Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

Jamani, muwe mnasoma post zote zilizotangulia, kabla ya kuongeza yako! Imefafanuliwa hapa, hakuna kitu hicho kiitwacho TARIFF O!
We nae vipi?Hicho kitu kipo ila kinaitwa jina jingine sasa wewe inakukera mini?
 
Kundi la matumizi ya viwanda elfu 10 wanapata gb ngapi?
 
Mimi sijawahi zidisha units 50 kwa mwezi tangia niunge umeme 2018 lakini hawajaniweka kwenye hiyo tarrif D1
Mkuu rudi nyuma kwenye maelezo yake amesena kigezo cha kwanza ni uwe kijijini, wewe Upo Goba una disqualify
 
Unaanza na kutukana halafu unaomba msaada
 
Meter ya mama yangu ilipiga short baada ya kuanguka mti huko barabarani wakaja TANESCO wakaiangalia wakasema haifai tena ilikuwa na unit 190 wakasema hatuwezi kuzipata maana tumefungiwa meter Mpya hazihamishiki
 
Nyumba yangu, tumelipia umeme, gharama zote na kila kitu ni tangu mwezi wa nne mwishoni lakini mpaka leo hamjaja kuweka umeme na tuliambiwa ni ndani ya mwezi mmoja tu.

Mnazungusha zungusha tu
Yaan wewe yale maneno ya kalemani uliyaamini ?, zile zilikuwa ni porojo tu, endelea kusuubiri labda mwezi kwao haujaisha
 
Unaanza na kutukana halafu unaomba msaada
Wewe uaona sio wezi ?, haya wanayoyafanya kwa wateja ni nini ?, siombi msaada, ndio maana nimesema waweke utaratibu mzuri ili mtu akae mahala anapostahili, sio mtu haki yako mpaka ujiombeleze, umesikia mdau mmoja amesema pale juu kwamba, kukuweka tarifu 1 ni auto lakini ukitaka kurudishwa tarrif 4 ni mpaka uandike maombe na yakajadiliwe, kwangu mimi huo ni wizi
 
Meter ya mama yangu ilipiga short baada ya kuanguka mti huko barabarani wakaja TANESCO wakaiangalia wakasema haifai tena ilikuwa na unit 190 wakasema hatuwezi kuzipata maana tumefungiwa meter Mpya hazihamishiki
Mkuu, ukifuatilia wanakurudishia.
 
Tanesco mkitoka kula eid msisahau kunijibu hili leo nilinunua umeme wa tsh. 500 kama nilivyozoea nkakuta mmeikata na unit ikasoma zero zero. Nkanunua tena wa 500 nkipata unit mbona mwanzo haikuwa Hivyo maana matumizi yangu sio makubwa Hivyo inakuaje tsh 500 ya mwanzo mliikata sikupata unit
 
Sasa kama nilikuwa nanunua unit 5.7 kwa 2000/= na hiyo sio tarrif Zero, kwanini sasa mbadilishe mtunyonye hivyo?

Mimi nawasha bulb 4 tu na kuchaji simu.
 
Tafadhali weka namba yako ya mita tukujibu kwa taarifa kamili
Nilikwenda office za tanesco baada ya kufungiwa umeme kuuliza kuhusu tarif zero walijibu hiyo tarif kwa sasa haipo wameifuta
 
WEEE NDUGU HUTAKI KUSHIKAMANA
KAMA HUJUI.NDIO MSHIKAA......HUO
 
Mbuge babu tale
Kusoma bajeti yawizara na uijadili nikazi inahtaj maarifa mana imeandikwa na mtaalam
 
Hongera kumbe unajenga, tungejuaje sasa, kaza umalize jengo sasa
 
Tanesco, naona hamjibu maoni na maswali ya wadau
 
Tanesco wanakwepa tu kuwaambia ukweli hapa ili kifupi ni kuwa hiyo huduma kwa Sasa ipo vijijini tu kwa Yale maeneo ambayo wana ruzuku.
Mimi nimejaza form tangu mwanzoni mwa mwezi wa nane mwaka Jana na kipindi chote hicho wamekuwa wakinizungusha tu hadi juzi walipoamua kuniambia ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…