much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Njaa inakupa hasira sana pole mkuu kama vipi olewa upunguze ukali wa maishaPumbavu huna akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa inakupa hasira sana pole mkuu kama vipi olewa upunguze ukali wa maishaPumbavu huna akili
Unaliwa kibogaNjaa inakupa hasira sana pole mkuu kama vipi olewa upunguze ukali wa maisha
Watu kama wewe ndo mnaliwa maana huwezi vumilia njaa na akati tundu unaloUnaliwa kiboga
Unatafuta bwana kwa nguvuWenye kama wewe ndo mnaliwa maana huwezi vumilia njaa na akati tundu unalo
Wapi hauksmatiki? Nipo kilombero mchele bei nzuri sanaMchele haukamatiki
Kazi ya Waziri sio kumlinda mlaji, Mlaji anawajibu wa kutafuta hicho Chakula Kwa gharama zake, Kazi ya Waziri sio kuwafilisi wakulima wasiuze Mazao Yao Eli yashuke Bei, Tupo kwenye Soko huria Wewe piya Unaruhusiwa kufungua Huo Uchumi Wako ulio Ukalia, Unaweza kwenda nawewe Kulima Kama unaona Wanaolima wanafaidi, Hivi Nyie Mbwa mnajuwa Gharama za Kilimo? Unazifahamu changamoto za kilimo? Au nyie ndio wale kwenye Ule Mpango wa Watu wa Magharibi na mambo yenu Ya UPNDI?? Lakini hizi NGO na Vikundi vyenu vya Mambo ya Upindi wanawapa Hela mzitumie Kununua Chakula.Sasa hivi ni kipindi cha mavuno hasa ya mpunga lakini chakula kipo bei ya juu.
Huyu waziri mwenye dhamana ya chakula amefeli
Mahindi yanauzwa vijijini debe elfu ishirini.
Waziri makini lazima angekuwa makini kulinda walaji wa ndani. Hata nchi kama Usa haiwezi kuexport chakula hovyo bila kuwa na plan ya kulinda walaji wa ndani.
Bashe amefeli kuwa waziri wa Chakula
Wewe unalia njaa ndo inabidi apate bwanaUnatafuta bwana kwa nguvu
USA hawawezi kufanya hivyo kwa kuwa wakulima walipewa ruzuku katika pembejeo ili kurahisisha uzalishaji.Sasa hivi ni kipindi cha mavuno hasa ya mpunga lakini chakula kipo bei ya juu.
Huyu waziri mwenye dhamana ya chakula amefeli
Mahindi yanauzwa vijijini debe elfu ishirini.
Waziri makini lazima angekuwa makini kulinda walaji wa ndani. Hata nchi kama Usa haiwezi kuexport chakula hovyo bila kuwa na plan ya kulinda walaji wa ndani.
Bashe amefeli kuwa waziri wa Chakula