Kwa sasa sipo tayari kuolewa, nahitaji kufanya mambo yangu

Kwa sasa sipo tayari kuolewa, nahitaji kufanya mambo yangu

Hizo ni propaganda kama propaganda nyingine tu, wanaume mnawatukana wanawake mitandaoni kwa kile mnachodai hamfurahishwi na maovu yao ila cha ajabu bado mnawaoa, pamoja na kutishia kwamba hamuoi na kuwashawishi wengine wakatae ndoa kwa lengo la kuwakomoa wanawake lakini cha ajabu bado kila siku ndoa zinafungwa
Makiseo nitakuchapa acha fujo haraka [emoji1787]
Cha ajabu zaidi ni kipi hapo sasa, hujawahiona ajali zitokeazo kila siku za magari lakini bado tu Watu hununua na kupambania ndoto hizo hizo za kumiliki magari[emoji848]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
unaweza kuwa na pesa na ukawa fala vile vile, all nice guys are idiots
Hapana tumekubaliana kwamba ukiwa na pesa ndio una akili na maarifa, lakini ukiwa masikini hata uwe na maadili wewe ni mpumbavu tu, ndio maana nikakuuliza ni universal law gani inayoamua kwamba kwamba fulani ana akili na fulani mjinga
 
Makiseo nitakuchapa acha fujo haraka [emoji1787]
Cha ajabu zaidi ni kipi hapo sasa, hujawahiona ajali zitokeazo kila siku za magari lakini bado tu Watu hununua na kupambania ndoto hizo hizo za kumiliki magari[emoji848]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hahaha Makiwendo hebu njoo uone hizi akili za wanaume wa jf, sasa katika muktadha huo kati ya wanaume na wanawake ni kina nani wana uhitaji zaidi na ndoa, yani kwa kutumia huo mfano wako kati ya gari na dereva nani anayemhitaji zaidi mwenzake
 
Hizo ni propaganda kama propaganda nyingine tu, wanaume mnawatukana wanawake mitandaoni kwa kile mnachodai hamfurahishwi na maovu yao ila cha ajabu bado mnawaoa, pamoja na kutishia kwamba hamuoi na kuwashawishi wengine wakatae ndoa kwa lengo la kuwakomoa wanawake lakini kila siku ndoa zinafungwa
Sasa kweli tusipowaoa mtaishi vipi?
Hata mzazi mtoto anaweza kumuudhi na akamtandika lakini haimaanishi hampendi.

Tusipooa wanawake watateseka na msongo wa mawazo, Mungu anasema tupendane.

Mwanaume anapambana kazini kwenye mazingira magumu ya kazi ili familia ipate chochote ila nyie hicho hamuwezi, mwanaume akifulia tu ni matusi, dharau kumvunjia heshima.

Kiukweli mwnamke bila mwanaume maisha ya mwanamke yatakua ya hovyo, na hatoheshimika hata mtaani, huna mtoto, huna mme, unaishi ndani peke yako, wanawake mnatuhitaji sana sema hamsemi tu. Siku tukiweka mgomo wa kutokuoa mtajinyonga.
 
Je na takwimu za wanawake wanaohitaji kuolewa pia inapanda au inashuka
Tafiti ya kisayansi unaweza google, mwanamke ambae katika maisha yake hajawahi kupata mtoto yupo kwenye uwezekano wa hatari kubwa ya kupata kansa ya ovary, ieleweke kwamba mwanamke ambae amezaa watoto kadhaa au mtoto huwa wanakua na mzunguko wa hedhi mchache. Sasa wewe maisha yako yote kuanzia usichana hadi uzee unakuwa kwenye mzunguko kila mwezi, yaani hupumziki miaka na miaka lazima uwe kwenye uwezekano wa kupata matatizo ya uzazi, hio ni research ya Nationa Cancer Institute, USA, unaweza bishana nao mkuu.



Hivyo mwanamke ambae hajawahi kuzaa kuna hatari ya uwezekano kupata matatizo ya kiafya.

Mpaka hapo umeona umuhimu wa mwanaume.

Nyie fanyeni yote ila mwisho mtatutafuta tu na mnatuhitaji sana tu, sasa tukianza kuringa timaweza pelekea mkapata maradhi, na sisi hatupendi kuona mnateseka bure, ndio maana wengine mtaani tunaamua kiwasaidia kuwapa watoto kiroho safi, haiwezekani ukose mme na mtoto ukose, kwanza ni hatari kiafya kukosa mtoto.
 
Sasa kweli tusipowaoa mtaishi vipi?
Hata mzazi mtoto anaweza kumuudhi na akamtandika lakini haimaanishi hampendi.

Tusipooa wanawake watateseka na msongo wa mawazo, Mungu anasema tupendane.

Mwanaume anapambana kazini kwenye mazingira magumu ya kazi ili familia ipate chochote ila nyie hicho hamuwezi, mwanaume akifulia tu ni matusi, dharau kumvunjia heshima.

Kiukweli mwnamke bila mwanaume maisha ya mwanamke yatakua ya hovyo, na hatoheshimika hata mtaani, huna mtoto, huna mme, unaishi ndani peke yako, wanawake mnatuhitaji sana sema hamsemi tu. Siku tukiweka mgomo wa kutokuoa mtajinyonga.
Ndio maana nasema hizi ni propaganda kama propaganda nyingine tu yani toka enzi na enzi mmeaminishwa kwamba mwanamke bila mwanaume hawezi ila mwanaume bila mwanamke ndio anaweza, mkuu hivi kwa kuangalia uhalisia pamoja na jinsi single mothers wanavyopambana kulisha na kusomesha watoto wao bado mnahisi hawawezi bila wanaume, je wanaume mkiachiwa watoto wadogo mnaweza kuwalea bila kuhitaji msaada wa wanawake (bila kujali ni mama watoto au la) au mkiachiwa nyumba mnaweza kuhandle majukumu bila kuhitaji msaada wa ke
 
Ushawahi kusikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke? Ukweli ni kwamba ambae anakua tayari kwa kuoa ni mwanaume ambae ataenda kubeba jukumu la kutoa security katika familia, kwa maana iyo mwanaume anatakiwa kusimama kiuchumi kwanza ndipo awe tayari kwa kuoa.

Kwa mwanamke atapofika umri wa kuwa mtu mzima(miaka 18) na sio mwanafunzi basi yupo tayari kwa kuolewa.

Ukisikia kauli kutoka kwa mwanamke "kwa sasa sipo tayari kuolewa nahitaji kufanya mambo yangu" tafsiri yake ni kwamba bado anahitaji muda wa kuendelea kufanya anasa na umalaya bila bugudha.

Hiki ndicho kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye peak yake ya uzuri hiki ndicho kipindi mwanamke anawachomolea au kuwasubirisha kwanza nice guyz na husband materials wakati huo bad boyz ndio wanapewa mzigo

Baada ya miaka mingi sana mwanamke huyu akishaingia kwenye declining stage ya uzuri wake(30+), akishachezewa na bad boyz, akishaalibu kizazi kwa abortions na P-2, kwa kifupi akishakua na background mbaya kwa yoyote mwanaume makini ndipo atakapotulia na kusubiri ajitokeze nice guy mmoja fala fala wa kumuoa.

Hiki ndicho kipindi mwanamke anaanza kuwakumbuka wale nice guyz na husband materialz waliokua wanambabaikia sana kipindi cha nyuma. Mwanaume usije ukaingia kwenye huu mtego wa kuoa makapi.
Nionyeshe zilipo bikra niende mkuu
 
Tafiti ya kisayansi unaweza google, mwanamke ambae katika maisha yake hajawahi kupata mtoto yupo kwenye uwezekano wa hatari kubwa ya kupata kansa ya ovary, ieleweke kwamba mwanamke ambae amezaa watoto kadhaa au mtoto huwa wanakua na mzunguko wa hedhi mchache. Sasa wewe maisha yako yote kuanzia usichana hadi uzee unakuwa kwenye mzunguko kila mwezi, yaani hupumziki miaka na miaka lazima uwe kwenye uwezekano wa kupata matatizo ya uzazi, hio ni research ya Nationa Cancer Institute, USA, unaweza bishana nao mkuu.



Hivyo mwanamke ambae hajawahi kuzaa kuna hatari ya uwezekano kupata matatizo ya kiafya.

Mpaka hapo umeona umuhimu wa mwanaume.

Nyie fanyeni yote ila mwisho mtatutafuta tu na mnatuhitaji sana tu, sasa tukianza kuringa timaweza pelekea mkapata maradhi, na sisi hatupendi kuona mnateseka bure, ndio maana wengine mtaani tunaamua kiwasaidia kuwapa watoto kiroho safi, haiwezekani ukose mme na mtoto ukose, kwanza ni hatari kiafya kukosa mtoto.
Mkuu mimi hakuna mahali nimeongelea umuhimu wa kuzaa kwa mwanamke bali nimeongelea umuhimu wa ndoa kwa mwanamke, kiuhalisia wanawake wanahitaji zaidi watoto kuliko ndoa na mwanamke kuzaa siyo lazima awe na ndoa siku hizi wala hawaogopi kuitwa single mothers ni wanaume ndio mnaforce usingle mother uonekane mbaya ili wanawake waendelee kuona umuhimu wa ndoa ambao kiuhalisia haupo kwao, hivi katika dunia ya leo ambayo wanaume hadi wanadonate sperms na wanawake wanazaa kwa kuchukua hizo sperms bila hata kujali identity wala origin ya hao sperm donors ndio mnasema eti bila ninyi hawawezi mbona mnajifariji sana
 
Huyo ni malaya

Unakuta anatombesha kwa wanaume wengi na anataka aendelee kula hela zao so anataka uhuru, hataki kuolewa.

Huwa wakishagonga 27+ na mvuto kupungua au kuisha na labda wamekuwa single moms na kuona wanaume hawavutiwi nao kama zamani ndio huanza kuhangaika kupata wa kuwaoa

Good news ni kwamba mwisho wa siku huwa wanaolewa na wanaume ambao sio wa ndoto zao na low value men
 
Ndio maana nasema hizi ni propaganda kama propaganda nyingine tu yani toka enzi na enzi mmeaminishwa kwamba mwanamke bila mwanaume hawezi ila mwanaume bila mwanamke ndio anaweza, mkuu hivi kwa kuangalia uhalisia pamoja na jinsi single mothers wanavyopambana kulisha na kusomesha watoto wao bado mnahisi hawawezi bila wanaume, je wanaume mkiachiwa watoto wadogo mnaweza kuwalea bila kuhitaji msaada wa wanawake (bila kujali ni mama watoto au la) au mkiachiwa nyumba mnaweza kuhandle majukumu bila kuhitaji msaada wa ke
Hakuna majukumu ya nyumbani mwanaume anashindwa kufanya, kuanzia kupika, kulea watoto hadi usafi.
Sema muda wa utafutaji unabana, mimi mtoto niliyemzaa mwenyewe, damu yangu na uchungu nae siwezi kushindwa kumsafisha akijisaidia, kumpikia chakula akiwa na njaa, kumpeleka clinic , kumfulia nguo, kumfunga nepi n.k, kwa sababu ni mtoto wangu.

Hata kumbeba mgongoni nabeba ni damu yangu siwezi acha mtoto mchafu, ana njaa kwanza roho itaniuma.

Tatizo mnadanganyana huko saloon wanaume hawawezi kufanya hizo kazi za kirembo. Kazi anazofanya mwanaume hawezi shindwa kufanya kazi za nyumbani.



Licha ya hivyo unaweza kutafuta mtu akusaidie kazi ukamlipa kama huna muda.

Naendelea kusema mwanamke pasipo mwanaume kuna kitu hakitokua sawa kwenye maisha yake.
 
Ushawahi kusikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke? Ukweli ni kwamba ambae anakua tayari kwa kuoa ni mwanaume ambae ataenda kubeba jukumu la kutoa security katika familia, kwa maana iyo mwanaume anatakiwa kusimama kiuchumi kwanza ndipo awe tayari kwa kuoa.

Kwa mwanamke atapofika umri wa kuwa mtu mzima(miaka 18) na sio mwanafunzi basi yupo tayari kwa kuolewa.

Ukisikia kauli kutoka kwa mwanamke "kwa sasa sipo tayari kuolewa nahitaji kufanya mambo yangu" tafsiri yake ni kwamba bado anahitaji muda wa kuendelea kufanya anasa na umalaya bila bugudha.

Hiki ndicho kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye peak yake ya uzuri hiki ndicho kipindi mwanamke anawachomolea au kuwasubirisha kwanza nice guyz na husband materials wakati huo bad boyz ndio wanapewa mzigo

Baada ya miaka mingi sana mwanamke huyu akishaingia kwenye declining stage ya uzuri wake(30+), akishachezewa na bad boyz, akishaalibu kizazi kwa abortions na P-2, kwa kifupi akishakua na background mbaya kwa yoyote mwanaume makini ndipo atakapotulia na kusubiri ajitokeze nice guy mmoja fala fala wa kumuoa.

Hiki ndicho kipindi mwanamke anaanza kuwakumbuka wale nice guyz na husband materialz waliokua wanambabaikia sana kipindi cha nyuma. Mwanaume usije ukaingia kwenye huu mtego wa kuoa makapi.
Nice guy anatokeza dakika za majeruhi maku imeshachakazwa na kumwagiwa mbegu za kila aina..
 

Attachments

  • IMG_20240515_174321.jpg
    IMG_20240515_174321.jpg
    53.6 KB · Views: 10
Hakuna majukumu ya nyumbani mwanaume anashindwa kufanya, kuanzia kupika, kulea watoto hadi usafi.
Sema muda wa utafutaji unabana, mimi mtoto niliyemzaa mwenyewe, damu yangu na uchungu nae siwezi kushindwa kumsafisha akijisaidia, kumpikia chakula akiwa na njaa, kumpeleka clinic , kumfulia nguo, kumfunga nepi n.k, kwa sababu ni mtoto wangu.

Hata kumbeba mgongoni nabeba ni damu yangu siwezi acha mtoto mchafu, ana njaa kwanza roho itaniuma.

Tatizo mnadanganyana huko saloon wanaume hawawezi kufanya hizo kazi za kirembo. Kazi anazofanya mwanaume hawezi shindwa kufanya kazi za nyumbani.



Licha ya hivyo unaweza kutafuta mtu akusaidie kazi ukamlipa kama huna muda.

Naendelea kusema mwanamke pasipo mwanaume kuna kitu hakitokua sawa kwenye maisha yake.
Bado naendelea kusema hizi ni propaganda kama propaganda nyingine tu yani unaongea kana kwamba ni rahisi na wanaume wote wanafanya hivyo, mbona wanaume wengi hawafanyi hayo unayosema na ni lazima wawahitaji mama wa hao watoto au wawaajiri wasaidizi wa kazi za nyumbani ambao ni wanawake, sasa kama ninyi mnaona muda wa utafutaji unawabana mbona huwa mnataka wanawake wawasaidie kutafuta pesa na bado wafanye majukumu ya nyumbani je wao muda wa utafutaji ndio hauwabani na ukizingatia wanawake wengi huwa wana multi task bila uwepo wa wanaume kwenye maisha yao hiyo nayo imekaaje hapo
 
Siyo hivyo Bali anakuwa anamtafuta anayemtaka mwenye vigezo VYOTE kama alivyojipangia ambapo ni vigumu kumpata hivyo basi anakuwa anatoa tu upwayu Kwa wanaume huku akisubiri anayemtaka wa vigezo vyake

Umri ukienda anaanza kupunguza mashart hatimaye mwanaume yeyote yule hata yeyote hapatikani nyie yaaani
Anamtafuta ye ndo anayeoa au anaolewa? mtatafuta sana.
 
Mkuu mimi hakuna mahali nimeongelea umuhimu wa kuzaa kwa mwanamke bali nimeongelea umuhimu wa ndoa kwa mwanamke, kiuhalisia wanawake wanahitaji zaidi watoto kuliko ndoa na mwanamke kuzaa siyo lazima awe na ndoa siku hizi wala hawaogopi kuitwa single mothers ni wanaume ndio mnaforce usingle mother uonekane mbaya ili wanawake waendelee kuona umuhimu wa ndoa ambao kiuhalisia haupo kwao, hivi katika dunia ya leo ambayo wanaume hadi wanadonate sperms na wanawake wanazaa kwa kuchukua hizo sperms bila hata kujali identity wala origin ya hao sperm donors ndio mnasema eti bila ninyi hawawezi mbona mnajifariji sana
Wanawake wengi hawapendi hio style ya uzazi.
Kwa hio mtoto ukimzaa kama ni jina lake ni John utamuita John Sperm? Je huyo mtoto akikua utamuambia wewe nilienda kununua sperm dukani baba yako simjui, na huyo mtoto anapokua anaona wenzake wana baba halafu unakuja kumuambia we baba yako ni kikopo cha sperm nilinunia dukani?

Mambo mengine haya make sense huo uzungu hata wazungu wenyewe hio njia hawa prefer ni wachache sana na kwa sababu maalumu, na wanakua tayari kwa misukosuko mbeleni huko.

Si bora aje nimpe mimba kesho mtoto akiuliza baba yupo wapi atamleta nilipo.
 
Mngekuwa na huruma basi hiyo huruma ingeanzia kwenye kuacha kuwatongoza wanawake ambao hamna malengo nao kwa lengo la ku hit and run, lakini badala yake mnawachezea kwa raha zenu kwa kisingizio kwamba ni wao ndio wanaoteseka hivyo ni wajibu wao kujitunza, huo nao ni unafiki tu kwa sababu sasa hivi mitandao imejaa lawama za wanaume kuhusu tabia za wanawake ila pamoja na hayo yote bado mnaendelea kuwaoa kwahiyo maana yake ninyi mko tayari kuteseka kwa lengo la kuwafurahisa wanawake tu si ndio
Aisee dada unalipwa kubishana na watu humu jf
 
Ndio maana nasema hizi ni propaganda kama propaganda nyingine tu yani toka enzi na enzi mmeaminishwa kwamba mwanamke bila mwanaume hawezi ila mwanaume bila mwanamke ndio anaweza, mkuu hivi kwa kuangalia uhalisia pamoja na jinsi single mothers wanavyopambana kulisha na kusomesha watoto wao bado mnahisi hawawezi bila wanaume, je wanaume mkiachiwa watoto wadogo mnaweza kuwalea bila kuhitaji msaada wa wanawake (bila kujali ni mama watoto au la) au mkiachiwa nyumba mnaweza kuhandle majukumu bila kuhitaji msaada wa ke
Anayelipa kodi ya nyumba nani, anayelipa ada ya shule, pesa ya chakula n.k, wanaume wanatoa sehemu kubwa ya kipato chao ku provide kwa ajili ya familia, ukikuta familly mwanamke anatoa hata 30% ujue huyo mwanamke wa kipekee.

Familia nyingi asilimia zaidi ya 90 mtoaji ni mwanaume.

Hapo unataka afue, afanye usafi, akae na watoto n.k umekuwa malkia au rais, mwanamke kazi za nyumbani ni halali kwake.

Ndio maana wana tabia huwa wanataka kuolewa na mwanaume anayemzidi uchumi ili tu baadhi ya majukumu amuachie mwanaume.

Kama mnaona hatuwezi kazi za nyumbani katafute pesa nikae nyumbani kama hutakuta nimepaka hadi rangi paa la nyumba. Nyie naona mnacheza.
 
Back
Top Bottom