Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku iendayo kwa Mungu mnazidi kudhihirisha upumbavu wenu, mkiambiwe ukweli wa wasifu wenu huu mnasema mnatukanwa. Hivi uzi kama huu kuna sifa nyingine unayostahili zaidi ya upumbavu? Suala la majeruhi kwa Manula liko wazi ni mechi nyingi tu hajacheza na nina uhakika unajua hili lakini kwa upuuzi tu umeanzisha uzi huu.Kila mechi za yanga huyu kipa pendwa lazima aumwe shida ni nini? Ama anaogopa aibu?
Aache kuiogopa Al Ahly aje kuiogopa timu ya vinyesiKila mechi za yanga huyu kipa pendwa lazima aumwe shida ni nini? Ama anaogopa aibu?
Hawa vibwengo nilifikiri kinyesi ni kwenye vyupi vyao tu kumbe hadi kwenye mafuvu ya vichwa vyao.Aache kuiogopa Al Ahly aje kuiogopa timu ya vinyesi
Yanga amenza kucheza robo fainali za klabu bingwa Afrika wakati Simba wakitoka kuitwa queen [emoji146] kuelekea Sunderland bado jina la Simba halijapatikana.Kwasababu hawafikagi robo fainal CAF anawaona kama VINYESI tu
Akili uharo hizi,zinapatika huko Yanga tuWatu wa soka awasemi anakimbia ila anajivunja na October atajivunja tena.
Hakuna Kipa mzuri anayejua anakwenda kufungwa alafu asifanye jitihada yoyote ya kujinusuru na aibu.
Akili kinyesi hizi ni Utopoloni tu ndiyo utazikutaYanga amenza kucheza robo fainali za klabu bingwa Afrika wakati Simba wakitoka kuitwa queen [emoji146] kuelekea Sunderland bado jina la Simba halijapatikana.
Mambo ya robo fainali za CAF Yanga walianza kitambo wakati Tff inaitwa FAT.
Hiyo historia haina maana yoyote leo kwani Yanga iliyocheza wakati huo ndiyo hii? Hujiulizi kwa nini mna point 0.5 tu? Huu ubishi mwingine mnajitafutia fedheha tu.98 yanga kacheza robo caf
Mbona nyinyi mnaishi kwa historia kua mmefika quarter final champion league mara 3 sijui, hiyo sio historia?Hiyo historia haina maana yoyote leo kwani Yanga iliyocheza wakati huo ndiyo hii? Hujiulizi kwa nini mna point 0.5 tu? Huu ubishi mwingine mnajitafutia fedheha tu.
Majeruhi kila ikifikia mechi za yanga?Kila siku iendayo kwa Mungu mnazidi kudhihirisha upumbavu wenu, mkiambiwe ukweli wa wasifu wenu huu mnasema mnatukanwa. Hivi uzi kama huu kuna sifa nyingine unayostahili zaidi ya upumbavu? Suala la majeruhi kwa Manula liko wazi ni mechi nyingi tu hajacheza na nina uhakika unajua hili lakini kwa upuuzi tu umeanzisha uzi huu.
Mbona nyinyi mnaishi kwa historia kua mmefika quarter final champion league mara 3 sijui, hiyo sio historia?