Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wale ndiyo dunia hata kama hautaki mnyalukolo.Ukiichokoza Israeli umeichokoza U.S.Wasalimie hapo Kitakita na Lugalo.Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?
Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanaoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?
Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Wanasikilizia 😄😄😄😄Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Tulia vibaka wanyooshwe mzee wa Lugalo.Maana Kwa taarifa zilizopo ni kama wameifanya nchi ya Syria bila nguvu za kijeshi kwa mwashumbulizi yake waliyoyafanya ndani ya Syria.
Na huko Gaza anashusha tu mabomu anavyotaka. Ile kauli ya Irani kuwa watashughulika na Israel imekuwaje tena?
Hii Dunia haiko sawa .Tulia vibaka wanyooshwe mzee wa Lugalo.
Na itafanya itakavyo hadi ulie.Hooligans have to be streched up!Huu ukimya wa kuiacha Israel ifanye inavyotaka hapo Mashariki ya kati unatisha Sana.
Ugomvi tena. Sizungumzii ugomvi Mimi.Huna hoja, nani aliyeanza uchokozi kati ya Israel na magaidi wa Hamas/Hezbollah/Houthi.
Ni mchokozi tu.Saa hizi atakua Ilembula anakunywa kyai.Huna hoja, nani aliyeanza uchokozi kati ya Israel na magaidi wa Hamas/Hezbollah/Houthi.
Nimekubaliana na wewe muheshimiwa wa kata ya Gangilonga.Njoo njoo huku Kamgegi tukupe udiwani mkuu.Ugomvi tena. Sizungumzii ugomvi Mimi.
Anachofanya Israel ni zaidi ya kuchokozwa. Ni ubabe.
Hawa ndiyo wataweza?
Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?
Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?
Russia na Marekani mbona wako kimya
Hawa kazi yao ni ubishi tuu.hawawezi chochoteHawa ndiyo wataweza?
Nakazia hoja.Huna hoja, nani aliyeanza uchokozi kati ya Israel na magaidi wa Hamas/Hezbollah/Houthi.
Ndiyo haswaa. Magaidi wakae kwa kutulia na sio kubwatuka-bwatuka hovyo.Wenye akili duniani wanafahamu hatari ya kuyaacha Magaidi yajitanue, ndio maana wako kimya na wanaunga mkono kimya kimya yatandikwe na kuharibiwa.
Wakwanza(1). HAMAS 27/10/2024 Akifuatiwa na #2. Hezbollah 28/10/2024 na hatimaye huyo mlevi wa mabikra 72 Houthi. Nani anabisha???Huna hoja, nani aliyeanza uchokozi kati ya Israel na magaidi wa Hamas/Hezbollah/Houthi.