Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Pwani mchanga tena hamna vumbi wala udongo labda uende wilayani wanapolima.
Mkuu,
1. Bagamoyo, Chalinze, Kisarawe huku kote kuna Tifutifu, maeneo yenye Mazao ya kushiba...

2. Hata kwenye mchanga kilimo chafanyika Dodoma na Kondoa nako ni mchanga lakini watu wanalima Karanga kupitiliza...

3. Njombe na Iringa kuna maeneo yanakataa mazao ya kawaida....udongo una aisidi kupitiliza.
Lakini watu wakajiongeza na Chai na miti...

4. Siyo kutembea tu, ila mimi na wenzangu tuna mashamba Chalinze, Kisarawe...
Tumeona uvivu wa watu wa Pwani...
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Kwa mtazamo Wangu wengi wao ni wale wanaoamini Maisha matamu baada ya kifo! So wanawekeza zaidi huko kuliko kwenye elimu/Maisha DUNIA , sijui umenielewa?? Na zaidi ukichunguza Ni maeneo ambayo Mwarabu ndo alitia nanga kabla ya Watu toka Europe😁
 
Ho
Mkuu,
Rukwa ni mkoa wa tatu kwa kuzalisha chakula Tanzania nzima....
kule watu wanalima si kitoto,tafuta mtu aliye sumbawanga akueleze.
Vyakula ni bei chee.. wanauza vyakula Kongo.
Mpunha,Mahindi,Alizeti
Na ni kilimo cha Mashamba makubwa...

Siku Nenda Nyanda za juu utajionea.
Hivi kumbe kulima sana kwa jembe la mkono ni sifa?
 
Watu wa Pwani sio wavivu ni wakulima Hodari wa mazao ya kudumu kama miembe,mikorosho,michungwa na minazi

Shughuli zao kubwa zingine uvuvi

Na mwisho hakuna kabila Tanzania laweza kuwashinda watu wa hiyo mikoa kwenye biashara ndogondogo wanaziweza hasa hata waanzilishi wa biashara za machinga ni kutoka mtwara.wao ndio waanzilishi
Kutoka Kambi ya Ruvu pale kwenda Chalinze kufika Bwawani hadi Mwidu hadi Mpakani Morogoro...hapo kote ni pori.

Tokea Makurunge hadi Msoga, fika Wami hadi Mandela na hadi mkata huko kote...ni pori...

Mtu kalima basi ni robo heka...

Ambao mna damu ya huko mnaweza pinga sana coz ukweli unauma ila data hazidanganyi...
 
90% ya Watanzania hawafanyi kazi bali wanahangaika alimradi waendelee kupumua ndo maana 95% ya watz bado ni maskini wa kutupwa.Huwezikuniambia mtu anaelima eka 20 za mahindi na kuvuna gunia 5 nae anafanya kazi au anaefuga mifugo mingi lakini hajui ni jinsi gani mifugo hiyo itamboreshea maisha nae anafanya kazi.Tofauti ya maisha ya mnaowadhania ni wavivu na mnaowadhania ni wachapakazi ni ndogo sana almost zero.
Nguvu nyingi akili kidogo... msuli tembo matokeo sisimizi
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Unawajua wagogo vizuri
 
Mkuu,
1.Bagamoyo,Chalinze,Kisarawe huku kote kuna Tifutifu,,,maeneo yenye Mazao ya kushiba...

2.Hata kwenye mchanga kilimo chafanyika Dodoma na Kondoa nako ni mchanga lakini watu wanalima Karanga kupitiliza...

3.Njombe na Iringa kuna maeneo yanakataa mazao ya kawaida....udongo una aisidi kupitiliza.
Lakini watu wakajiongeza na Chai na miti...

4.Siyo kutembea tu ,ila mimi na wenzangu tuna mashamba Chalinze, Kisarawe...
Tumeona uvivu wa watu wa Pwani...
Pwani wanazalisha nn? Acha kukariri maisha nenda Mombasa kaangalie wanalima nn? Nenda Arusha kaangalie wanalima nn?

Umekariri kulima tu ,utapiamlo unatoka wapi kweny hiyo mikoa ya kilimo..


Basi kama hujui Muheza & lushoto ndio kuna matunda mengi kushinda mkoa wowote ule ,Handeni wanalima mahindi ya kulisha hata Tz nzima japo sio kwa wingi kama Ruvuma ila ni mengi... Ukienda mkinga watu wanalima mihogo.

Wengine ni uvuvi wa aina kibao ,huku kuna diaspora kibao usipenda kufananisha mikao ya huko na washamba wa bara ni vitu viwili tofauti.
 
Wenzao waliowaridhisha waarabu wanamafuta hata wakishinda kibarazani fuba linaingia huko. Wachangamke.
 
Hongera mchapakazi unalima heka 10 kwa mkono

unanikumbusha mshkaji wangu Advance anakesha wiki nzima pure maths ikija na physics anapata 20%😂😂😂
Sasa hapo mfano wako haupo relevant,,coz Nyanda za Juu,Kanda ya Ziwa wanazalisha vyakula ambavyo vinalisha nchi nzima...tena Kula na kusaza....

Waulize Lindi na Pwani why hawakosi katika List la umaskini...
 
Kama ilivyo mikoa yenu inavyoongoza kwa ushamba, umalaya na roho mbaya.
Hahaha yani kwenye Umalaya mbona unatepeta sana...
😭😭😂😂😂🤣🤣🤣
Sitaji makabila ila kila mtu anajua Tabia za watu wa Mtwara, Tanga ....hivi tunahitaji kueleza.
Ushamba...?
Fanyeni kazi aiseeh, mna maeneo mazuri sana kwa kilimo,ufugaji na Uvuvi mubadilike.
 
Kwa mtazamo Wangu wengi wao ni wale wanaoamini Maisha matamu baada ya kifo! So wanawekeza zaidi huko kuliko kwenye elimu/Maisha DUNIA , sijui umenielewa?? Na zaidi ukichunguza Ni maeneo ambayo Mwarabu ndo alitia nanga kabla ya Watu toka Europe😁
Hiyo sio hoja Chief,,,uislamu haukumkataza mtu asitafute duniani yake na kuishi vizuri ila unasisitiza pambana utakavyo pambana ila usisahau kujitayarishia makazi yako ya akhera period
 
Hahaha yani kwenye Umalaya mbona unatepeta sana...
😭😭😂😂😂🤣🤣🤣
Sitaji makabila ila kila mtu anajua Tabia za watu wa Mtwara, Tanga ....hivi tunahitaji kueleza.
Ushamba...?
Fanyeni kazi aiseeh, mna maeneo mazuri sana kwa kilimo,ufugaji na Uvuvi mubadilike.
leta takwimu za ukimwi nchini nyie ni almarufu kupigana miti tu labda uchapakazi wa ngono zembe
 
Pwani wanazalisha nn? Acha kukariri maisha nenda Mombasa kaangalie wanalima nn? Nenda Arusha kaangalie wanalima nn?

Umekariri kulima tu ,utapiamlo unatoka wapi kweny hiyo mikoa ya kilimo..


Basi kama hujui Muheza & lushoto ndio kuna matunda mengi kushinda mkoa wowote ule ,Handeni wanalima mahindi ya kulisha hata Tz nzima japo sio kwa wingi kama Ruvuma ila ni mengi... Ukienda mkinga watu wanalima mihogo.

Wengine ni uvuvi wa aina kibao ,huku kuna diaspora kibao usipenda kufananisha mikao ya huko na washamba wa bara ni vitu viwili tofauti.
Yani nyie hata kwenye Uvuvi bado sana....

Eti Handeni wanalima mahindi ya kutosha...🤣🤣🤣🤣...
Ndugu hapo imejidhihilisha haujawahi Fika Mbeya au Songwe ,ndiyo ungeelewa nini maana ya kilimo.

Taja hayo matunda unayosema wewe,,Machungwa na Chenza tu,ama?.

Mkuu, tembea kwanza kabla ya kubisha, kwa kilimo mikoa yenu bado sana...yani bado
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Maneno yako ni sahihi kabisa.. Kama huko Pwani ukipita unaona mashamba makubwa kabisa lakini watu wa Pwani wameshindwa kuyatumia kabisa kulima hata mahindi na maharagwe, hata ng'ombe au mbuzi hawafugi wanawaza tu ngono na kuongeza mke. Kongole sana watu wa hii mikoa Loh!!
 
Yani nyie hata kwenye Uvuvi bado sana....

Eti Handeni wanalima mahindi ya kutosha...🤣🤣🤣🤣...
Ndugu hapo imejidhihilisha haujawahi Fika Mbeya au Songwe ,ndiyo ungeelewa nini maana ya kilimo.

Taja hayo matunda unayosema wewe,,Machungwa na Chenza tu,ama?.

Mkuu, tembea kwanza kabla ya kubisha, kwa kilimo mikoa yenu bado sana...yani bado
Mkuu mikoa inayozalisha matunda kwa wingi Tanzania ni Tanga na Pwani.
Kila mkoa una kitu chake hivyo usituaminishe totaly kwamba hiyo mikoa ni useless.
 
Back
Top Bottom