Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu,Eti rais wa nchi anaenda kwenye show ya msanii na kutoka midnight, mbona hapo hakutuma mwakilishi kama anavyofanya kwenye mambo mengine?!
Mkuu kwani mei mosi ni jambo la gafla?kwann aende nje kabla hajajibu hoja za wafanyakaziAcha uchonganishi wako hapa wewe. Kwani nani ambaye hafahamu kuwa siku ya Mei Mosi Mheshimiwa Rais wetu alikuwa nje ya Nchi kuiwakilisha nchi yetu. Laini pia umeona na kushuhudia kule Marekani Marais wakihudhuria matukio kama hayo? Unafahamu mchango wa wasanii katika jamii? Unakuwa msanii anaweza kutumika katika kutangaza utalii na kuwashawishi watalii kuja hapa Nchini?
Embu angalia msanii kama JAY-Z anasikilizwa nawatu zaidi ya millioni 39 kwa mwezi ,hapo bado sijazungumzia wafuasi wake katika mitandao ya kijamii ambao wapo mamilioni kwa mamilioni Duniani kwote. Je unafikiri unafikiri ushawishi wake unaweza kulingana hata na waziri mwandamizi wa wizara gani hapa nchini akiamua kulipa msukumo Jambo fulani?
Shida yenu CHADEMA akili zenu akili zenu ni fupi sana na mnawaza karibu sana.
Hoja gani yawafanyakazi isiyojulikana na kujibika? Serikali imetoa ufafanuzi katika hoja zote za wafanyikazi na ndio sababu unaona wafanyakazi ni watulivu na wanaendelea na kazi ya kulitumikia Taifa letu.Mkuu kwani mei mosi ni jambo la gafla?kwann aende nje kabla hajajibu hoja za wafanyakazi
Sikupingi huyu mama amewapuuza pakubwa sana watumishi wa ummaWafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu πππ
Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo
Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Hivi watumishi wa umma huwa wanapandishwa madaraja May mwaka huu wamepanda kweli?Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu πππ
Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo
Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Maza ukweli kuongoza hawezi na hafai, vitu vimepanda kupita kiasi, Dikteta Magu pamoja na ukatili wake lakini aliweza sn kwenye mfumo wa beiSikupingi huyu mama amewapuuza pakubwa sana watumishi wa umma
Mjinga wewe ni muongo haswa, ulikuwepo?Pwani na Zanzibar Muziki ni sehemu ya Utamaduni muhimu nadhani bwashee Mrangi ova anakumbuka tulivyocheza Isambe tukiwa na mzee Rukhsa na Kanda Bongoman mwenyewe pale Shamba la bibi
Nyie waajiriwa msubirini Dr Mwigullu PhD kwenye Bajeti, mtafurahi π
Upo sahihi pesa za umma zitapigwa haswaSamia alikuwa anazindua hongo ya safari za nje kwa kundi la Samia Queens linaloundwa na wasanii wa bongo movies.
Harmonize katumika kama tambala tu.
Kwa chawa wake huwa hatumi mwakili lakini kwenye mambo ya msingi huwa anawakilishwa mara kwa maraEti rais wa nchi anaenda kwenye show ya msanii na kutoka midnight, mbona hapo hakutuma mwakilishi kama anavyofanya kwenye mambo mengine?!
Ndio sababu nimemtaja mhenga mwenzangu Mrangi ova, nyie Wengine mlikuwa viunoni bado ππMjinga wewe ni muongo haswa, ulikuwepo?
Mpuuzi wewe umezaliwa 1999 unakaa unadanganya watuNdio sababu nimemtaja mhenga mwenzangu Mrangi ova, nyie Wengine mlikuwa viunoni bado ππ
Maza alifit sn kwenye nafasi ya Makamu lakini siyo hii inayohitaji mtu serious na mfuatiliajiMkuu kwani mei mosi ni jambo la gafla?kwann aende nje kabla hajajibu hoja za wafanyakazi
Muulize Mwenyekiti wako akiwa Mlinzi wa bot mimi nilikuwa naogelea pale Kilimanjaro hotel ππMpuuzi wewe umezaliwa 1999 unakaa unadanganya watu
Wachache watakuelewaMfumo ni ule ule, ukitaka uliyemshindisha njaa akupe mkataba mwingine wa kumshindisha njaa andaa sherehe fupi ya kuusaini yenye vyakula vya kutosha. Hakikisha kiti chake kiwe karibu na masufuria apate harufu yooote. Zoezi la kusaini liwe muda mchache baada ya kuruhusiwa kula.
May1 2025 huenda yakasahaulika yote.
Hahahahaha labda kwa ushirikina wa MaketeMuulize Mwenyekiti wako akiwa Mlinzi wa bot mimi nilikuwa naogelea pale Kilimanjaro hotel ππ
Mkome na TUCTA yenu, wenzenu wanakupiga pesa nyie wajinga mnakatwa kila mweziHakuna utekelezaji wa upandaji madaraja na vyeo,ongezeko la mishahara wala nini!
Ila Mungu yupo
Acha UPOPOMA wewe.Acha uchonganishi wako hapa wewe. Kwani nani ambaye hafahamu kuwa siku ya Mei Mosi Mheshimiwa Rais wetu alikuwa nje ya Nchi kuiwakilisha nchi yetu. Laini pia umeona na kushuhudia kule Marekani Marais wakihudhuria matukio kama hayo? Unafahamu mchango wa wasanii katika jamii? Unakuwa msanii anaweza kutumika katika kutangaza utalii na kuwashawishi watalii kuja hapa Nchini?
Embu angalia msanii kama JAY-Z anasikilizwa nawatu zaidi ya millioni 39 kwa mwezi ,hapo bado sijazungumzia wafuasi wake katika mitandao ya kijamii ambao wapo mamilioni kwa mamilioni Duniani kwote. Je unafikiri unafikiri ushawishi wake unaweza kulingana hata na waziri mwandamizi wa wizara gani hapa nchini akiamua kulipa msukumo Jambo fulani?
Shida yenu CHADEMA akili zenu akili zenu ni fupi sana na mnawaza karibu sana.
Shilingi inapoteza kwa dola na Tanzania imerudi katika list ya 35 POOREST NATIONS WORLD WIDE INTERMS OF DOLLARS we unasema uchumi umepaa!?Ndio anatosha sana tu kwasababu ameonyesha matunda ya kiuongozi ndani ya muda mfupi sana.kwa kuleta maendeleo na kupaisha uchumi wetu. Mapato kwa mwezi kwa sasa ni zaidi ya Trilioni mbili kwa Mwezi,shule zimejengwa kila sehemu ambapo sasa wanafunzi wote wanaofaulu kidato cha kwanza wanaripoti kwa wakati mmoja. Tofauti na zamani ambapo wengine waliripoti awamu ya pili na hivyo kuchelewa kimasomo ukilinganisha na wenzao walioripoti jamnuary.
Ameongeza bajeti ya kilimo kutoka Billion mia mbili mpaka Trilioni moja na point mwaka huu.ameo gexa mikoa ambayo ilikuwa haijaungaishwa katika grid ya Taifa kama vile kigoma na Katavi amejenga na kuweka mawe ya msingi ya ujenzi wa barabara kwa kuwango cha lami ,ametoa maelfu ya ajira kwa vijana hapa nchini japo hajamaliza vijana wote waliopo mitaani lakini ameonyesha juhudi kubwa la kuwapunguzia vijana waliopo mitaani bila ajira.