Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Wafanyakazi siyo wajinga kama wewe. Wanafahamu namna serikali yao chini ya Rais Samia inavyowapigania ,kuwajali na kuthamini mchango wao kwa ustawi na maendeleo ya Taifa letu. Ndio maana ni watulivu na wanaendelea na kazi na kuwa bega kwa bega na serikali yao.Wafanyakazi wa taifa hili ni mazuzu na wapumbavu wengi wanaona bora kuwa chawa kuliko kupigania haki zao.
Alikuwa kwenye majukumu ya kuwalisha nchi yetu kimataifa. CHADEMA roho zinawauma na kuona wivu mkubwa sana kwa kuona wasanii wote wakubwa walishawakataeni na kuwapuuza .maana wanafahamu ninyi ni matapeli na madalali wa siasa na hamna mchango wowote ule kwa maendeleo ya Taifa letu.Kwani mei mosi tena iliyofanyika mchana ulimuona? ila kwenye kigodoro cha Harmonize usiku alikuwepo!
Kivp MkuuKina bashiru itafika mahali mtawaelewa sana
Umesema ukweli kabisa!Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu πππ
Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo
Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Umesema ukweli kabisa!nilishasema humu ccm inajitahidi sana kutuonyesha kwamba hawafai kupewa madaraka tena ila sisi kila siku tunajitahidi kuwarudisha madarakani ipo siku hii nchi itaanguka vibaya sana..
mpaka sasa kinachofanya nchi iende ninkwamba watu wanaangalia familia zao zinaishi wanaamua kukaa kimya ila watu wana fukuto la kutosha na ni swala la muda tu
Aliamua asiwepo,Kwa sababu Mei mosi sio jambo la dharura kwamba alishtukizwaKwani siku ya Mei mosi alikuwepo nchini?
Wasanii hawa wataondoka na ccm muda mfupi sana ujao, yuko wapi Bichuka au Muumini Mwinjuma?Alikuwa kwenye majukumu ya kuwalisha nchi yetu kimataifa. CHADEMA roho zinawauma na kuona wivu mkubwa sana kwa kuona wasanii wote wakubwa walishawakataeni na kuwapuuza .maana wanafahamu ninyi ni matapeli na madalali wa siasa na hamna mchango wowote ule kwa maendeleo ya Taifa letu.
Ujinga uliokujaa kichwani mwako ndio unaokusumbua wewe. Rais Samia ataendelea kusalia madarakani na kupeta kwakuwa anaungwa mkono na mamilioni ya watanzania.Bashiru na Ndugai walistahili kufanya walichotaka kufanya kusema ukweli.
Unaweza kuta ushawahi kuniomba posho nje ya JF ila humu unaniita mjinga, LolUjinga uliokujaa kichwani mwako ndio unaokusumbua wewe. Rais Samia ataendelea kusalia madarakani na kupeta kwakuwa anaungwa mkono na mamilioni ya watanzania.
Itaondoka CHADEMA kama mvuke au moshi na kuicha CCM ikiendelea kuongoza Taifa letu kwa miaka nenda rudi kwa kadri ya uhai wa Taifa letu.Wasanii hawa wataondoka na ccm muda mfupi sana ujao, yuko wapi Bichuka au Muumini Mwinjuma?
Sijawahi kuwa omba omba mimi.Unaweza kuta ushawahi kuniomba posho nje ya JF ila humu unaniita mjinga, Lol
Acha ujinga wewe, sio Kila anaehoji ni chademaAcha uchonganishi wako hapa wewe. Kwani nani ambaye hafahamu kuwa siku ya Mei Mosi Mheshimiwa Rais wetu alikuwa nje ya Nchi kuiwakilisha nchi yetu. Laini pia umeona na kushuhudia kule Marekani Marais wakihudhuria matukio kama hayo? Unafahamu mchango wa wasanii katika jamii? Unakuwa msanii anaweza kutumika katika kutangaza utalii na kuwashawishi watalii kuja hapa Nchini?
Embu angalia msanii kama JAY-Z anasikilizwa nawatu zaidi ya millioni 39 kwa mwezi ,hapo bado sijazungumzia wafuasi wake katika mitandao ya kijamii ambao wapo mamilioni kwa mamilioni Duniani kwote. Je unafikiri unafikiri ushawishi wake unaweza kulingana hata na waziri mwandamizi wa wizara gani hapa nchini akiamua kulipa msukumo Jambo fulani?
Shida yenu CHADEMA akili zenu akili zenu ni fupi sana na mnawaza karibu sana.
Acha ujinga wewe, watu wanafundo moyoni.Wafanyakazi siyo wajinga kama wewe. Wanafahamu namna serikali yao chini ya Rais Samia inavyowapigania ,kuwajali na kuthamini mchango wao kwa ustawi na maendeleo ya Taifa letu. Ndio maana ni watulivu na wanaendelea na kazi na kuwa bega kwa bega na serikali yao.
Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu πππ
Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo
Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Ccm ni majambazi!Itaondoka CHADEMA kama mvuke au moshi na kuicha CCM ikiendelea kuongoza Taifa letu kwa miaka nenda rudi kwa kadri ya uhai wa Taifa letu.
Ndio wewe ni CHADEMA maana ndio akili za kichadema zipo hivyo ambazo hazinaga uwezo wa kupambanua mambo na kulewa.Acha ujinga wewe, sio Kila anaehoji ni chadema
Acha ujinga wewe, watu wanafundo moyoni.
Rushwa inatembea wewe pimbi!Alikuwa kwenye majukumu ya kuwalisha nchi yetu kimataifa. CHADEMA roho zinawauma na kuona wivu mkubwa sana kwa kuona wasanii wote wakubwa walishawakataeni na kuwapuuza .maana wanafahamu ninyi ni matapeli na madalali wa siasa na hamna mchango wowote ule kwa maendeleo ya Taifa letu.
Narudi Tena, KIKOKOTOO NI JINAMIZI KIKEMEWE KILA KONAWafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu πππ
Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo
Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Wivu tu ndio inawasumbua na kuishia kuzusha vitu vya kijinga jinga tuRushwa inatembea wewe pimbi!