Kwa nini kuupinga Mkataba wa Bandari inaitwa "udini" lakini kuunga mkono sio udini?

Tuache kuchanganya dini na siasa
 
Hapa umeweka kisu kwenye mfupa. Kwa bahati mbaya wanadhani bado tuna ujinga huo wa kupotezwa maboya kwa hizo dini zilizoletwa na majahazi.
 
Yenu kwenye sanduku lipi la kura? Ama unadhani huwa hatuoni ule uhayawani unaofanyika kwenye box la kura? Serikali ya majizi ya kura hai a uhalali wowote wa kufikiwa kutokukatazwa kuuza rasilimali za nchi.
 
Serikali iliyoko madarakani kwa wizi wa kura ni lazima ipewe pressure, sisi hatuangalii wingi wa dini, tunaangalia hoja za ukweli bila kujali dini ziko ngapi . Watu wametoa maoni yao, kisha wanaona hayafanyiwi kazi, bali sheria zinataka kubadilishwa ili kuendana na huo mkataba wa kihuni. Huo ukimya wa taasisi za dini ndio umechangia serikali kuingia mikataba isiyo na tija kwenye mali nyingine za umma.

Tunawapongeza TEC kwa kujitokeza hadharani na kupinga mkataba wa utata kwa mali za umma. Watu wanajificha kwenye kichaka cha dini, wakati wako madarakani kwa mauji, wizi wa kura na uhayawani wa wazi kisha wajifanye habari za dini uchwara!
 
katika hili tuko pamoja sana ndugu Robert.
umetoa hoja zako kikomavu na kisomi.
safi sana kwa kazi nzuri.
bandari zetu zitabaki iwe kwa heri au kwa shari
 
Waislamu tunategemea mwarabu akichukua bandari tutapata dili za kazi kama ilivyo kwa bakhresa au kwa dewji. Kampuni zote za kiislamu huwezi kuta mgalatia ovyo ovyo ovyo, na hilo nenda hata uarabuni iko hivyo hivyo.
 
Huyo mwanasiasa mwenyewe anapinga siasa kuchanganywa na dini huku akiwa kwenye mimbari ya kanisa ama shuguli za kidini.

Ni upumbavu sana Hapo ndipo unapoona wale wajinga wanaosema dini isichanganywe na siasa hawana akili, huwezi kuacha kuchanganya dini na siasa kama vyote viwili vinahusisha watu wale wale.

Hiyo ni propaganda ya kitoto inayotumiwa na wajinga, ili kuzuia maswali magumu wanayoshindwa kuyajibu pale wanapoulizwa kuhusu ule mkataba wa hovyo wa bandari, propaganda ambayo tayari imefeli

C & P
 
Waislamu tunategemea mwarabu akichukua bandari tutapata dili za kazi kama ilivyo kwa bakhresa au kwa dewji. Kampuni zote za kiislamu huwezi kuta mgalatia ovyo ovyo ovyo, na hilo nenda hata uarabuni iko hivyo hivyo.
mmekua misukule tu, unakubari kulipwa elfu sabini kwa mwezi sababu bosi wako ni mwarabu?
stupid kabisa
 
Askofu Gwajima alishiriki vikao viwili kupitisha Mkataba wa Bandari - Bunge na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Pia, ameshiriki mikutano ya hadhara na kampeni kadhaa za CCM kuunga mkono mkataba. Wakati anashiriki vikao hivyo, hawakuona kuwa anachanganya dini na siasa.

Lakini sisi tunapotoa hoja na matamko kupinga na kutahadharisha juu ya mkataba wa bandari, lakini vigogo wa CCM wanakuja juu na kuanza kutupiga madongo majukwaani kutuonya kuwa tunachanganya dini na siasa.

Hakuna utawala uliowahi kudumu duniani hasa kama viongozi wameanza kuwa wanafiki kwa kuwa wanafiki huukataa na kuuchukia ushauri hata ule ambao una lengo la kuuokoa utawala huo usianguke.

Waache waendelee kutumia majukwaa kupiga madongo maaskofu wanaoonya, wanaoshauri na kukemea kwani CCM walio wengi hawajui kuwa meli yao imeanza kutoboka. Wanadharau boti za wokozi zinazopita kandokando ya meli yao kubwa ya kifahali iliyoanza kutoboka. Muda wa kuzama ukitimu watapiga kelele ili kutafuta msaada wasiweze kupata watu wa kuwaokoa.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 21 Agosti 2023; 02:38 Asubuhi
 
Udini tu unawasumbua hii nchi haina dini hili taifa letu wote ni kitu kimoja kama wanasiasa wameridhiana wamereconcile basi tusubirie uchaguzi ujao watapata tume huru kwa kuwa Tanzania ni yetu sote haijalishi uwe mpinzani au nani na pia hekima ya kushauri ni kukubali pia ushauri wako ukikataliwa kwa kuwa unayemshauri anahiari ya kukubali au kukataa au atachagua mwenyewe lini atekeleze ila sio kumuwekea presha za kisiasa na kidini hapo ndio ukosefu wa hekima unaingia mwisho kabisa ndugu yangu rafiki yangu hii nchi imetoka kuwa tegemezi kwa asilimia kubwa sana toka huko kwenye bajeti ya kutegemea donor kwa kiwango kikubwa hadi sasa ambapo bajeti inautegemezi wa chini ya 30% hii yote ni kutokana na kazi nzuri ya uwekezaji na ubinfasishaji uliochangia pato la taifa kuongezeka kuanzia kwa Mwinyi, Mkapa ,JK , Magufuli na sasa Samia tena huyu ataweka historia ya kufuta utegemezi kabisa,sasa kwa nini mradi kama huu wa bandari uwekezaji huu utatutoa kabisa ktk utegemezi na kuwa na bajeti ambayo tutajisupport wenyewe 100% why not , hapo ndio emotions tupa kule maslahi ya uhuru wa kiuchumi kwanza, waswahili wanasema baniani mbaya kiatu chake dawa.
 
Waislamu tunategemea mwarabu akichukua bandari tutapata dili za kazi kama ilivyo kwa bakhresa au kwa dewji. Kampuni zote za kiislamu huwezi kuta mgalatia ovyo ovyo ovyo, na hilo nenda hata uarabuni iko hivyo hivyo.

Duuh!

Mimi mbona nafanya biashara na hao Waarabu
 
Elimu za kuungaunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…