Wanawake wazuri wanapata akili kwenye 30s , ila 20s wanakuwa ni mali ya umma.
Haijalishi unahudumia vipi ila wajuba watamt0mb@ tu.
Kuna siku nikimsikia dada mmoja kwa masikio yangu mawili, mmewe ana V8 na gari nyingine mbili za kutembelea wanashare na mkewe, wana nyumba ya kifahari, nikisema nyumba ya kifahari namaanisha, office ambayo mkewe anashinda kwa thamani inafika milioni zaidi ya 200 kwa sababu vifaa vilivyomo tu unajiongeza.
Nilimsikia yule dada anasema "yaani wakati mwingine unajisikia kabisa kubadili mwanaume".
Hapo tumekaa mahala flani tunakunywa whiskey na yeye akiwepo na jamaa wengine wawili.
Ukimuona huyo dada ni pisi kweli kweli.
Nikajisemea tu moyoni ihiiiiiiiiiii....