Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Wanaume wa jamii forum hao. Na hapo wanajidai kuwa na akili mpaka kutumia Facebook wanaona ni utoto, kumbe qao ndo hazimo kabisa
Mkikubaliana na Ukweli wa toka dahari kwamba hakuna jambo linatokea bahati mbaya hapa duniani, mtachagua njia sahihi ya kupita na kupitisha kizazi chenu cha kiume.Ndio mnajengewa nyumba halafu sisi tunaambiwa nyumba yetu ya kudumu no kaburi eti!!!
Safi sana. Tunaanza kuwabadilisha ubini sasa. Kama baba yake ni john nundu mtoto ataitwa jina la umamani. Anaelipa ada ndo anaemiliki mtoto ili msuse kwa haki🤝
Exactly mkuu,una hoja usikilizweKila mtu anavuna alichopanda. Kwa watoto wenye upendo wa kweli hawawezi jenga matabaka kwa wazazi.
Kuna sababu zinazofanya watoto wamjali mama zaidi. Kwa mifano hai niliyoishuhudia na ninayoendelea kuishuhudia ndio chanzo. Uwezi kumzalisha mwanamke umuache apo anapambana na watoto enzi za ujana wako alafu umezeeka ndio unataka ukaribu na watoto.
Ukali nao ni sababu nyingine, kuwa mkali inapotakiwa lakini sio kila mda ni kufoka foka mpaka watoto wakisika baba anakuja wanakimbia vyumbani. Tengeneza urafiki na wanao.
Mzima sijui wewe?Salama. Mzma?
Niko [emoji106]Mzima sijui wewe?
Kutimiza wajibu wako kama baba wa familia hilo ndio jambo la msingi bila kujali yajayo.Hakuna namna utafanya kuwahamisha watoto wakupende kama wanavyompenda mama yao.
Chakufanya mwanaume timiza wajibu wako kama baba wa familia, halafu punguza matarajio ya kwamba ni lazima waje wakusaidie, ili wasipokusaidia usife kwa pressure! Kama ni msaada wakupe kwa kupenda wao hasa watoto wako wa kiume maana nao inawezekana watakuwa na majukumu ya kulisha familia zao.
Aina noma ✊✌Niko [emoji106]
Ipo mada humu kuhusu hili, watu washayaonja maji kwa mikono kitambo.Safi sana. Tunaanza kuwabadilisha ubini sasa. Kama baba yake ni john nundu mtoto ataitwa jina la umamani. Anaelipa ada ndo anaemiliki mtoto ili msuse kwa haki🤝
Umeandika kwa machungu sana. Pole sana kwa yaliyokukutaNimeona tabia hii imeshika Kasi sana ,akina mama au wazazi wenzetu wanatutambua kama wazazi pindi watoto wanapohitaji karo za shule na mahitaji yote! Wake zetu huwaambia watoto kupeleka mahitaji yao kwa baba ' iwe karo, mavazi, chakula, matibabu na kila kitu mhusika mkuu ni baba!! Lakini baadae watoto hubadilika na kumtelekeza baba Kisha kuambatana na mama!
Watoto wakishafanikiwa baba anageuka adui! Kila kitu ni mama, mama atajengewa nyumba, mama atapandishwa ndege, mama atafanyiwa shopping na wakati mwingine kumhamisha mama kabisa na kumuondoa mikononi mwa baba!
Akina baba huko vijijini wana hali mbaya sana! Watoto hawapokei hata simu za akina baba Kuna haja gani akina baba kuendelea kuwaghalamikia watoto wa kizazi hiki wasio na akili?
Labda tuangalie kwa uchache mahitaji ya familia.Safi sana. Tunaanza kuwabadilisha ubini sasa. Kama baba yake ni john nundu mtoto ataitwa jina la umamani. Anaelipa ada ndo anaemiliki mtoto ili msuse kwa haki🤝
Kwahiyo school fees unaongelea ya shule za kata au??Labda tuangalie kwa uchache mahitaji ya familia.
1. Chakula na mavazi
2. School fees.
3. Umeme luku.
4. Bill ya maji
5. Ulinzi shirikishi.
6. Tozo ya takataka.
Sasa kwakuwa sasa hivi wanawake wana ajira zao, hivi hapa ukilipa school fees halafu baba akacover hizo item 5 ndio zinakupa akili ya kumbadili mtoto ubini?
Tena hapo sijaingiza kodi ya nyumba kwa waliopanga nyumba.
Kwahiyo school fees unaongelea ya shule za kata au??
Wanaume mnasusa watoto wenu ili mumkomoe mwanamke? Mambo yasiwe mengi kama ameweza kulipa ada, basi tozo za takataka 3000 kwa mwezi hawezi kushindwa kupata. Matumizi ya umeme watapunguza kwanza mda wa kuangalia tv mnapata wapi mnashinda makazini na shuleni.
Inshort
Wanaume mshapoteza mamlaka ya uanaume maana saizi familia nyingi walipaji ada ni wanawake mkubali mkatae. Mmekaa wakata viuno tu