Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Hao watu Wana Diaspora wengi wanaowatumia hela , hao Diaspora hasa hasa wapo Uarabuni.

By the way shughuli kuu ya watu wa mikoa hiyo ni uvuvi na shughuli hii hufanyika zaidi nyakati za usiku.

Kwa kifupi wakati wewe unarandaranda mabaani kusaka Malaya basi wao huwa baharini kupiga kazi.

Kingine inabid uwe Makin Sana ili uwaelewe hao watu maana unaweza kuchanganya " Uvivu" na " Uvuvi" ukashindwa kuwaelewa kwamba ni wavivu au ni wavuvi?

Hao wanapiga kazi mkuu ndio maana huwaoni kwenye orodha ya mikoa masikin Zaid nchini.
Ahsanteee broo..hata huwaoni ktk mikoa inayohitaji chakula cha msaada
 
Maneno yako ni sahihi kabisa.. Kama huko Pwani ukipita unaona mashamba makubwa kabisa lakini watu wa Pwani wameshindwa kuyatumia kabisa kulima hata mahindi na maharagwe, hata ng'ombe au mbuzi hawafugi wanawaza tu ngono na kuongeza mke. Kongole sana watu wa hii mikoa Loh!!
Hayo mazao pwani hawezi kulima hayana faida.
Watu wanapambana na ufuta, korosho minazi ndio mazao Yao.
 
Mkuu,
Sasa hapo umesema kuna Mzee, yani wa kuokoteza ...
Mwanza kuna mpaka Viwanda cha kuchakata Samaki ....yani wanasafirisha shehena ya kutosha.
Ndio nakuambia huyo namjua ,wapo kibao wanamiliki minazi ,mashamba ya mihogo wanakaa town...Vijana sio rahisi kuwakuta mtaani wengi ni boaboda .

Pia kumbuka wana exposure kubwa tangu miaka ya 80's mwishoni kuzamia kwenda nje ,asilimia ya vijana wengi ni wa ukanda wa pwani huko nje. Pesa zinatumwa sana watu wanaishi.

Chakula cha kutosha tena aina tofauti ,huwezi kukuta utapiamlo kama kwenu wabara
Screenshot_20240411-085645.png
 
Hii mikoa jumlisha na Tabora ni ishu za kiroho zaidi hadi wale wakuu wa anga mabrigedia wa anga Hilo walioshikilia nguvu za kiroho walioseti standard limits ya maisha wasivuke mstari Fulani wa mafanikio watandikwe kiroho ili waachilie baraka kwa watu wa maeneo hayo ndipo watakuwa na maendeleo.
Hii mikoa ilifanyika matambiko ya kishirikina kuitambikia nchi moja ya masharti ya matambiko hayo ni kufunga fikra za maendeleo kwa maeneo hayo matambiko yalipofanyika.
Thus kutoboa mikoa hio ni lazima uwe umesimama vizuri kiroho.
 
Hao watu Wana Diaspora wengi wanaowatumia hela , hao Diaspora hasa hasa wapo Uarabuni.

By the way shughuli kuu ya watu wa mikoa hiyo ni uvuvi na shughuli hii hufanyika zaidi nyakati za usiku.

Kwa kifupi wakati wewe unarandaranda mabaani kusaka Malaya basi wao huwa baharini kupiga kazi.

Kingine inabid uwe Makin Sana ili uwaelewe hao watu maana unaweza kuchanganya " Uvivu" na " Uvuvi" ukashindwa kuwaelewa kwamba ni wavivu au ni wavuvi?

Hao wanapiga kazi mkuu ndio maana huwaoni kwenye orodha ya mikoa masikin Zaid nchini.
Huo uvivu wanaishia pesa ya kula tu na sio maendeleo
 
Sasa
Acha kuwatetea hao wavivu..


Mkoa upo karibu na Dar ila wana umasikini wa kufa danganya ambao hawajatembelea huko rufiji, bagamoyo vijijini n.k

Mkoa wa pwani kama ungekuwa unakaliwa na watu kama wa Mbeya ungekuwa zaidi ya hapo.


Kingine mshukuru mungu mkoa wa pwani viwanda vingi vimejengwa wameajiri sana watu wa pwani. Mkuranga Kuna viwanda vingi. Kinyume na hapo ingekuwa shida.


Chalinze miaka na miaka hakuna lolote la maana zaidi ya vijana kuuza mahindi ya kuchoma kwenye mabasi ya mikoani
mkuu mmewalaumu kwamba watu wa pwani wavivu sasa vijana wamejiongeza kufanya biashara ya kuuza vinywaji na mahindi kwenye mabasi bado unawaponda sasa wafanyeje.
Halafu nikuibie tu siri moja hiyo mikoa unayosema ina maendeleo labda kwa sababu ya miundombinu wala haikuwa juhudi ya wakazi wa eneo husika bali serikali tangu enzi ya ukoloni na enzi ya Mwalimu Nyerere walitilia mkazo wa kuweka miundombinu katika eneo hilo ikiwemo barabara,shule na viwanda.
Kwa mfano nikitolea kwa mkoa wa Mtwara barabara imekuja kujengwa baada ya Rais Mkapa kuwa Rais na kuweka daraja katika mto Rufiji ila kabla ya hapo usafirishaji ilikuwa shida mno.
Sasa kama mtu alikuwa na ndoto ya kuwa mkulima au mfanyabiashara mkubwa angemudu vipi kusafirisha mizigo kwenda kwenye masoko makubwa utagundua mtu huyu ameangusha na miundombinu automatically ambayo ni jukumu la serikali.
 
Nadhani mtwara inaongoza Tanzania kwa uvivu! Ni sehemu pekee ambako saa moja asubuhi unakuta wanaume wanacheza bao au wapo kwenye vijiwe vya kahawa.

Ni sehemu pekee maisha ya wenyeji wanashindia mlo mmoja na wanaona ni sawa. Ni sehemu pekee ambako hata ukitoa kibarua mwenyeji ukisha mlipa elfu 3 harudi kazini hadi aitumie iishe . Ni sehemu pekee ambao vikongwe ndio wanaenda shambani vijana wanazurura mtaani

. Ni sehemu pekee ambako mtu akilima robo heka anahadithia nina shamba kubwa. Ni sehemu pekee ambako wafanya biashara wenyeji wameridhika wanafungua maduka saa nne asubuhi. Ni sehemu pekee ukienda duka la mwenyeji na elfu kumi ukitaka kununu kitu cha elfu 4 unaambiwa sina chenji na unaondoka na hela yako vinginevyo ukatafute mwenyewe chenji.

Tunashkru wakinga kuingia mji huu vinginevyo tungenyanyasika sana na hela zetu madukani. Ila kwa penzi na chumvi ni mkoa rafiki kuliko mikoa yote. Karibu mtwara tufaidi watoto wa kimakonde kwa elfu 2 hadi kwa mkopo bila kujali ni msichana au mke wa mtu. Ila ukisha mtongoza au kumla atafanya matangazo mtaa mzima. Hawana siri
Uvivu ni matokeo ya maisha kuwa rahisi
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Sio kweli mkuu
 
Sasa

mkuu mmewalaumu kwamba watu wa pwani wavivu sasa vijana wamejiongeza kufanya biashara ya kuuza vinywaji na mahindi kwenye mabasi bado unawaponda sasa wafanyeje.
Halafu nikuibie tu siri moja hiyo mikoa unayosema ina maendeleo labda kwa sababu ya miundombinu wala haikuwa juhudi ya wakazi wa eneo husika bali serikali tangu enzi ya ukoloni na enzi ya Mwalimu Nyerere walitilia mkazo wa kuweka miundombinu katika eneo hilo ikiwemo barabara,shule na viwanda.
Kwa mfano nikitolea kwa mkoa wa Mtwara barabara imekuja kujengwa baada ya Rais Mkapa kuwa Rais na kuweka daraja katika mto Rufiji ila kabla ya hapo usafirishaji ilikuwa shida mno.
Sasa kama mtu alikuwa na ndoto ya kuwa mkulima au mfanyabiashara mkubwa angemudu vipi kusafirisha mizigo kwenda kwenye masoko makubwa utagundua mtu huyu ameangusha na miundombinu automatically ambayo ni jukumu la serikali.
Lima tunza subiri kiangazi unasafirisha
 
Ndio nakuambia huyo namjua ,wapo kibao wanamiliki minazi ,mashamba ya mihogo wanakaa town...Vijana sio rahisi kuwakuta mtaani wengi ni boaboda .

Pia kumbuka wana exposure kubwa tangu miaka ya 80's mwishoni kuzamia kwenda nje ,asilimia ya vijana wengi ni wa ukanda wa pwani huko nje. Pesa zinatumwa sana watu wanaishi.

Chakula cha kutosha tena aina tofauti ,huwezi kukuta utapiamlo kama kwenu wabara
View attachment 2960396
Mkuu...
1.Watu wa Pwani walioenda wengi ilikuwa kukimbia kipigo cha Mwana Pwani mwenzenu, mkapa...Tanga na Zenji

2.Mihogo inalimwa hadi Mbalali...Minazi siyo zao la kukaa na kujisifu.

3.Yani,wengi wamekaa kungoja hela za kutumiwa, hicho ndiyo chasabisha Uvivu...

4.Hayo mazao unayosema mengi yapo Wilaya 4 tu....tena hayatoshi kufika hata Iringa...

5.Mpaka Wagosi wa Kaya waliimba kwenye Tanga kunani paleee....
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Nimewahi tafuta CHAI YA MAZIWA hapo mtwara nikakosa,hawafugi,na ukipata bei juu sababu maziwa almost ni kama hakuna kbsa

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Sasa

mkuu mmewalaumu kwamba watu wa pwani wavivu sasa vijana wamejiongeza kufanya biashara ya kuuza vinywaji na mahindi kwenye mabasi bado unawaponda sasa wafanyeje.
Halafu nikuibie tu siri moja hiyo mikoa unayosema ina maendeleo labda kwa sababu ya miundombinu wala haikuwa juhudi ya wakazi wa eneo husika bali serikali tangu enzi ya ukoloni na enzi ya Mwalimu Nyerere walitilia mkazo wa kuweka miundombinu katika eneo hilo ikiwemo barabara,shule na viwanda.
Kwa mfano nikitolea kwa mkoa wa Mtwara barabara imekuja kujengwa baada ya Rais Mkapa kuwa Rais na kuweka daraja katika mto Rufiji ila kabla ya hapo usafirishaji ilikuwa shida mno.
Sasa kama mtu alikuwa na ndoto ya kuwa mkulima au mfanyabiashara mkubwa angemudu vipi kusafirisha mizigo kwenda kwenye masoko makubwa utagundua mtu huyu ameangusha na miundombinu automatically ambayo ni jukumu la serikali.
Mkuu..
Kigoma ilikuwa haina barabara mpaka Kikwete ndiyo akajenga....

Kwenda Mwanza ilikuwa lazima uingilie Kenya mkuu,Barabara imejengwa na mkapa

Njombe,Mbeya,Ruvuma nako hivyo hivyo...
Barabara ni janga la Kitaifa...


Pwani kuna Bandari zote tatu,ndiyo ukanda wenye Viwanda vingi nchini...

Mkoa wa Pwani ina shule za Sekondari na Advance tangia enzi...
 
Kumbuka miundombinu ikiwa mibovu kila kitu utanunua kwa bei juu ikiwemo mbolea,dizeli/petroli ambapo mwisho wa siku utajikuta umetumia gharama kubwa sana hautaweza kupambana na bei ya soko au utauza kwa hasara
Mkuu,ukanda wetu miundombinu ni mibovu kuliko Pwani...watu wanalima milimani huko,
Yani huko kuna vijiji kwenda ni shida.....

Pwani pamebarikiwa sana sema tu watu wake dah...
 
Back
Top Bottom