefeli

Mahindi yanauzwa vijijini debe elfu ishirini.

Waziri makini lazima angekuwa makini kulinda walaji wa ndani. Hata nchi kama Usa haiwezi kuexport chakula hovyo bila kuwa na plan ya kulinda walaji wa ndani.

Bashe amefeli kuwa waziri wa Chakula
Hao wanaohangaika kupata chakula ni wavivu na wezi inabidi wakamatwe Kisha wafungwe
 
Back
Top Bottom