Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Ni mwendo wa mihogo mkuu! Nani ana time na nyama choma.
Nimesoma advance Lindi sec 2006
Nimesoma advance Lindi sec 2006
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapori Pwani unashangaa leo?ukaribu wa Pwani na Dar es Salaam,inaisaidia sana Pwani...
1.Pwani hakuna Kilimo cha kutosheleza kulisha mkoa wao,mashamba mengi ni robo au nusu heka.
2.Pwani,miji yake mikubwa (Vikindu,Kisarawe, Kibaha,Bagamoyo) ni karibu na Dar.watu wengi wanafanya kazi Dar kuliko ndani ya mkoa.
3.Pwani inalindwa na Mradi mkakati wa viwanda, wa serikali....
Ukiondoa hizo hapo juu,Pwani watu wake ni wavivu....
Mkoa una mapori kama yote.
Mkuu, Nyanda za juu ndiyo inaongoza kupokea mvua nyingi kwa mwaka... yaani Mbeya, Songwe, Rukwa, Njombe, Ruvuma...ni kuna Unyevu mpaka msimu wa kiangazi...Lete facts mkuu.
Kama umasikini hata Dar ni masikini sana. Dar ina umasikini kwanza ambao haujaisha ndio unataka Pwani ilingane na Dar kimaendeleo?
Haya Pwani wavivu, Singida, Rukwa, Kigoma nako ni nini kimewapata?
Halafu usiongee sana, Wasukuma wanahamia kwa wingi Pwani. Wanadhani wakazi ni wavivu. Wakifika mtu mmoja analima heka nyingi akidhani ni rahisi kutunza shamba. Wanagundua ardhi na majira ya Pwani si kama kwao usukumani. Pwani inapokea mvua nyingi, palizi ni nyingi, magugu yanaota after 2 weeks hata upulize dawa gani. Ndipo wanajifunza kulima kwa akili badala ya nguvu.
Haya tuambie, watu wa Mbeya wangefanya nini Pwani?
Chalinze? Ona aibu aisee ni moja ya miji yenye good housing condition wapi uliona nyumba ya udongo ChalinzeAcha kuwatetea hao wavivu..
Mkoa upo karibu na Dar ila wana umasikini wa kufa danganya ambao hawajatembelea huko rufiji, bagamoyo vijijini n.k
Mkoa wa pwani kama ungekuwa unakaliwa na watu kama wa Mbeya ungekuwa zaidi ya hapo.
Kingine mshukuru mungu mkoa wa pwani viwanda vingi vimejengwa wameajiri sana watu wa pwani. Mkuranga Kuna viwanda vingi. Kinyume na hapo ingekuwa shida.
Chalinze miaka na miaka hakuna lolote la maana zaidi ya vijana kuuza mahindi ya kuchoma kwenye mabasi ya mikoani
Hata kwa Uvuvi, bado sana, hakuna hata Wilaya moja Pwani inayofikia Mwanza kwa uvuvi....Mapori Pwani unashangaa leo?
Kigamboni juzi tu ilikua mapori mpaka Kibada.
Mbezi, Mabwepande, Kibamba,Mpigi Magohe, Magole huko Kitunda ndani ndani, Pugu miaka ya karibuni bado yalikua mapori. Sasa kama Dar bado ina mapori Pwani inasalimika vipi?
Impact ya uvivu wa Pwani inaonekana wapi? Humo unamosema mapori unaona minazi, mikorosho, miembe na michungwa ina maana watu waliima wakapanda. Hebu tufanye ziara hadi Mkuranga tuone msitu usio na mazao hayo ya kudumu.
Nenda Mandela,nenda Hondogo nenda Miono...kuna nyumba za Udongo kibao...Chalinze? Ona aibu aisee ni moja ya miji yenye good housing condition wapi uliona nyumba ya udongo chalinze
Sawa, Singida, Rukwa, Kigoma nako kuna wavivu?Mkuu,Nyanda za juu ndiyo inaongoza kupokea mvua nyingi kwa mwaka...yani Mbeya,Songwe,Rukwa,Njombe,Ruvuma...ni kuna Unyevu mpaka msimu wa kiangazi...
Ushawahi ona palizi za Maharage wewe zilivyo nyingi...day.
Pwani kilimo hawakiwezi....
Wewe wasema wasukuma, nenda Mbarali ukaone wakulima.
Cc Accumen Mo darcityNimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..
Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.
Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Pwani ardhi yake mchanga, ulime miembe na koroshoukaribu wa Pwani na Dar es Salaam,inaisaidia sana Pwani...
1.Pwani hakuna Kilimo cha kutosheleza kulisha mkoa wao,mashamba mengi ni robo au nusu heka.
2.Pwani,miji yake mikubwa (Vikindu,Kisarawe, Kibaha,Bagamoyo) ni karibu na Dar.watu wengi wanafanya kazi Dar kuliko ndani ya mkoa.
3.Pwani inalindwa na Mradi mkakati wa viwanda, wa serikali....
Ukiondoa hizo hapo juu,Pwani watu wake ni wavivu....
Mkoa una mapori kama yote.
Sasa wilaya Moja ikashindane na mkoa?Hata kwa Uvuvi, bado sana, hakuna hata Wilaya moja Pwani inayofikia Mwanza kwa uvuvi....
Yani usijifichie huko,wakati Mkuranga,Kisarawe,Kibiti na majority ya Chalinze ni mbali na bahari...
Mkoa ni mapori ,watu hawalimi,,kutwa Ngoma.
Wanyaturu na wanyiramba si wafanyajikazi ukilinganisha na msukuma, nchi hii hakuna anayepiga kazi(kilimo) kumzidi msukuma/nyamaezi, wengine wote wavivu.Sawa, Singida, Rukwa, Kigoma nako kuna wavivu?
Ko Nyimbo ya wanaume mateso, ili wapitia mbali 😀Hao tunawaita MAMWINYI aka watu wa pwani.
Hakuna shule huko,na hawaandikishi watoto shule!?Na disco vumbi! Unakuta eti kitoto cha miaka saba nacho kinabambia mmama mtu mzima! wanapenda Shunguli na mziki! Kusoma ni no no, kuongea matusi ovyo ovyo... Utasikia baba wewe ka nsenge😃😃😃
Zipo.Hakuna shule huko,na hawaandikishi watoto shule!?
Hapo unaolingana kwa uvivu ni Singida tu....Sawa, Singida, Rukwa, Kigoma nako kuna wavivu?
Pwani asilimia kubwa mchangaHapo unaolingana kwa uvivu ni Singida tu....
Tena wao ardhi yao ni kame,,
Pwani ina ardhi nzuri ila haitumiki....
Tabora,Singida na Dodoma,,,wanaangushwa na Ardhi zao tu.
Hawaandikishi watoto!?Zipo.