Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 723
- 1,157
We nae vipi?Hicho kitu kipo ila kinaitwa jina jingine sasa wewe inakukera mini?Jamani, muwe mnasoma post zote zilizotangulia, kabla ya kuongeza yako! Imefafanuliwa hapa, hakuna kitu hicho kiitwacho TARIFF O!
Kundi la matumizi ya viwanda elfu 10 wanapata gb ngapi?Ndugu wapendwa wateja wetu!
Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.
Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Mkuu rudi nyuma kwenye maelezo yake amesena kigezo cha kwanza ni uwe kijijini, wewe Upo Goba una disqualifyMimi sijawahi zidisha units 50 kwa mwezi tangia niunge umeme 2018 lakini hawajaniweka kwenye hiyo tarrif D1
Unaanza na kutukana halafu unaomba msaadaNyie ni wezi, mngekuwa mna nia njema ya kutoa huduma kwa wateja mngekuwa wazi na mambo yenu, mimi natumia unit 60-65 kwa mwezi bado niko tarrif 4, namba yangu ya mita ni 01313926840, wekeni utaratibu mzuri smart wa mtu kuwasiliana na makao makuu kwa ajili ya kupata huduma hii, maana tukienda kwenye ofisi zenu za kanda na mikoani huduma ni mbaya sana
Yaan wewe yale maneno ya kalemani uliyaamini ?, zile zilikuwa ni porojo tu, endelea kusuubiri labda mwezi kwao haujaishaNyumba yangu, tumelipia umeme, gharama zote na kila kitu ni tangu mwezi wa nne mwishoni lakini mpaka leo hamjaja kuweka umeme na tuliambiwa ni ndani ya mwezi mmoja tu.
Mnazungusha zungusha tu
Wewe uaona sio wezi ?, haya wanayoyafanya kwa wateja ni nini ?, siombi msaada, ndio maana nimesema waweke utaratibu mzuri ili mtu akae mahala anapostahili, sio mtu haki yako mpaka ujiombeleze, umesikia mdau mmoja amesema pale juu kwamba, kukuweka tarifu 1 ni auto lakini ukitaka kurudishwa tarrif 4 ni mpaka uandike maombe na yakajadiliwe, kwangu mimi huo ni wiziUnaanza na kutukana halafu unaomba msaada
Maneno yapi nayaamini mkuu ?Yaan wewe yale maneno ya kalemani uliyaamini ?, zile zilikuwa ni porojo tu, endelea kusuubiri labda mwezi kwao haujaisha
Mkuu, ukifuatilia wanakurudishia.Meter ya mama yangu ilipiga short baada ya kuanguka mti huko barabarani wakaja TANESCO wakaiangalia wakasema haifai tena ilikuwa na unit 190 wakasema hatuwezi kuzipata maana tumefungiwa meter Mpya hazihamishiki
Sasa kama nilikuwa nanunua unit 5.7 kwa 2000/= na hiyo sio tarrif Zero, kwanini sasa mbadilishe mtunyonye hivyo?Ndugu wapendwa wateja wetu!
Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.
Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Nilikwenda office za tanesco baada ya kufungiwa umeme kuuliza kuhusu tarif zero walijibu hiyo tarif kwa sasa haipo wameifutaTafadhali weka namba yako ya mita tukujibu kwa taarifa kamili
WEEE NDUGU HUTAKI KUSHIKAMANAHii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,
Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.
Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.
Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".
Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.
Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Na bado kwanza serikali angalieni na mafundi mbalimbali yaani juzi tuu hapa fundi kanikamua 1,000,000 eti kujenga msingi na nyumba usawa wa Renta huku hajalipa kodi yoyote
Hamuoni mnapoteza mapato ,wapenzi leseni za kazi hao,kwa sasa hawalipi kodi ila utasikia nao wanalilia eti bei ya miamala iko juu,pumbavu sana
Jikite kwenye hoja sio mambo binafsi ya mtuHongera kumbe unajenga, tungejuaje sasa, kaza umalize jengo sasa
Tanesco, naona hamjibu maoni na maswali ya wadauNdugu wapendwa wateja wetu!
Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.
Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Unataka fundi alipe kodi wewe ikusaidie nini ?, mbona hujahoji hao viongozi wa serikali wao kutolipa kodi ??Hongera kumbe unajenga, tungejuaje sasa, kaza umalize jengo sasa