Sasa mbona TANESCO ndio walionielekeza kwa contractor na waliniambia mikipata risiti ya contractor nirejeshe kwao ili kazi iweze kuanza?Mkuu upo mchezo usiokubalika hapa.Worse still TANESCO walijua nature ya kazi,kwamba ni kuweka mita tu,lakini waling'ania niende kwa Contractor.Sasa mkuu let us be realistic,katika mazingira ya namna hii nitaiamije TANESCO?Kimsingi haukulipa hela TANESCO kwa kuwa malipo kwa mkandarasi ni makubaliano yenu hivyo fika ofisi unaa za taratibu na ulipe kwa kupitia control number utakayopewa.
Tafadhali tofautisha malipo ya kazi ya mkandarasi aliyokufanyia na gharama za kufungiwa umeme.Mkandarasi wala mtu yeyote mwingine hapaswi kupokea malipo kwa niaba ya TANESCO, Je ulimlipa ya nini?Sasa mbona TANESCO ndio walionielekeza kwa contractor na waliniambia mikipata risiti ya contractor nirejeshe kwao ili kazi iweze kuanza?Mkuu upo mchezo usiokubalika hapa.Worse still TANESCO walijua nature ya kazi,kwamba ni kuweka mita tu,lakini waling'ania niende kwa Contractor.Sasa mkuu let us be realistic,katika mazingira ya namna hii nitaiamije TANESCO?
TANESCO waliniambia hiyo 30000 ni ya contractor nimlipe yeye,ya kwao ni Sh.27,000!Anyway hapa kuna collaboration ya upigaji mkuu iko wazi,tuyaache nilitaka ufafanuzi tu,ila naona napigwa chenga.Mimi najuaje system yenu.Inaelekea walitumia ujinga wangu kuniingiza mkenge sawa.Tafadhali tofautisha malipo ya kazi ya mkandarasi aliyokufanyia na gharama za kufungiwa umeme.Mkandarasi wala mtu yeyote mwingine hapaswi kupokea malipo kwa niaba ya TANESCO, Je ulimlipa ya nini?
Tafadhali fata taratibu zetu kwa huduma boraTANESCO waliniambia hiyo 30000 ni ya contractor nimlipe yeye,ya kwao ni Sh.27,000!Anyway hapa kuna collaboration ya upigaji mkuu iko wazi,tuyaache nilitaka ufafanuzi tu,ila naona napigwa chenga.Mimi najuaje system yenu.Inaelekea walitumia ujinga wangu kuniingiza mkenge sawa.
Nilifuata taratibu nilizoelekezwa na TANESCO lakini sikupata huduma,TANESCO ni kilio tupu.Tafadhali fata taratibu zetu kwa huduma bora
4740 6034 6049 7238 9199Tanesco nimenunua umeme sipati majibu mpaka sasa na hela imeshakatwa tayari au ndo mmeshanitoa kwenye matumizi madogo meter namba 24219546025
Tupo vizuriTan kama Tan
4740 6034 6049 7238 9199
Hahahah kila mtu si angekimbilia kulimit matumizi yasivuke hapo kwani wao hawataki hela 😅😅😅Tanesco kwann msingeset mita zenu ziwe na uwezo wa kutambua matumizi ya umeme kwa kipindi fulani mfano Kama matumiz yake ya umeme kwa miez mitatu mfulizo n chini ya unit 75 bas mita automatic imrudishe kwenye hiyo tarif zero
Na Kama matumizi yanazid kwa unit 75 bas mita impelekee tarif ya juu zaid hii ingepunguza hyo mosongamano ya kuja huko kwenu kijazana maofisin
Inawezekana labda teknolojia yenu ipo chini lakn mnaweza kuanza taratibu had mkamaliza nchi nzima
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
We jamaa pole kwa ban!Hahahah kila mtu si angekimbilia kulimit matumizi yasivuke hapo kwani wao hawataki hela [emoji28][emoji28][emoji28]
Thanks man! Im baqWe jamaa pole kwa ban!
habari ndugu, naomba unifafanulie kuhusu hizi tarrifu, maana nasikia mara tarrif 1 mara tarrif 0 mara tarrif T1, nani anapaswa/anastahiri kuwa na tarrif ipi ?, asanteTanesco wanakwepa tu kuwaambia ukweli hapa ili kifupi ni kuwa hiyo huduma kwa Sasa ipo vijijini tu kwa Yale maeneo ambayo wana ruzuku.
Mimi nimejaza form tangu mwanzoni mwa mwezi wa nane mwaka Jana na kipindi chote hicho wamekuwa wakinizungusha tu hadi juzi walipoamua kuniambia ukweliView attachment 1863093
Tanesco mnakosea Sana kupata mapato. Wekeni tarrif mbili TU yaani za matumizi ya kawaida na viwanda ili Kila mnufaika wa umeme alipe. Mbona petrol na he's hakuna mambo hayo? Wekeni wote tarrif 4 na Wenye viwanda wabaki upande wao tukusanye mapato ili mjiendeshe kibiashara! Angalizo hapa ni kuwa kusiwepo mgao Tena!Tafadhali weka namba yako ya mita tukujibu kwa taarifa kamili
Sawa naomba muongozo Mimi matumizi yangu ni chini ya units 30 kwa mwezi ,juzi umeme uliisha nikaambiwa niwasiliane na tanesco nipate key change ,nikapiga namba zenu+255768985100 ila haikupokelewa ,Jana hivyo pia nikaamua kwenda tanesco wakanipatia hizo key change 4777-6541-8646-6604-6225 na 3347-2566-8527-3862-7220 meter no.24210087060 baada yakuingiza nikanunua umeme wa sh.elfu tano token 57644350865507321285 ila zinanigomea haziingii naomba msaada kwa hiliTafadhali tambua sio kwa sasa bali muda wote wateja waliopo mijini wenye matumizi ya kuanzia unit 76 hadi 7500 kwa mwezi wanakuwa Tarif 1 na waliopo vijijini wenye matumizi chini ya unit 75 kwa miezi mitatu mfululizo wanakuwa Tarif four na waliozidi hapo hadi 7500 wanakuwa tarif 1. Hii ipo wazi kwenye miongozo yetu
Why tarrifs tofauti tofauti??Sio kweli kuwa anayetumia sana ndio anayelipa sana watumiaji wa umeme haswa viwanda bei yao ipo chini zaidi na wana matumizi makubwa zaidi lengo ni kuhamasisha uzalishaji, kuboresha hali ya maisha na kuhakikisha mfumuko wa bei unakuwa rafiki.Kuhusu kucharge wote kiasi kimoja ushauri umechukuliwa