Kwa nini Israel inaachiwa ifanye itakavyo hapo Mashariki ya Kati

Kwa nini Israel inaachiwa ifanye itakavyo hapo Mashariki ya Kati

Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?

Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?

Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Wewe unawajua lakini ha HTS, au unajiropokea tu kwa sababu umepata platform ya bure hapa. Hao ni Hay'at Tahrir al-Sham (HTS) ambapo kwa kifupi wana claim the whole Levant: Syria, Jordan na Lebanon. Aidha, wamejiapiza kuikomboa Jerusalem na Kabba ya Mecca. Sasa wewe ungekuwa kiongozi wa Israel ungewaachia wahuni hao wajitwalie silaha kali na kuwa mpakani kwako? Acha upumbavu

View: https://x.com/Osint613/status/1866047665345036338
 
Hiki kitaifa kinajionaga kama last born....pamoja na ukristu wangu suala la kusema hawa ni taifa teule sitakaa nikubaliane nalo kamwe....haiwezekani watu wahalalishe wanaume kupigana miti alafu uniambie ni wateule NEVER...Mungu ni wetu sote...
Ila huko mbeleni watakuwa wanawindwa kama nguruwe pori..Time will tell
Nguvu iliyotumika kuwsbrand wazungu walio hamia wa estern euro kuwa ndo waisreli hakika walifanikiwa sana .mpak walokole waje kugundua hilo itakuwa too later
 
Maana Kwa taarifa zilizopo ni kama wameifanya nchi ya Syria bila nguvu za kijeshi kwa mwashumbulizi yake waliyoyafanya ndani ya Syria.

Na huko Gaza anashusha tu mabomu anavyotaka. Ile kauli ya Irani kuwa watashughulika na Israel imekuwaje tena?


Muogope Mungu na Teknolojia .

Wale watu wana Teknolojia nzuri sawa na Mataifa makubwa Duniani japo ni nchi ndogo.
Lakini pia katika Ulimwengu wa Roho Israel ni Taifa linalofanya Dunia imtaje Mungu aliyeumba vitu vyote ,yaani Mungu Mwenye nguvu nyingi kuliko Miungu yote.
Dunia inataja miungu mingi sana lakini Kuna Mungu aliyetajwa sana na taifa la Israel ,huyo ndiye anayesadikiwa kubwa aliumba vitu vyote na miungu yote pia imeumbwa na yeye. Ni asili ya vitu vyote .

Ili kuifanya dunia istarabike basi ni Lazima wetu waishi kwa amani na Israel. Vinginevyo dunia inakosa amani.

Waarabu pesa wanazotumia kufadhili ugaidi wa kuishambulia Israel wangezitumia kuwawezesha wananchi wa Palestina na kukaa chini na Isarel ili wakubali kuweka mipaka upya na kukubaliana bila kulipua mabomu leo hii wapelestina wangekua kama watu wa Katari.
Mfano Marekani inatoa pesa nyingi kuisadia Isarel kujenga uchumi na maisha ya watu ikiwemo kujenga viwanda na miundo mbinu .

Kwa sababu Waarabu kujaribu kuwatoa Waisaraeli pale ni sawa na waafrika kuungana na kuwasadia Wasauzi Afrika ili wawatoe wazungu Pale Afrika Kusini na kuwarudisha Ulaya . Mtiti wake utakua sio wa dunia hii. Ulaya yote wataungana na Wazungu wa Afrika kusini kwa sababu hawatakubali warudi Ulaya maana hawana sehemu yao kule Ulaya tena .
Ni Akili tu ya Kawaida huwezi kuwafukuza Waisraeli Pale Mashariki ya Kati tena. Hata Ikitokea vita ya tatu ya dunia. Watauana mapaka mwisho . Kwa hiyo waarabu walitakiwa waondoe chuki za kidini wakubaliane na ukweli kuwa Israel hawawezi tena kukimbia nchi yao kwa vitisho vyao magadi au hata vita.
Kama ni ngumi zinapigwa mpaka raundi 12 hakuna kukimbia jukwaa.

ILakini pia ni vita inayoigawa dunia pande mbili. na ni wazi kuwa Upande wa Isarel ndio wenye nguvu. Hata China ,India ,Japan ,Urusi Korea bado hawaoni sababu ya kuishambulia Israel inapopambana na magaidi.
 
Muogope Mungu na Teknolojia .

Wale watu wana Teknolojia nzuri sawa na Mataifa makubwa Duniani japo ni nchi ndogo.
Lakini pia katika Ulimwengu wa Roho Israel ni Taifa linalofanya Dunia imtaje Mungu aliyeumba vitu vyote ,yaani Mungu Mwenye nguvu nyingi kuliko Miungu yote.
Dunia inataja miungu mingi sana lakini Kuna Mungu aliyetajwa sana na taifa la Israel ,huyo ndiye anayesadikiwa kubwa aliumba vitu vyote na miungu yote pia imeumbwa na yeye. Ni asili ya vitu vyote .

Ili kuifanya dunia istarabike basi ni Lazima wetu waishi kwa amani na Israel. Vinginevyo dunia inakosa amani.

Waarabu pesa wanazotumia kufadhili ugaidi wa kuishambulia Israel wangezitumia kuwawezesha wananchi wa Palestina na kukaa chini na Isarel ili wakubali kuweka mipaka upya na kukubaliana bila kulipua mabomu leo hii wapelestina wangekua kama watu wa Katari.
Mfano Marekani inatoa pesa nyingi kuisadia Isarel kujenga uchumi na maisha ya watu ikiwemo kujenga viwanda na miundo mbinu .

Kwa sababu Waarabu kujaribu kuwatoa Waisaraeli pale ni sawa na waafrika kuungana na kuwasadia Wasauzi Afrika ili wawatoe wazungu Pale Afrika Kusini na kuwarudisha Ulaya . Mtiti wake utakua sio wa dunia hii. Ulaya yote wataungana na Wazungu wa Afrika kusini kwa sababu hawatakubali warudi Ulaya maana hawana sehemu yao kule Ulaya tena .
Ni Akili tu ya Kawaida huwezi kuwafukuza Waisraeli Pale Mashariki ya Kati tena. Hata Ikitokea vita ya tatu ya dunia. Watauana mapaka mwisho . Kwa hiyo waarabu walitakiwa waondoe chuki za kidini wakubaliane na ukweli kuwa Israel hawawezi tena kukimbia nchi yao kwa vitisho vyao magadi au hata vita.
Kama ni ngumi zinapigwa mpaka raundi 12 hakuna kukimbia jukwaa.

ILakini pia ni vita inayoigawa dunia pande mbili. na ni wazi kuwa Upande wa Isarel ndio wenye nguvu. Hata China ,India ,Japan ,Urusi Korea bado hawaoni sababu ya kuishambulia Israel inapopambana na magaidi.
Subili yaje magaidi uchwara ya Simiyu utapata habari yako.
Yalisema Hezbollah ni kiboko ya Israel...sasa najiuliza hao Hezbollah walianza kuishambulia Israel ili kuwatetea Hamas wamekomea wapi? Iran alisema atawasaidia Hamas kama Idf wataingia Gaza hakufanya hivyo,akabadili gia oooo Idf wakianzisha mashambulizi Rafar kule mpaka wa Egypt basi Iran atangilia lakini hakuna chochote....Idf waliingia na wakafanya Yao. Tukaona wale wapumbavu wavuta bangi wa Houthi wanajiapiza kuwatetea hamas lakini hamna chochote matokeo yake Wapalestina wanazidi kuchapika tu kila siku kisa hamasi wanawatumia kama Kinga.
 
Mwanzo nilikuwa upande wao ila kwa jinsi walivyowauwa viongozi wakubwa na raia huku wakiharibu vibaya miundo mbinu, ukiangalia jinsi wazee na watoto wanavyo teseka hii sasa ifike MWISHO hawa jamaa hawafai kama wakipata fursa wanaweza kuuwa dunia yote
Sheikh wangu lini ulikuwa upande wao tena? Tuepuke unafiq. Laaan natalaq unaaafiqinah laah tul wali sanaah linal
 
Nguvu iliyotumika kuwsbrand wazungu walio hamia wa estern euro kuwa ndo waisreli hakika walifanikiwa sana .mpak walokole waje kugundua hilo itakuwa too later
Sheikh wangu wewe wayajua mayahud kuliko wao wenyewe? Astaghafilulah mswalie mtume kwa kuongea uongo huu wa machoni kabisa....haya walibrandiwa...je yakuhusu nini?waachwe waishi kama watakavyo sheikh wangu usikarbie tul wahafaq nafiquh laah sul nalaan watakal fitna.
 
Bahati nzuri wengine mnaona hayo mataifa yanavyonyaswa kwenye ardhi zao na pindi yakiamua kudai ardhi zao isionekane kuwa ni magaidi na hata jina la ugaidi hutumika kuhalalisha kuuawa Kwa watu hao
Assad aliyataka haya, alionywa mara nyingi kuhusu kuruhusu Iran kuitumia Syria kuishambulia Israel pamoja na kuipitisha silaha kwenda kwa Hzb, ila ndio sikio la kufa.
 
Muogope Mungu na Teknolojia .

Wale watu wana Teknolojia nzuri sawa na Mataifa makubwa Duniani japo ni nchi ndogo.
Lakini pia katika Ulimwengu wa Roho Israel ni Taifa linalofanya Dunia imtaje Mungu aliyeumba vitu vyote ,yaani Mungu Mwenye nguvu nyingi kuliko Miungu yote.
Dunia inataja miungu mingi sana lakini Kuna Mungu aliyetajwa sana na taifa la Israel ,huyo ndiye anayesadikiwa kubwa aliumba vitu vyote na miungu yote pia imeumbwa na yeye. Ni asili ya vitu vyote .

Ili kuifanya dunia istarabike basi ni Lazima wetu waishi kwa amani na Israel. Vinginevyo dunia inakosa amani.

Waarabu pesa wanazotumia kufadhili ugaidi wa kuishambulia Israel wangezitumia kuwawezesha wananchi wa Palestina na kukaa chini na Isarel ili wakubali kuweka mipaka upya na kukubaliana bila kulipua mabomu leo hii wapelestina wangekua kama watu wa Katari.
Mfano Marekani inatoa pesa nyingi kuisadia Isarel kujenga uchumi na maisha ya watu ikiwemo kujenga viwanda na miundo mbinu .

Kwa sababu Waarabu kujaribu kuwatoa Waisaraeli pale ni sawa na waafrika kuungana na kuwasadia Wasauzi Afrika ili wawatoe wazungu Pale Afrika Kusini na kuwarudisha Ulaya . Mtiti wake utakua sio wa dunia hii. Ulaya yote wataungana na Wazungu wa Afrika kusini kwa sababu hawatakubali warudi Ulaya maana hawana sehemu yao kule Ulaya tena .
Ni Akili tu ya Kawaida huwezi kuwafukuza Waisraeli Pale Mashariki ya Kati tena. Hata Ikitokea vita ya tatu ya dunia. Watauana mapaka mwisho . Kwa hiyo waarabu walitakiwa waondoe chuki za kidini wakubaliane na ukweli kuwa Israel hawawezi tena kukimbia nchi yao kwa vitisho vyao magadi au hata vita.
Kama ni ngumi zinapigwa mpaka raundi 12 hakuna kukimbia jukwaa.

ILakini pia ni vita inayoigawa dunia pande mbili. na ni wazi kuwa Upande wa Isarel ndio wenye nguvu. Hata China ,India ,Japan ,Urusi Korea bado hawaoni sababu ya kuishambulia Israel inapopambana na magaidi.
Kwanini munampa Israel hati ya kumiliki Mungu Mkuu? Ina maana ili na wengine wapate fursa ya kumuomba huyo Mungu wa kweli inabidi wawe waisrael/wayahudi? Wengine wote hawana Mungu Mkuu isipokuwa waisrael. Haya mambo nyie mna chekechwa mno iweje hao wenye Mungu Mkuu hawaamini kabisa abadani kama Yesu alishakuja? Je wewe unaamini wako sahihi katika hili? Je wewe unaamini Mungu wako ni wa uwongo ni uombe Mungu wa myahudi? Wewe unaamini Yesu alishakuja au bado na wewe unamsubiri kwa mara ya kwanza?

Kitabu Talmud wanachotumia walikitoa wapi? Kwanini hawatumii Torati ya Mussa ambayo ndio kitabu sahihi cha Mungu wao? Wewe unaamini Mungu Mkuu anapatikana katika Torati au Talmud?
Mungu wa Yesu, Mussa na Muisraeli ni yupi Mungu wa kweli?
 
Hiki kitaifa kinajionaga kama last born....pamoja na ukristu wangu suala la kusema hawa ni taifa teule sitakaa nikubaliane nalo kamwe....haiwezekani watu wahalalishe wanaume kupigana miti alafu uniambie ni wateule NEVER...Mungu ni wetu sote...
Ila huko mbeleni watakuwa wanawindwa kama nguruwe pori..Time will tell
Basi utafakadi upya ukristo wako,mana maandiko yako wazi kwamba wokovu watoka kwa wayahudi.
 
Ritz kasema Israeli keshamalizwa na Hezbollah, wewe unaongelea Israeli ipi?
Katika watu ambao wamevurugwa na biashara ya kuwapigia chapuo Iran na makundi yake yote yaliyojinasibu kuifuta Israeli ktk uso wa dunia ni mkuu huyo Ritz.

Doooooh! Mambo yameenda kombo kabisa. Aliwekeza mtaji mkubwa lakini amepata hasara kubwa.
Bora wengine walitoroka mapema kama akina kimsboy, malaria2, captain fire, Faiza, green Rajab, nk.
 
Badala ya swali kujibiwa... Naona watu wanashambuliana... Hapo Mashariki ya kati hakuna wa kumshikisha adabu Israel?
 
Assad aliyataka haya, alionywa mara nyingi kuhusu kuruhusu Iran kuitumia Syria kuishambulia Israel pamoja na kuipitisha silaha kwenda kwa Hzb, ila ndio sikio la kufa.
Unaanzanje kumzuia Iran? Hilo lilikua bomu tu muda wa kulipuka ilikua bado shida ni majeshi yalikuwa tayari yameshamkataa hali ilikua mbaya hata mishahara shida ilikua hamna, hicho Iran ni kisingizio tu cha uhalali wa kumtoa pale, Iran mwenyewe kasema hezb sio lazima wapate kutokea syria japo Syria ilikua vyepesi zaidi. Tayari wana alternative yao walishasema
 
Hivi hakuna nchi/Taifa la kuiambia Israel iache inachokifanya hapo Mashariki ya kati?

Mbona kama inafanya jinsi inavyojisikia bila ya kuzuiwa? Mataifa yanayoitwa makubwa ya kiarabu kama vile Misri, Uturuki na Irani msimamo wao ni upi?

Russia na Marekani mbona wako kimya tu?
Taifafa la Mungu
 
Back
Top Bottom