Kwa nini Israel inaachiwa ifanye itakavyo hapo Mashariki ya Kati

Kwa nini Israel inaachiwa ifanye itakavyo hapo Mashariki ya Kati

Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?

Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?

Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Hao wayahudi achana nao mkuu, narudia tena achana nao wayahudi hao, mtume alipambana nao akaishia kufa kwa kuwekewa sumu na mrembo wa kiyahudi. Nao hawawezi nani mpaka Mungu mwenyewe anapoamua kuwaweka chini ya maadui zao. Hao ni ishara pekee kura Mungu ni mwenye nguvu na anajua kuwapigania watu wake.
 
Badala ya swali kujibiwa... Naona watu wanashambuliana... Hapo Mashariki ya kati hakuna wa kumshikisha adabu Israel?
Ili umshikishe adabu huyo shoga inabidi shoga mkuu awe ndembendembe nani wa kuifanya hio kazi? Iran ana uwezo mkubwa kabisa wa kuifuta Israel ikawa Magofu withiin 2hours yes am sure! 2hrs lakini je US itakuwaje wa US kiunzi hicho nao ndio maana anaenda kwa minyato. The problem is US brother
 
Kwanini munampa Israel hati ya kumiliki Mungu Mkuu? Ina maana ili na wengine wapate fursa ya kumuomba huyo Mungu wa kweli inabidi wawe waisrael/wayahudi? Wengine wote hawana Mungu Mkuu isipokuwa waisrael. Haya mambo nyie mna chekechwa mno iweje hao wenye Mungu Mkuu hawaamini kabisa abadani kama Yesu alishakuja? Je wewe unaamini wako sahihi katika hili? Je wewe unaamini Mungu wako ni wa uwongo ni uombe Mungu wa myahudi? Wewe unaamini Yesu alishakuja au bado na wewe unamsubiri kwa mara ya kwanza?

Kitabu Talmud wanachotumia walikitoa wapi? Kwanini hawatumii Torati ya Mussa ambayo ndio kitabu sahihi cha Mungu wao? Wewe unaamini Mungu Mkuu anapatikana katika Torati au Talmud?
Mungu wa Yesu, Mussa na Muisraeli ni yupi Mungu wa kweli?
Minjingu Jingu jibu hii hoja.
 
Bastards

Former Israeli President Reuven Rivlin:

The late Queen Elizabeth believed that every Israeli was "either a terrorist or the son of a terrorist" and would not allow Israeli officials into Buckingham Palace except on international occasions

Queen Elizabeth with the W
 
Bastards
Queen Elizabeth II has visited 117 countries during her 70-year reign as British monarch, but has never visited Israel.

Rare Elizabeth W
 
Inachofanya israel ni kuondoa vitisho dhidi yake toka kwa maadui zake. Hao waasi wa syria bora wakae kimya tu wasijaribu kuishambulia israel watafurushwa asubuhi na mapema tu
 
Kwani Israel ndiye kamtoa Rais wa Syria madarakani?
Kachangia kwa zaidi ya 50% Waasi walikuwa wameshindwa sababu kubwa ikiwa ni Iran na Hezbollah na Wapiganaji kutoka Iraq

Kuna mjinga mmoja Gaza akaamini kuwa aishambulia Israel October 7 basi atachochea Wapiganaji wa Kishia na Chawa wa Iran kumiminika Syria na kuvamia Israel na wenyewe waliamini hili kumbe walikuwa wame overestimate uwezo wao na kunder estimate uwezo wa Israel.

Israel ikatumia mwanya wa Washia kuabudu Watu ikaua Nashrallah na viongozi wote wa Hezbollah ukaacha wasio kuwa na ushawishi hapo Ndio ikawa mwisho wa Syria...

Israel umekuwa ikishambulia kila movement ya Wapiganaji wa Kishia na Assad kila wanapowakalibia Waasi
 
Hiki kitaifa kinajionaga kama last born....pamoja na ukristu wangu suala la kusema hawa ni taifa teule sitakaa nikubaliane nalo kamwe....haiwezekani watu wahalalishe wanaume kupigana miti alafu uniambie ni wateule NEVER...Mungu ni wetu sote...
Ila huko mbeleni watakuwa wanawindwa kama nguruwe pori..Time will tell
Uliwaona wakipigana miti?
Au ni hadithi za abunuas ulisikia
 
Mwaarabu akili zake anazijua mwenyewe

Draco:
Absolutely disgusting! This is what the Syrians wanted they deserve everything that is coming to them.

Hayder:
Syrian sources

About 600 Syrian figures were assassinated by terrorists and their handlers.

Scientists, engineers, managers in strategic military and civilian programs, pilots and trainers.
 
Back
Top Bottom