Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Ilala wachapa kazi!?..kumbe hata bila kutumia nguvu ni kuchapa kazi!?... mtwara na Lindi hawana korosho!?..hawavui!...hakuna mgodi ruangwa!?hakulimwi karanga huko!?
Uvuvi wenu ni wa samaki wa Nyumbani tu,shida ndiyo iko hapo...Yani samaki wenu wanaishia hapohapo, ukifika Moro hauwaoni..

Nenda Ziwa Victoria ukaone samaki...tena wanasafirishwa mpakan Arusha na Dar....

Shida kilimo chenu mwisho heka moja,,tena hapo mtu kajiongeza sana...
Mbegu hazipandwi kwa mstari,Matuta hamna...

Ukizungumza migodi, Nenda Mara na Kahama ukaone kazi....
 
Uvuvi wenu ni wa samaki wa Nyumbani tu,shida ndiyo iko hapo...Yani samaki wenu wanaishia hapohapo, ukifika Moro hauwaoni..

Nenda Ziwa Victoria ukaone samaki...tena wanasafirishwa mpakan Arusha na Dar....

Shida kilimo chenu mwisho heka moja,,tena hapo mtu kajiongeza sana...
Mbegu hazipandwi kwa mstari,Matuta hamna...

Ukizungumza migodi, Nenda Mara na Kahama ukaone kazi....
We mpuuzi kumbe,huko usukumani kila mtu analima zaidi ya ekari moja!?..mi mnyamwezi ujue,napajua vizuri huko kwetu
 
Sasa wilaya Moja ikashindane na mkoa?
Nonetheless, Mkuranga, Kibiti, Rufiji na Mafia tu ndio zina bahari. Mkuranga na Kibiti haziko mbali na bahari, zimepakana na bahari kabisaa.
Nataka unijibu, katika mikoa Masikini sana Tanzania, Simiyu, Singida na Kigoma je nao ni wavivu?
Bila kusahau Kagera
 
Watu wa bara wanataka ulime ndio umefanya kazi 😅😅
Hawajui kuna sehemu ukifika unakuta Mzee/Wazee wanaoshinda kwenye bao tu muda wote unajiuliza hawa wanafanya kazi saa ngapi unasahau wanamiliki mahekari ya Ardhi yenye minazi ya kutosha yaan ni KUSUBIRI Lori tu kutoka Dar lije kuchukua MZIGO
 
Hawajui kuna sehemu ukifika unakuta Mzee/Wazee wanaoshinda kwenye bao tu muda wote unajiuliza hawa wanafanya kazi saa ngapi unasahau wanamiliki mahekari ya Ardhi yenye minazi ya kutosha yaan ni KUSUBIRI Lori tu kutoka Dar lije kuchukua MZIGO
Tanga pale kuna mzee ana boti za uvuvi anapata mpaka laki 4 kwa siku ,ila ana wake watatu.

Pia anafanya udalali wa samaki na kwake samaki anapata bure .... Mwenyewe nilitaka kununua boti za uvuvi sema seria imeanza kutoa bure.

Wale wazeee wote wana pesa zao sio maskini.
 
We mpuuzi kumbe,huko usukumani kila mtu analima zaidi ya ekari moja!?..mi mnyamwezi ujue,napajua vizuri huko kwetu
Sawa mi mpuuzi,,,ila Ukweli lazima uwaaingie....
Mashamba ya Mpunga Shinyanga yapo....
Tabora imekosa mvua tu na vyanzo vya maji....
Lakini Pwani vyote wanavyo hadi ni soko lipo ,bandari zipo...ila utendaji kazi hamna.
 
Tanga pale kuna mzee ana boti za uvuvi anapata mpaka laki 4 kwa siku ,ila ana wake watatu.

Pia anafanya udalali wa samaki na kwake samaki anapata bure .... Mwenyewe nilitaka kununua boti za uvuvi sema seria imeanza kutoa bure.

Wale wazeee wote wana pesa zao sio maskini.
Sasa mtu akikuta wamekaakaa tu anasema ni wavivu hawana kazi au hawafanyi kazi kumbe nyuma ya pazia watu wana assets za kutosha wanaishi kimwinyi
 
Sawa mi mpuuzi,,,ila Ukweli lazima uwaaingie....
Mashamba ya Mpunga Shinyanga yapo....
Tabora imekosa mvua tu na vyanzo vya maji....
Lakini Pwani vyote wanavyo hadi ni soko lipo ,bandari zipo...ila utendaji kazi hamna.
Pwani gani unataka walime mpunga,utalima mpunga kwenye mchanga!?
 
Tanga pale kuna mzee ana boti za uvuvi anapata mpaka laki 4 kwa siku ,ila ana wake watatu.

Pia anafanya udalali wa samaki na kwake samaki anapata bure .... Mwenyewe nilitaka kununua boti za uvuvi sema seria imeanza kutoa bure.

Wale wazeee wote wana pesa zao sio maskini.
Mkuu,
Sasa hapo umesema kuna Mzee, yani wa kuokoteza ...
Mwanza kuna mpaka Viwanda cha kuchakata Samaki ....yani wanasafirisha shehena ya kutosha.
 
Pwani gani unataka walime mpunga,utalima mpunga kwenye mchanga!?
Pwani yenye mchanga ni sehemu ndogo sana...
Hapo Kisarawe kuna maelfu ya Heka,,mapori ambapo kuna udongo mzuri,
Wilaya ya Kibaha ina maeneo kibao yenye udongo mzuri...

Maeneo Bonda la mto wami kuna Dongo zuri tu...
Trust me bro,,Lindi,Mtwara na Pwani zilitakiwa ziwe juu sana kwenye kipato cha wananchi.

Ardhi mbovu zipo Simanjiro huko,Longido.
 
Hao watu Wana Diaspora wengi wanaowatumia hela , hao Diaspora hasa hasa wapo Uarabuni.

By the way shughuli kuu ya watu wa mikoa hiyo ni uvuvi na shughuli hii hufanyika zaidi nyakati za usiku.

Kwa kifupi wakati wewe unarandaranda mabaani kusaka Malaya basi wao huwa baharini kupiga kazi.

Kingine inabid uwe Makin Sana ili uwaelewe hao watu maana unaweza kuchanganya " Uvivu" na " Uvuvi" ukashindwa kuwaelewa kwamba ni wavivu au ni wavuvi?

Hao wanapiga kazi mkuu ndio maana huwaoni kwenye orodha ya mikoa masikin Zaid nchini.


Acha longo longo za kiswahili, mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani, hata Tanga ni maskini sana sana, hujatembea wewe unaongelea JF, hiyo mikoa ukilinganisha na mikoa mingine ya Tz bara ni maskini sana hasa vijijini, sbb kubwa ni umwinyi, watu wa mikoa hii wavivu sanaaaa, umwinyi uliwaharibu sana, elimu pia iko chini sana sbb ya kukumbatia mila za kiarabu, elimu ikiwa chini mno, umaskini ndio tunda lake, so mikoa hiyo yote hali sio nzuri kama mikoa mingine, tena ina ardhi kubwaa yenye rutuba sana, maeneo mazuri sana ya kilimo, mila na umwinyi ndio vimeleta uvivu wa asili huko.

Serikali imejitahidi sana kuwapatia mahitaji ya msingi karibu yote na kuwawekea mazingira rafiki ya maendeleo mfano, barabara kuu ziko, maji, madarasa mapya, walimu wapo, vituo vya afya na hospitali za uhakika zipo, umeme upo, ila maendeleo ya watu bado yako chini, sbb ya umwinyi, uvivu wa asili na kwao wao hawaoni shida au kusema labda wanaona kama wajitume sana sanaaa hiyo haipo.
 
Wewe Pwani IPI umeishi Kibaha?
Nimekaa Wilaya ya Chalinze vijiji vya Hondogo na Mwidu...
Nimekaa Wilaya ya Kisarawe...huko Mwanzo mgumu.

Nishafika Wilaya ya Mkuranga,Kibiti na Bagamoyo zaidi ya mara 100 ....

Je,wewe ushakaa sehemu yoyote katika mikoa ya Nyanda za juu....?
 
Back
Top Bottom