Sukuma gang buana acheni mama na team yake waupige mwingiSamia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
kwaiyo yule sukuma mwenzenu Kale man ndio alikuwa smart Sana??! Ukabila na udini unawasumbua wapuuzi nyie,Yeyote anayesema kuwa makamba ni smart sana atakuwa ni mtu ambaye kichwani mwake kuna tui la nazi tu. Afadhali ukasema kuwa makamba ni mtu mzuri sana, lakini siyo mtu smart sana.
Kwaiyo alirudishwe msukuma mwenzenu???Hatuna imani na waziri mwenye dhamanaβ¦
Samia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Pumba tupu hizi. Mimi nimesema kuwa yule anayamini kuwa Makamba ni smart sana atakuwa na mpungufu makubwa ya akili; kama wewe unaamini hivyo basi ni kweli una mapungufu makubwa ya akili kwani hata jibu hili ulilotoa linaonyesha kuwa kichwani mwako hamna kitu.kwaiyo yule sukuma mwenzenu Kale man ndio alikuwa smart Sana??! Ukabila na udini unawasumbua wapuuzi nyie,
Mnataka Rais awasikilize wakati kutwa mnamtukana
Thanks, inadhihirisha kwamba kumbe hujui hata unachoongea...Imefanya nini
Hiyo ni ajenda nyingine sasa!Hawezi akawasikiliza nyie wapuuzi ambao kutwa mnamtukana humu wewe na timu wasukuma wenzio
Lini amekuambia zimekufa?Yaani anahujumiwa vipi wakati kapangua kila kitu na ameunda timu yake. Si huyu huyu aliyesema mashine zimetumika mfululizo kwa hiyo ye alipoingia tu zikafa.
Hamna cha Ameondolewa vs akateuliwa.Hana Ushaidi wowote zaidi ya majungu tu,chuki yao kubwa ni kwa Makamba kuwa waziri, na pia kwa msukuma mwenzao kutolewa uwaziri,
Miundombinu ya Tanesco muda mrefu haijafanyiwa service
Sio tu wanasiasa no Wataalam wa kila kitu....!Karibu kila mtanzania wa mitandaoni ni mwanasisa.Na baadhi ni washauri wa Rais kuhusu nani afukuzwe kazi na nani ateuliwe
Huu ukosefu wa majukumu umekuwa kidonda sugu kwenye maisha ya kila siku ya watanzania wa mitandaoni.
Atakula mpaka vile vyuma vya kutundikia nyama na yale magogo ya kucharangia mifupa πππFisi kupewa bucha unategemea nini..
Halafu jambo la ajabu kwamba huu upuuzi wanaoushangilia in the end na wao wanakuwa victims of the situation. Basi at least wao wangekuwa exempted kwenye haya madhila tungewaona wa maanaCCM sijui lini mtakuwa na akili za kijitambua vitu vingine havihitaji siasa kwasababu vinagusa maisha ya watu ya kila siku
kiongozi smart wa kumsema boss wake.Ukiona maadui wanakuzonga sana ujue umewapiga,Makamba ni Kiongozi smart sana upstairs
Ina maana wewe hauoni kinachoendelea ? Au mwenzetu unaishi marekani?.Karibu kila mtanzania wa mitandaoni ni mwanasisa.Na baadhi ni washauri wa Rais kuhusu nani afukuzwe kazi na nani ateuliwe
Huu ukosefu wa majukumu umekuwa kidonda sugu kwenye maisha ya kila siku ya watanzania wa mitandaoni.
Hawa watu wanaopewa vyeo kwa sababu ya baba alikuwa kada wa ccm hawawez kulisaidia taifa tutegemee hasara maana ni watu wale wale wenye mawaz yale miaka 60 ya uhuru tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguziSamia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Mkuu mbona unataka kumkaanga JM, mtu hata miezi mitatu bado hajaimaliza kwenye hiyo nafasi tayari amekuwa sumukuvu? Tumpe nafasi manake naona ana vitu anavitayarisha na siku vikikamilika atatuvusha.Samia,una habari Nchi ipo gizani?
Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?
Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?
Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?
Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.