Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Lete facts mkuu.
Kama umasikini hata Dar ni masikini sana. Dar ina umasikini kwanza ambao haujaisha ndio unataka Pwani ilingane na Dar kimaendeleo?
Haya Pwani wavivu, Singida, Rukwa, Kigoma nako ni nini kimewapata?

Halafu usiongee sana, Wasukuma wanahamia kwa wingi Pwani. Wanadhani wakazi ni wavivu. Wakifika mtu mmoja analima heka nyingi akidhani ni rahisi kutunza shamba. Wanagundua ardhi na majira ya Pwani si kama kwao usukumani. Pwani inapokea mvua nyingi, palizi ni nyingi, magugu yanaota after 2 weeks hata upulize dawa gani. Ndipo wanajifunza kulima kwa akili badala ya nguvu.

Haya tuambie, watu wa Mbeya wangefanya nini Pwani?
Hivi umeshawahi kufika kigoma na hiyo rukwa ukaone shughuli za kiuchumi za watu ulinganishe na mkuranga au chalinze au bagamoyo vijijini ?


Ubaya watoto wa kizaramo mkishacheza mangoma yenu mnadhani mikoani ni masikini tu.
 
Pwani wanazalisha nn? Acha kukariri maisha nenda Mombasa kaangalie wanalima nn? Nenda Arusha kaangalie wanalima nn?

Umekariri kulima tu ,utapiamlo unatoka wapi kweny hiyo mikoa ya kilimo..


Basi kama hujui Muheza & lushoto ndio kuna matunda mengi kushinda mkoa wowote ule ,Handeni wanalima mahindi ya kulisha hata Tz nzima japo sio kwa wingi kama Ruvuma ila ni mengi... Ukienda mkinga watu wanalima mihogo.

Wengine ni uvuvi wa aina kibao ,huku kuna diaspora kibao usipenda kufananisha mikao ya huko na washamba wa bara ni vitu viwili tofauti.
Mkuu,Arusha wanaongoza kwa kuzalisha Mazao ya Maua hapa nchini.. Meru na Arusha mjini.

Arusha wana mifugo ya kutosha...Monduli na Longido
Arusha wana utalii wa kutosha.....

Na hapo hapo kumbuka Arusha kuna sehemu ni kame, lakini wamjiongeza.

Sasa uje ,Lindi yetu....dah
 
Hivi umeshawahi kufika kigoma na hiyo rukwa ukaone shughuli za kiuchumi za watu ulinganishe na mkuranga au chalinze au bagamoyo vijijini ?


Ubaya watoto wa kizaramo mkishacheza mangoma yenu mnadhani mikoani ni masikini tu.
Yani shida wengi wa wanaobisha hawajazunguka hii nchi...
 
Hao watu Wana Diaspora wengi wanaowatumia hela , hao Diaspora hasa hasa wapo Uarabuni.

By the way shughuli kuu ya watu wa mikoa hiyo ni uvuvi na shughuli hii hufanyika zaidi nyakati za usiku.

Kwa kifupi wakati wewe unarandaranda mabaani kusaka Malaya basi wao huwa baharini kupiga kazi.

Kingine inabid uwe Makin Sana ili uwaelewe hao watu maana unaweza kuchanganya " Uvivu" na " Uvuvi" ukashindwa kuwaelewa kwamba ni wavivu au ni wavuvi?

Hao wanapiga kazi mkuu ndio maana huwaoni kwenye orodha ya mikoa masikin Zaid nchini.
  • Hahaha!!! Ikiwa kama hatuoni matunda ya kupiga kwao kazi, je tuendelee kuamini wanapiga kazi? Mkoa mzima una mji mdogo 1 (kijiji kilichochanamka), wao wanaita mji.
  • Suluhu si kupeleka kiongozi tu, bali ku-pump (kuhamasisha kwa kuwapa fursa sana, kama ardhi, n.k watu wengi sana kutoka bara), hasa makabila yanayopiga kazi kwelikweli.
 
Mkuu mikoa inayozalisha matunda kwa wingi Tanzania ni Tanga na Pwani.
Kila mkoa una kitu chake hivyo usituaminishe totaly kwamba hiyo mikoa ni useless.
Unabidi useme matunda gani mkuu,,,
Mana
Parachichi ni Mbeya na Njombe ndiyo mabingwa.
Ndizi ,Kagera,Mbeya,Arusha,Kilimanjaro zipo sana...
Peaches pia...
Maembe;bara Kuna maembe ya kwao pia..

Utaje specific matunda yapi...

Mada ni uvivu and siyo useless,,,bila kunena ukweli, ndugu zetu hawatojifunza.
 
Yani nyie hata kwenye Uvuvi bado sana....

Eti Handeni wanalima mahindi ya kutosha...🤣🤣🤣🤣...
Ndugu hapo imejidhihilisha haujawahi Fika Mbeya au Songwe ,ndiyo ungeelewa nini maana ya kilimo.

Taja hayo matunda unayosema wewe,,Machungwa na Chenza tu,ama?.

Mkuu, tembea kwanza kabla ya kubisha, kwa kilimo mikoa yenu bado sana...yani bado
Tanga imebarikiwa Kilimo cha Machungwa tu
 
Hao watu Wana Diaspora wengi wanaowatumia hela , hao Diaspora hasa hasa wapo Uarabuni.

By the way shughuli kuu ya watu wa mikoa hiyo ni uvuvi na shughuli hii hufanyika zaidi nyakati za usiku.

Kwa kifupi wakati wewe unarandaranda mabaani kusaka Malaya basi wao huwa baharini kupiga kazi.

Kingine inabid uwe Makin Sana ili uwaelewe hao watu maana unaweza kuchanganya " Uvivu" na " Uvuvi" ukashindwa kuwaelewa kwamba ni wavivu au ni wavuvi?

Hao wanapiga kazi mkuu ndio maana huwaoni kwenye orodha ya mikoa masikin Zaid nchini.
Yah wasambaa[emoji846] Ni wapiga Kaz wazuri
 
Nadhani mtwara inaongoza Tanzania kwa uvivu! Ni sehemu pekee ambako saa moja asubuhi unakuta wanaume wanacheza bao au wapo kwenye vijiwe vya kahawa.

Ni sehemu pekee maisha ya wenyeji wanashindia mlo mmoja na wanaona ni sawa. Ni sehemu pekee ambako hata ukitoa kibarua mwenyeji ukisha mlipa elfu 3 harudi kazini hadi aitumie iishe . Ni sehemu pekee ambao vikongwe ndio wanaenda shambani vijana wanazurura mtaani

. Ni sehemu pekee ambako mtu akilima robo heka anahadithia nina shamba kubwa. Ni sehemu pekee ambako wafanya biashara wenyeji wameridhika wanafungua maduka saa nne asubuhi. Ni sehemu pekee ukienda duka la mwenyeji na elfu kumi ukitaka kununu kitu cha elfu 4 unaambiwa sina chenji na unaondoka na hela yako vinginevyo ukatafute mwenyewe chenji.

Tunashkru wakinga kuingia mji huu vinginevyo tungenyanyasika sana na hela zetu madukani. Ila kwa penzi na chumvi ni mkoa rafiki kuliko mikoa yote. Karibu mtwara tufaidi watoto wa kimakonde kwa elfu 2 hadi kwa mkopo bila kujali ni msichana au mke wa mtu. Ila ukisha mtongoza au kumla atafanya matangazo mtaa mzima. Hawana siri
Kwa sasa karibia mikoa yote iko hivyo labda Kilimanjaro ndio naona bado wanajituma kwenye migomba yao nao ni kwa sababu Dar inawabeba wana uhakika wa kuuza ndizi zao Dar na zinapendwa.
 
Hivi ushawahi sikia mkoa wa Pwani una njaa wanahitaji msaada wa chakula?
Ushawahi sikia Pwani moja ya mikoa masikini zaidi Tanzania?
Umewahi kusikia Pwani watoto wana utapiamlo?
Uvivu huu mnaozungumzia walio nao mkoa wa Pwani (pwani per se) ni uvivu gani?
Au ni uvuvi ndio mnachanganya na uvivu?
Sasa pwani Kuna Nini sana mpaka unambishia mtoa mada mkuu? Yaani ukienda kununua kitu dukani anakuuliza "ni hela inayohitaji chenji?, Kama ni hiyo basi usinunue mie Sina chenji"

Pwani ni wavivu sana sijaona...
 
Ila kweli mana ikitajwa mikoa maskin sn haipo utaskia kagera katavi tabora mara rukwa
Kipimo Cha Umasikini ni tofatuti na unavyozani.

Iwapo mkoa unaviwanda tayari si masikini ila watu wake ndio masikini. Mikoa ya Lindi watu wake ni masikini, mkoa wa pwani unaviwanda ila watu wake ni masikini. n.k.
 
Hivi ushawahi sikia mkoa wa Pwani una njaa wanahitaji msaada wa chakula?
Ushawahi sikia Pwani moja ya mikoa masikini zaidi Tanzania?
Umewahi kusikia Pwani watoto wana utapiamlo?
Uvivu huu mnaozungumzia walio nao mkoa wa Pwani (pwani per se) ni uvivu gani?
Au ni uvuvi ndio mnachanganya na uvivu?
Utapia mlo sio kukosa chakula tu.

Unakuta mtu amerundika magumia mia yaahindi ndani ila familia ina utapia mlo. Hii husababishwa na mambo mengi ikiwemo.
1. Uandaaji wa chakula.
2. Mda wa kula - Mikoa ya Bara Mingi wazazi wako busy na kazi hadi wanasahau kuwapa watoto chakula kwa mda sahihi
3. Usafi.

Hizo ni baadhi tu.
 
Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu
Ukiwataja watu wa Lindi majority huko ni Waislamu mkuu kua makini Misikiti ni mingi kuliko makanisa 90% nyumba za Ibada ni Misikiti ikifuatiwa na Kilwa na Mafia sijui ni Mkoa au ni Wilaya
 
Back
Top Bottom