Tanesco kwann msingeset mita zenu ziwe na uwezo wa kutambua matumizi ya umeme kwa kipindi fulani mfano Kama matumiz yake ya umeme kwa miez mitatu mfulizo n chini ya unit 75 bas mita automatic imrudishe kwenye hiyo tarif zero
Na Kama matumizi yanazid kwa unit 75 bas mita impelekee tarif ya juu zaid hii ingepunguza hyo mosongamano ya kuja huko kwenu kijazana maofisin
Inawezekana labda teknolojia yenu ipo chini lakn mnaweza kuanza taratibu had mkamaliza nchi nzima
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app