Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Mjinga wewe ,wao ndio wamelta bandari muache kujenga kwenu mjenge huku πŸ˜…πŸ˜….

Mawazo ya kijinga huko kwenu maendeleo zero mnapiga kelele... Julius Nyerere amesaidiwa na watu wa pwani kutafuta uhuru ,mda huo nyie hata kupiga mswaki hamjui ,baadae akaona watakuwa juu yake akaanza kuwafunga.


Pwani nyie mmeleta utapeli ,umalaya na wizi..Ndio mlianza kushiriki mashindano ya kukaa uchi kwa ujinga wenu.
Kuna mpwani alikua amefikia kiwango cha elimu cha Nyerere!?
Embu mtaje nimjue.
Sawa harakati za uhuru zilianza 1920s kipindi hiko Nyerere ndio anazaliwa.
Ila mtu ambaye alionekana kuwa na upeo beyond the horizon ni Nyerere na alikua na kiwango kikubwa cha elimu stahiki.
Unadhani angepewa nani kijiti cha kuongoza safari ya utaftaji uhuru!?
Au hujui historia mzee!?
 
Kuna mpwani alikua amefikia kiwango cha elimu cha Nyerere!?
Embu mtaje nimjue.
Sawa harakati za uhuru zilianza 1920s kipindi hiko Nyerere ndio anazaliwa.
Ila mtu ambaye alionekana kuwa na upeo beyond the horizon ni Nyerere na alikua na kiwango kikubwa cha elimu stahiki.
Unadhani angepewa nani kijiti cha kuongoza safari ya utaftaji uhuru!?
Au hujui historia mzee!?
Katafute wasomi wa kwanza πŸ˜… uone ,kasome historia ya shaban Robert then uje hapa nikupe mingine.

Nyie mlichukuliwa na wazungu kupelekwa nje ila uwezo mdogo ,kwa vile mlikubali mila zao ...Uwezo mdogo kaulize wasomi wakina kawawa ...

Nyerere alikuwa mshamba kapokelewa pwani akafundishwa kila kitu ..

Taja msomi wa huko kwenu ,mpaka leo vyoo tu hamna eti mna elimu shenzi mnadanganywa ...Njoo uone mikao yenye diaspora wengi ni ipi? Watu wana exposure lazima ukae pwani ndio uwe mjanja sio kwa waoz meno huko hata kupiga mswaki tatizo..

Wengi wajinga mna shobo mkija huko ,huko bara mna nn kujazana huku kuleta uwizi ,hata mataahira mengi yanatokea huko kwenu.πŸ˜…πŸ˜…
 
😁😁😁Jamaa vip wwe, hizo biashara unalazimisha na mmekuja kutafta riziki na umaskini wenu..

Unaongelea pharmacy wakati wahudumu wengi ni watu pwani ,😁😁😁hamna ukarimu wengi mnashinda bar na kujiuza maarufu kama wahay hapa Dar.

Vyuo ulivyotaja hakuna kikuu vyote ni utapeli vya degree za mchongo ,siwezi kusoma huo ujinga wenu vyuo havina sup wala disco ... Miradi ya kitapeli hizo ni institutions ndogo ndogo tena ni utapeli shenzi.

Rudini kwenu ndio maana Zanzibar mnachapwa kenge ,mbona hatuji kwenu? uone mlivyokuwa na shobo..kama nyie mna uwezo fanya mikoa yenu iwe kama majiji makubwa zaidi ya wizi..

Takwimu za matukio ya kikatili mnaongoza wachafu ,hamna elimu ya kujitambua hata wasomi wa kwanza wanatokea mikao ya pwani sio washamba wa kuanika wala kujisifu.

Uhuru harakati huku zinapiganiwa nyie mnakunya vichakani hata kuvaa nguo badoπŸ˜…πŸ˜…Nchi imeshikwa na watu pwan ndio wanapanga nan awe rais nyie kaeni kwa kutulia na utapeli wenu.



Wajinga nyie tulikuwa tunaishi bila ya wizi mpaka mlipokuja , shenzi kabisa hatuwapendi wezi wakubwa.

Ukatili kwenda mbele


View: https://www.facebook.com/100064269896228/posts/pfbid0BxcYW6rg328tPsTVGXqs7UwxxC6vyPHgAXpmHha1ys2DrJHnyQh395bHNW29ywTel/

Mbona unaropoka sana!?
Hata kusoma umesoma wewe!?
Yani unataka kusema hivyo vyuo havina sup wala disco una uhakika!?
Embu kuwa mtu mzima basi.
Dar es salaam mji umejengwa na serikali kimkakati kama financial hub.
Bandari,barabara,airport hamkujenga wapwani.
Ndio maana nikakuuliza Ukitoa Dar es salaam kuna mji wa Pwani ulioendelea kuufikia Mwanza!?
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† Hili swali usikwepe.
Na kitakwimu Mbeya,Katavi,Iringa ni mikoa inayokua kwa kasi sasa hivi kiuchumi.
Nitajie mkoa wa kanda ya Pwani ukiachana na Dar unaopiga hatua kimaendeleo.
KUhusu kujiuza,wizi na umalaya wapwani malaya hata wabara hawaingii ndani tena kama hao wazanzibari ndio tema mate chini mtoto mdogo ukimvua juba matiti ndala,kwani sie hatufahamu?
 
Mbona unaropoka sana!?
Hata kusoma umesoma wewe!?
Yani unataka kusema hivyo vyuo havina sup wala disco una uhakika!?
Embu kuwa mtu mzima basi.
Dar es salaam mji umejengwa na serikali kimkakati kama financial hub.
Bandari,barabara,airport hamkujenga wapwani.
Ndio maana nikakuuliza Ukitoa Dar es salaam kuna mji wa Pwani ulioendelea kuufikia Mwanza!?
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† Hili swali usikwepe.
Na kitakwimu Mbeya,Katavi,Iringa ni mikoa inayokua kwa kasi sasa hivi kiuchumi.
Nitajie mkoa wa kanda ya Pwani ukiachana na Dar unaopiga hatua kimaendeleo.
KUhusu kujiuza,wizi na umalaya wapwani malaya hata wabara hawaingii ndani tena kama hao wazanzibari ndio tema mate chini mtoto mdogo ukimvua juba matiti ndala,kwani sie hatufahamu?
Mwanza kuna nn ? Mwanza nimefika kuna nn? Unataja sehemu zeny maskini wengi ?

Miji yenu ya kishamba hata watu wake ni washamba ...

Zingatia list ,hiyo miji yote hapo ya kichoko ipo bara ,wachafu hata kuoga matatizo.





Screenshot_20240411-124127.png
 
Mwanza kuna nn ? Mwanza nimefika kuna nn? Unataja sehemu zeny maskini wengi ?

Miji yenu ya kishamba hata watu wake ni washamba ...

Zingatia list ,hiyo miji yote hapo ya kichoko ipo bara ,wachafu hata kuoga matatizo.





View attachment 2960950
Nishakuona unaropoka hoja huna.
Nimekuambia taja mji kanda ya Pwani ulioendelea kama Mwanza ukiachana na Dar es salaam.
Au unataka tulinganishe kuanzia hospitali,barabara na mashule ya Mwanza na Tanga!?
Kama unataka tuanze kushindanisha.
Au ushasahau Mwanza kuna hospitali ya Kanda ya Bugando?
Tanga kuna hospitali gani kubwa!?
Yani hii pwani waarabu wameibeba tu ila kama sio waarabu ingebaki kuwa na nyumba za matope karibuni yote.
Hata Tanga waarabu ndio wenye uchumi.
 
Nishakuona unaropoka hoja huna.
Nimekuambia taja mji kanda ya Pwani ulioendelea kama Mwanza ukiachana na Dar es salaam.
Au unataka tulinganishe kuanzia hospitali,barabara na mashule ya Mwanza na Tanga!?
Kama unataka tuanze kushindanisha.
Au ushasahau Mwanza kuna hospitali ya Kanda ya Bugando?
Tanga kuna hospitali gani kubwa!?
Yani hii pwani waarabu wameibeba tu ila kama sio waarabu ingebaki kuwa na nyumba za matope karibuni yote.
Hata Tanga waarabu ndio wenye uchumi.
Muacha kwenu mbaki kuzunguka mikoa ya watu kama sio ujinga ni nn?πŸ˜…πŸ˜…

Sisi tunajua watu wa bara ni kama washamba ,tunawadharau maana tumewafundisha kila kitu ....Lazima ufike pwani ndio uwe mjanja harakati zote za uhuru huku ,miji yenu haina historia πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
Wachafu ,msiokuwa na elimu kabisa ...Utapiamlo wajinga kabisa.
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Uzi mzuri ila umeharibu hapo kwa makonda

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Katafute wasomi wa kwanza πŸ˜… uone ,kasome historia ya shaban Robert then uje hapa nikupe mingine.

Nyie mlichukuliwa na wazungu kupelekwa nje ila uwezo mdogo ,kwa vile mlikubali mila zao ...Uwezo mdogo kaulize wasomi wakina kawawa ...

Nyerere alikuwa mshamba kapokelewa pwani akafundishwa kila kitu ..

Taja msomi wa huko kwenu ,mpaka leo vyoo tu hamna eti mna elimu shenzi mnadanganywa ...Njoo uone mikao yenye diaspora wengi ni ipi? Watu wana exposure lazima ukae pwani ndio uwe mjanja sio kwa waoz meno huko hata kupiga mswaki tatizo..

Wengi wajinga mna shobo mkija huko ,huko bara mna nn kujazana huku kuleta uwizi ,hata mataahira mengi yanatokea huko kwenu.πŸ˜…πŸ˜…
Nyerere unamfananishaje na Shaban robert we shika adabu yako!
Nafaham mchango wa Shaban Robert katika elimu hususan ya lugha Tanzania ila usimfananishe kielimu na Nyerere.
Unamfahamu mtawala wa Ngara kabla hajaja Mjerumani kuitawala Tanganyika!?
Shaban Robert hampati hata uchembe kwa elimu yule jamaa.
Kwa sasa kuna mwanauchumi bora anaemzidi Ibrahim Lipumba mnyamwezi!?
Narudia tena,ninyi kuwa na wasomi wakwanza hakumaanishi kuwa mna uemko wa jamii yenu kusoma.
Unamjua Sheikh Abeid Karuta!?
Yule muha wa Kigoma kaifuatilie historia yake.
Hata sasa fanya tathmini kati ya bara ,kaskazini na Pwani ikiwemo Tanga ni shule za wapi zinafaulisha!??
 
Nyerere unamfananishaje na Shaban robert we shika adabu yako!
Nafaham mchango wa Shaban Robert katika elimu hususan ya lugha Tanzania ila usimfananishe kielimu na Nyerere.
Unamfahamu mtawala wa Ngara kabla hajaja Mjerumani kuitawala Tanganyika!?
Shaban Robert hampati hata uchembe kwa elimu yule jamaa.
Kwa sasa kuna mwanauchumi bora anaemzidi Ibrahim Lipumba mnyamwezi!?
Narudia tena,ninyi kuwa na wasomi wakwanza hakumaanishi kuwa mna uemko wa jamii yenu kusoma.
Unamjua Sheikh Abeid Karuta!?
Yule muha wa Kigoma kaifuatilie historia yake.
Hata sasa fanya tathmini kati ya bara ,kaskazini na Pwani ikiwemo Tanga ni shule za wapi zinafaulisha!??
Hakuna mtu wa pwani anahangaika na mikoa yenu ,πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…wenzetu tunawaona kama wajinga fulani nyie full shobo .

Hamna histori yoyote kazi ujinga ,huku kila kitu tumetawala kuanzaia burudani kila kona watu wanajitambua sio nyie makatili na weny utapiamlo.
 
Muacha kwenu mbaki kuzunguka mikoa ya watu kama sio ujinga ni nn?πŸ˜…πŸ˜…

Sisi tunajua watu wa bara ni kama washamba ,tunawadharau maana tumewafundisha kila kitu ....Lazima ufike pwani ndio uwe mjanja harakati zote za uhuru huku ,miji yenu haina historia πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
Wachafu ,msiokuwa na elimu kabisa ...Utapiamlo wajinga kabisa.
Aisee!!
Una uhakika bara hakuna historia!?
Chief Mkwawa wa wapi kama sio Iringa?
Songea Mbano wa wapi kama sio Ruvuma?
Makunganya wa wapi!?
Chief Fundikila wa wapi kama sio Nyamwezi!?
Katika himaya ndogo za zamani Pwani mlikua mna himaya gani zenye nguvu!?
Kuna Chief Pwani alikua akifahamika na mwenye nguvu na historia kubwa kama Chief Mkwawa wa Iringa!?
Machifu wa Pwani ndio machifu walioongoza kuuza raia wao utumwani kisa maslahi binafsi.
NDio hawa kina kikwete hawa wanaonesha asili yao.
Halafu Pwani ambayo tumejazana na Dar es salaam tu,na kama tusingekanyaga basi kusingeendelea.
Kungebaki kuchezwa ngoma za mdundiko tu na baikoko basi.
 
Hakuna mtu wa pwani anahangaika na mikoa yenu ,πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…wenzetu tunawaona kama wajinga fulani nyie full shobo .

Hamna histori yoyote kazi ujinga ,huku kila kitu tumetawala kuanzaia burudani kila kona watu wanajitambua sio nyie makatili na weny utapiamlo.
Wewe Mpwani fursa za mkoa wako hujaziona utaziona fursa za mkoa mwingine??
Kazi kukalia uchawi tu na umbea hadi watoto wa kiume.
Wabara tunajua kuzisaka fursa popote zilipo tunaenda.
Nina maswali yangu hujanijibu usisahau.
 
Aisee!!
Una uhakika bara hakuna historia!?
Chief Mkwawa wa wapi kama sio Iringa?
Songea Mbano wa wapi kama sio Ruvuma?
Makunganya wa wapi!?
Chief Fundikila wa wapi kama sio Nyamwezi!?
Katika himaya ndogo za zamani Pwani mlikua mna himaya gani zenye nguvu!?
Kuna Chief Pwani alikua akifahamika na mwenye nguvu na historia kubwa kama Chief Mkwawa wa Iringa!?
Machifu wa Pwani ndio machifu walioongoza kuuza raia wao utumwani kisa maslahi binafsi.
NDio hawa kina kikwete hawa wanaonesha asili yao.
Halafu Pwani ambayo tumejazana na Dar es salaam tu,na kama tusingekanyaga basi kusingeendelea.
Kungebaki kuchezwa ngoma za mdundiko tu na baikoko basi.
Wanaandikiwa hamna wasomi ,Dar ni pwani ndio mji wa watu pwani wengine wanaenda zenji...Sas ahuko bara watu wafuate nn wenyewe washambaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha
Tatizo la hizo sehemu ni elimu na maarifa..unaweza Kuta mtu ana eneo kubwa zuri limeota nyasi kama msitu anakosa maarifa ya kuchimba kisima japo cha kawaida na kulima mboga mboga au kupanda migomba mipapai , viazi magimbi na mazao yakamfaa yeye na familia huku akiendelea na shughuli zake za bodaboda au udalali
 
Wewe Mpwani fursa za mkoa wako hujaziona utaziona fursa za mkoa mwingine??
Kazi kukalia uchawi tu na umbea hadi watoto wa kiume.
Wabara tunajua kuzisaka fursa popote zilipo tunaenda.
Nina maswali yangu hujanijibu usisahau.
Ukanda wa pwani wote ,uchumi wa Dar tu no sawa na takataka chafu zote za bara kama unabisha soma...Nienda huko bara nikafanye nn watu wananuka midomo hata kupiga mswaki tatizo..
πŸ˜…πŸ˜…Mnaleta shobo wezi wakubwa.
 
Muacha kwenu mbaki kuzunguka mikoa ya watu kama sio ujinga ni nn?πŸ˜…πŸ˜…

Sisi tunajua watu wa bara ni kama washamba ,tunawadharau maana tumewafundisha kila kitu ....Lazima ufike pwani ndio uwe mjanja harakati zote za uhuru huku ,miji yenu haina historia πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
Wachafu ,msiokuwa na elimu kabisa ...Utapiamlo wajinga kabisa.
Rukwa sidhani kama ilipata uhuru kwani akuna historia zakupigana na wakoloni nadhani tulionganishwa na baba wataifa kwa ujinga wetu ilibidi tujitoe kama kina rwanda na burundi tuwe na uchumi wetu binafsiπŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚,mshamba ni wewe ambaye haujui kama huku tunaishi na ndugu zako unano watukana.
 
Huwenda hata nilichozungumza hujanielewa.
Kati ya Pwani na bara na kaskazini wapi kuna shule nyingi kongwe!?
Zingatia hilo suala.
Pia wapi kuna uemko wa elimu na shule zilianza kujengwa kwa wingi wapi!?
Kwahiyo kuwa na mtu wa kwanza kusoma ndio kusema inaleta impact ya jamii kuwa na wasomi wengi!?
Fuatilia hata matokeo ya Necta ni wapi huongoza kimatokeo.
Dar yenyewe inabebwa kwasababu ni financial capital.
Halafu usijisahau Tanzania baada ya Dar es salaam mji wa pili kwa maendeleo ya miundombinu na huduma za kijamii ni Mwanza.
Je Mwanza ni wapi!?
Na sasa hivi mkoa wa Katavi unapiga hatua kimaendeleo kuliko hata Tanga.
Au we hautembei!?
Kuna mkoa kanda ya Pwani ukitoa Dar unaufikia Mwanza!??
Kama upo nitajie.
Kwa nini unaitoa dar ukanda wa pwani!?
 
Rukwa sidhani kama ilipata uhuru kwani akuna historia zakupigana na wakoloni nadhani tulionganishwa na baba wataifa kwa ujinga wetu ilibidi tujitoe kama kina rwanda na burundi tuwe na uchumi wetu binafsiπŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚,mshamba ni wewe baye haujui kama huku tunaishi na ndugu zako uno watukana.
Ona sasa mjinga mwingine bila ya watu wa pwani msingepata uhuru πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…pwani ndio wamepambana na wakoloni nyie washamba mlilimishwa na kuteswa...
Wapwani tunajitambua.

Huko bara hakuna mkoa wa maana hata mmoja zaidi ya utapiamlo mpaka mwaka 2024 hamjui kupiga mswaki na kuoga ,vyoo tatizo kabisa.πŸ˜…πŸ˜…
 
Wanaandikiwa hamna wasomi ,Dar ni pwani ndio mji wa watu pwani wengine wanaenda zenji...Sas ahuko bara watu wafuate nn wenyewe washambaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.
Maanake kwanza nicheke.
Ulitembelea makumbusho ya Mkwawa ukaona barua aliyoandika Mkwawa kwenda kwa sultan wa Tanga ambaye alikua rafiki yake kumtahadharisha kuhusu Wajerumani kabla ya huyo sultan wa Tanga kuuawa na Ujerumani?
Barua ikieleza pia usaliti wa waluguru juu ya Mkwawa!?
Hujafika inaonekana.
Serikali imeujenga mji wa Dar na ikafungua fursa kwa wote,cha ajabu wabara ndio wameweza kuzitumia fursa kuliko wa Pwani.
Zanzibar ni visiwa vya watu wavivu ndio maana kuna maendeleo hafifu.
Pemba ndio kuna umasikini uliokithiri hata usiongee.
Bara kuna shughuli za kilimo,ufugaji na uchimbaji madini.
Au haujui kama migodi mingi ipo bara!?
 
Back
Top Bottom