Kwa sasa jukumu la kusomesha watoto apewe mwanamke pekee, wanaume tunadharaulika sana watoto wakifikia kilele cha mafanikio

Kwa sasa jukumu la kusomesha watoto apewe mwanamke pekee, wanaume tunadharaulika sana watoto wakifikia kilele cha mafanikio

Ndio mnajengewa nyumba halafu sisi tunaambiwa nyumba yetu ya kudumu no kaburi eti!!!
Mkikubaliana na Ukweli wa toka dahari kwamba hakuna jambo linatokea bahati mbaya hapa duniani, mtachagua njia sahihi ya kupita na kupitisha kizazi chenu cha kiume.

Life will never be fair, and that’s the best part!
 
Kila mtu anavuna alichopanda. Kwa watoto wenye upendo wa kweli hawawezi jenga matabaka kwa wazazi.

Kuna sababu zinazofanya watoto wamjali mama zaidi. Kwa mifano hai niliyoishuhudia na ninayoendelea kuishuhudia ndio chanzo. Uwezi kumzalisha mwanamke umuache apo anapambana na watoto enzi za ujana wako alafu umezeeka ndio unataka ukaribu na watoto.

Ukali nao ni sababu nyingine, kuwa mkali inapotakiwa lakini sio kila mda ni kufoka foka mpaka watoto wakisika baba anakuja wanakimbia vyumbani. Tengeneza urafiki na wanao.
Exactly mkuu,una hoja usikilizwe
 
Hakuna namna utafanya kuwahamisha watoto wakupende kama wanavyompenda mama yao.
Chakufanya mwanaume timiza wajibu wako kama baba wa familia, halafu punguza matarajio ya kwamba ni lazima waje wakusaidie, ili wasipokusaidia usife kwa pressure! Kama ni msaada wakupe kwa kupenda wao hasa watoto wako wa kiume maana nao inawezekana watakuwa na majukumu ya kulisha familia zao.
Kutimiza wajibu wako kama baba wa familia hilo ndio jambo la msingi bila kujali yajayo.
 
Nimeona tabia hii imeshika Kasi sana ,akina mama au wazazi wenzetu wanatutambua kama wazazi pindi watoto wanapohitaji karo za shule na mahitaji yote! Wake zetu huwaambia watoto kupeleka mahitaji yao kwa baba ' iwe karo, mavazi, chakula, matibabu na kila kitu mhusika mkuu ni baba!! Lakini baadae watoto hubadilika na kumtelekeza baba Kisha kuambatana na mama!

Watoto wakishafanikiwa baba anageuka adui! Kila kitu ni mama, mama atajengewa nyumba, mama atapandishwa ndege, mama atafanyiwa shopping na wakati mwingine kumhamisha mama kabisa na kumuondoa mikononi mwa baba!

Akina baba huko vijijini wana hali mbaya sana! Watoto hawapokei hata simu za akina baba Kuna haja gani akina baba kuendelea kuwaghalamikia watoto wa kizazi hiki wasio na akili?
Umeandika kwa machungu sana. Pole sana kwa yaliyokukuta
 
Safi sana. Tunaanza kuwabadilisha ubini sasa. Kama baba yake ni john nundu mtoto ataitwa jina la umamani. Anaelipa ada ndo anaemiliki mtoto ili msuse kwa haki🤝
Labda tuangalie kwa uchache mahitaji ya familia.
1. Chakula na mavazi

2. School fees.

3. Umeme luku.

4. Bill ya maji

5. Ulinzi shirikishi.

6. Tozo ya takataka.

Sasa kwakuwa sasa hivi wanawake wana ajira zao, hivi hapa ukilipa school fees halafu baba akacover hizo item 5 ndio zinakupa akili ya kumbadili mtoto ubini?

Tena hapo sijaingiza kodi ya nyumba kwa waliopanga nyumba.
 
Labda tuangalie kwa uchache mahitaji ya familia.
1. Chakula na mavazi

2. School fees.

3. Umeme luku.

4. Bill ya maji

5. Ulinzi shirikishi.

6. Tozo ya takataka.

Sasa kwakuwa sasa hivi wanawake wana ajira zao, hivi hapa ukilipa school fees halafu baba akacover hizo item 5 ndio zinakupa akili ya kumbadili mtoto ubini?

Tena hapo sijaingiza kodi ya nyumba kwa waliopanga nyumba.
Kwahiyo school fees unaongelea ya shule za kata au??

Wanaume mnasusa watoto wenu ili mumkomoe mwanamke? Mambo yasiwe mengi kama ameweza kulipa ada, basi tozo za takataka 3000 kwa mwezi hawezi kushindwa kupata. Matumizi ya umeme watapunguza kwanza mda wa kuangalia tv mnapata wapi mnashinda makazini na shuleni.

Inshort
Wanaume mshapoteza mamlaka ya uanaume maana saizi familia nyingi walipaji ada ni wanawake mkubali mkatae. Mmekaa wakata viuno tu
 
Mwanaume unalilia upendo wa watoto wako? Unataka kudekezwa kama wanavyomdekeza mama yao? Wanaume tumeumbiwa mapambano toka utoto hadi uzee, hakuna kuonewa huruma unavuna ulichopanda, hicho unachovuna ndicho ulichopanda, usilalamike na kutaka kuonewa huruma.
 
Kwahiyo school fees unaongelea ya shule za kata au??

Wanaume mnasusa watoto wenu ili mumkomoe mwanamke? Mambo yasiwe mengi kama ameweza kulipa ada, basi tozo za takataka 3000 kwa mwezi hawezi kushindwa kupata. Matumizi ya umeme watapunguza kwanza mda wa kuangalia tv mnapata wapi mnashinda makazini na shuleni.

Inshort
Wanaume mshapoteza mamlaka ya uanaume maana saizi familia nyingi walipaji ada ni wanawake mkubali mkatae. Mmekaa wakata viuno tu
FB_IMG_1716244182688.jpg
 
Kwenye psychology kuna aina tofauti za malezi. Vile utakavyomlea mtoto wako ndio mbegu flani unaipanda kwake. Malezi yetu kwa watoto ni mbegu ambayo matunda yake ndio tutakayo yavuna uzeeni.
 
Watoto ukitaka wakudharau na kukutenga wakikua basi mtese mama yao, ujanani hukujali wanao waliishi vipi ni kutoka alfajiri kurudi usiku wa manane uko bwax na matusi ovyo ovyo leo umezeeka watoto wakupende hiyo vipi?? Hawakukuzoea tangu watoto ukubwani watakuwaje close
 
Back
Top Bottom