Kwa nini Israel inaachiwa ifanye itakavyo hapo Mashariki ya Kati

Kwa nini Israel inaachiwa ifanye itakavyo hapo Mashariki ya Kati

Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?

Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?

Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Wewe unaweza kuacha mwanao pendwa aangamie?
 
Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?

Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?

Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Kwa nini ccm inaachiwa ifanye inavyotaka, wizi wa kura, ufisadi, mauaji nk, watawala hawafiki hata laki tano,wananchi wapo 60+milioni lakini wanatishwa wanatishika! Kwa nini!? Anzia nyumbani bro!
 
Wewe unaweza kuacha mwanao pendwa aangamie?
Haiwezekani kamwe. Hao kobaaz wanajilundika kwa makundi-makundi mfano wa makundi ya nyani eti wanamwendea "simba aliyejeruhia" kwa umoja wao feki kulipiza kisasi cha ngedere na kima walioliwa huko porini kwa uzembe wao wa kutopanda juu ya mti mrefu bali wanarandaranda chini eti wanapunga upepo.
 
Kwa nini ccm inaachiwa ifanye inavyotaka, wizi wa kura, ufisadi, mauaji nk, watawala hawafiki hata laki tano,wananchi wapo 60+milioni lakini wanatishwa wanatishika! Kwa nini!? Anzia nyumbani bro!
Naam; hili ndo wazo la kimsingi. Ni changamoto.
 
Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?

Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?

Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Swali la Msingi nani Mbabe Hadi sasa kati ya Iran na Israel
 
Maana Kwa taarifa zilizopo ni kama wameifanya nchi ya Syria bila nguvu za kijeshi kwa mwashumbulizi yake waliyoyafanya ndani ya Syria.

Na huko Gaza anashusha tu mabomu anavyotaka. Ile kauli ya Irani kuwa watashughulika na Israel imekuwaje tena?
Iran kaweka mkia katikati ya miguu, katulia.
 
Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?

Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?

Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Kwa sababu Marekani ipo tayari kumlinda dhidi ya lolote wakati wowote.
 
Hiki kitaifa kinajionaga kama last born....pamoja na ukristu wangu suala la kusema hawa ni taifa teule sitakaa nikubaliane nalo kamwe....haiwezekani watu wahalalishe wanaume kupigana miti alafu uniambie ni wateule NEVER...Mungu ni wetu sote...
Ila huko mbeleni watakuwa wanawindwa kama nguruwe pori..Time will tell
 
Urgent | Spokesman for the Yemeni Armed Forces: We carried out a qualitative military operation targeting three American supply ships after they left the port of Djibouti and had previously carried out their aggression against Yemen
 
Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?

Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?

Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Nashangaa eti wanapeleka jeshi Syria Israeli wanataka nini Syria,
 
Maana Kwa taarifa zilizopo ni kama wameifanya nchi ya Syria bila nguvu za kijeshi kwa mwashumbulizi yake waliyoyafanya ndani ya Syria.

Na huko Gaza anashusha tu mabomu anavyotaka. Ile kauli ya Irani kuwa watashughulika na Israel imekuwaje tena?

NGUMU KUYAELEWA MAISHA KWA MACHO YAKO YA KAWAIDA SIKU UKIPATA MAJIBU KWA NINI MPAKA LEO HII BADO FUTURE YAKO IPO KWENYE MIHOGO WAKATI VIJANA UMRI WAKO WAPO KWENYE VX NDIPO UTAKUWA UMEYAELEWA MAISHA UNAONEKANA BADO MCHANGA SANA KUJUA HUU ULIMWENGU AND SIRI ZAKE
 
🇷🇺🤝🇦🇫 — Russia removes Taliban from banned terrorist orginizations list.
 
Kwa nini ccm inaachiwa ifanye inavyotaka, wizi wa kura, ufisadi, mauaji nk, watawala hawafiki hata laki tano,wananchi wapo 60+milioni lakini wanatishwa wanatishika! Kwa nini!? Anzia nyumbani bro!
Nilikuwa nataka ni comment ila nilipokutana na comment Yako nikahundua umeandika Kila kitu nilichotaka kuandika.

Naunga hoja mkuu.
 
Back
Top Bottom