atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Kwani hizo taasisi zinasimamiwa na serikali ya chama gan?Mleta mjadala unakosea kuleta siasa. Povu ungeliekeza kwa taasisi inayohusika na majanga kwa nini wasiwe active kufika haraka eneo la tukio