Kwa sasa sipo tayari kuolewa, nahitaji kufanya mambo yangu

Kwa sasa sipo tayari kuolewa, nahitaji kufanya mambo yangu

Wanawake wengi hawapendi hio style ya uzazi.
Kwa hio mtoto ukimzaa kama ni jina lake ni John utamuita John Sperm? Je huyo mtoto akikua utamuambia wewe nilienda kununua sperm dukani baba yako simjui, na huyo mtoto anapokua anaona wenzake wana baba halafu unakuja kumuambia we baba yako ni kikopo cha sperm nilinunia dukani?

Mambo mengine haya make sense huo uzungu hata wazungu wenyewe hio njia hawa prefer ni wachache sana na kwa sababu maalumu, na wanakua tayari kwa misukosuko mbeleni huko.

Si bora aje nimpe mimba kesho mtoto akiuliza baba yupo wapi atamleta nilipo.
Mkuu usichokijua ni kwamba wanawake wa kizazi hiki na vizazi vinavyokuja wanatambaa na biti yani wanareact kulingana na wanaume wanavyoact, wanaume wengi wanaojifanya wanakataa ndoa si kwamba ni kweli hawataki ndoa, ila lengo lao ni kutaka eti wanawake wabadilike warudi kuwa wema

Sasa kwa bahati nzuri au mbaya mmekuta hawa wanawake wa leo na wa kesho hawako tayari kurudi kuwa wake wema, badala yake nao ndio kwanza wanatafuta namna ya kuishi na kuwa na furaha bila wanaume yani wameamua liwalo na liwe, kama wanaume wameamua kumwaga ugali basi wao wanamwaga mboga na maji ya kunawa kabisa hii ni tofauti na bibi zetu

Sasa hilo ndilo ambalo wanaume wengi bado hamtaki kulikubali sababu hamjazoea haya mambo toka kwa wanawake, yani bado mnaishi kwenye fantasies kwamba wanawake siku zote wanatakiwa kuwa decent kwahiyo mlichobaki nacho ni kujifariji tu, ilihali wanawake ndio wameshaamua kujibu mapigo na wameamua liwalo na liwe no turning back no matter the consequences
 
Anayelipa kodi ya nyumba nani, anayelipa ada ya shule, pesa ya chakula n.k, wanaume wanatoa sehemu kubwa ya kipato chao ku provide kwa ajili ya familia, ukikuta familly mwanamke anatoa hata 30% ujue huyo mwanamke wa kipekee.

Familia nyingi asilimia zaidi ya 90 mtoaji ni mwanaume.

Hapo unataka afue, afanye usafi, akae na watoto n.k umekuwa malkia au rais, mwanamke kazi za nyumbani ni halali kwake.

Ndio maana wana tabia huwa wanataka kuolewa na mwanaume anayemzidi uchumi ili tu baadhi ya majukumu amuachie mwanaume.

Kama mnaona hatuwezi kazi za nyumbani katafute pesa nikae nyumbani kama hutakuta nimepaka hadi rangi paa la nyumba. Nyie naona mnacheza.
Aloo hivi wewe unaongelea wanaume hawa hawa wa kiafrika au unaongelea wanaume wa maeneo gani, hawa hawa wanaume ambao achilia mbali watoto hata wakiwa kwenye mageto yao tu wenyewe, wanaona uvivu kufanya hizo kazi wanategemea wapenzi wao wakija kuwatembelea ndio wawafanyie

Kuna uzi mmoja ulianzishwa humu kuwauliza wanawake walikutaje mazingira ya nyumbani, baada ya wao kuondoka na kuwaacha waume zao kwa muda mfupi asee majibu ya wanaume wengi yalinisikitisha sana, yani unaona ni dhahiri bado wanaume hawajalipokea hili suala la wao kuyachukulia majukumu ya nyumbani kama ya kwao bado wana ile mitazamo ya babu zetu

Mimi nimekuuliza ni wanawake wangapi wanatelekezwa na watoto na bado wanapambana wenyewe kuhakikisha watoto wanakula na wanasoma, kuanzia wakiwa wadogo hadi wakiwa watu wazima huku pia wakihangaika na malezi na makuzi ya watoto bila msaada wa wanaume, je ni wanaume wangapi wanaweza ku multi task kama hivo bila msaada wa wanawake
 
Mkuu usichokijua ni kwamba wanawake wa kizazi hiki na vizazi vinavyokuja wanatambaa na biti yani wanareact kulingana na wanaume wanavyoact, wanaume wengi wanaojifanya wanakataa ndoa si kwamba ni kweli hawataki ndoa, ila lengo lao ni kutaka eti wanawake wabadilike warudi kuwa wema

Sasa kwa bahati nzuri au mbaya mmekuta hawa wanawake wa leo na wa kesho hawako tayari kurudi kuwa wake wema, badala yake nao ndio kwanza wanatafuta namna ya kuishi na kuwa na furaha bila wanaume yani wameamua liwalo na liwe, kama wanaume wameamua kumwaga ugali basi wao wanamwaga mboga na maji ya kunawa kabisa hii ni tofauti na bibi zetu

Sasa hilo ndilo ambalo wanaume wengi bado hamtaki kulikubali sababu hamjazoea haya mambo toka kwa wanawake, yani bado mnaishi kwenye fantasies kwamba wanawake siku zote wanatakiwa kuwa decent kwahiyo mlichobaki nacho ni kujifariji tu, ilihali wanawake ndio wameshaamua kujibu mapigo na wameamua liwalo na liwe no turning back no matter the consequences
Kwa ujuaji wako huu, ni haki kabisa kukosa ndoa.
 
Umekubaliana na nani?
Kwenye dunia ya leo pesa ndio kila kitu, wenye pesa ndio wanaosikilizwa kwenye mambo mengi hata yanayohusu mapenzi, wewe na umasikini wako hata ukisema huoi unafikiri wanawake watatetemeka kwamba kuna kitu umewapunguzia maishani mwao
Sasa unaniuliza mimi? wewe ndio utafute takwimu za unachouliza
Tatizo nikileta takwimu mnaishia kusema mimi mbishi na mjuaji na mnadai kuwa naandika maoni yangu wakati mimi huwa naandika uhalisia, ukweli ni kwamba kadiri idadi ya wanaume wanaotaka kuoa inavyozidi kupungua ndivyo na idadi ya wanawake wanaotaka kuolewa inavyozidi kupungua, uzuri hata ninyi ni mashahidi ni wanawake wangapi wanakuwa asked for their hands in marriage ila wanagoma wakidai hawako tayari kuolewa kwa wakati huo eti hadi wafikie umri mkubwa ndio wawe tayari kuolewa hapo wanaume mnajisikiaje
 
Wanawake wanaonekana wako desperate na ndoa kwa sababu siyo wao wanaoamua ndoa, kwa tamaduni zetu anayeamua ndoa ni mwanaume ndiye anayejua atamuoa nani ila mwanamke hajui ataolewa na nani, lakini cha ajabu pamoja na wanaume kuwa na maamuzi yote ya ndoa ila bado wanaoa wanawake hawa hawa ambao wanadai wameharibika kimaadili na hawafai kuolewa ilihali wana uwezo wa kuacha kuwaoa
Wanaume wanarogwa, wanawake wanakesha Kwa waganga kulilia ndoa...

Kwa msingi huo kwann wasioe Vimeo??
 
Kwa ujuaji wako huu, ni haki kabisa kukosa ndoa.
Jadili hoja achana na hizi kauli tumeshazizoea, bongo ukiona mtu anakuita mbishi au mjuaji ujue hana hoja, ni kwamba yeye ndiye hajui kwahiyo anajihisi inferior kukuona wewe unajua zaidi yake hivyo anatafuta kauli za kujifariji
 
Wanaume wanarogwa, wanawake wanakesha Kwa waganga kulilia ndoa...

Kwa msingi huo kwann wasioe Vimeo??
Mkuu nani awaroge hawa wanaume ambao wanaonekana maisha yao tu yameshawavuruga, kwa uchumi gani hasa walionao hadi warogwe au bado mnaishi katika enzi za babu na bibi zetu, ukweli ni kwamba mnaoa kwa sababu mnahitaji ndoa fullstop..wala hakuna sababu nyingine
 
Ni malofa kwa mujibu wa nani na ni universal law gani inayoamua kwamba wanaume wanaooa wanawake ambao wameshatumika ni malofa ni ipi, je kina Ruge (aliyetaka kumuoa Nandy ambaye video yake ya ngono na Bill Nass iliwahi kuvuja) na Majizo (ambaye amemuoa Eliza aliyetembea na wanaume wengi maarufu) na hao wote wana pesa, nani lofa ukilinganisha na ninyi mafukara mnaotegemea mijimama na mishangazi kuishi mjini hebu nisaidie hapo
Hao wote uliowataja wanasifa za ziada. Ukiacha umalaya wao.
 
Tatizo nikileta takwimu mnaishia kusema mimi mbishi na mjuaji na mnadai kuwa naandika maoni yangu wakati mimi huwa naandika uhalisia, ukweli ni kwamba kadiri idadi ya wanaume wanaotaka kuoa inavyozidi kupungua ndivyo na idadi ya wanawake wanaotaka kuolewa inavyozidi kupungua, uzuri hata ninyi ni mashahidi ni wanawake wangapi wanakuwa asked for their hands in marriage ila wanagoma wakidai hawako tayari kuolewa kwa wakati huo eti hadi wafikie umri mkubwa ndio wawe tayari kuolewa hapo wanaume mnajisikiaje
Leta takwimu wewe acha maneno mengi, idadi ya wanaume wanaooa takwimu zinashuka na hili suala hata Rais alishaliongelea kumbuka Rais ana vyanzo vya uhakika vya takwimu, sasa wewe izo takwimu zako za wanawake kutotaka ndoa umezitoa wapi
 
Hao wote uliowataja wanasifa za ziada. Ukiacha umalaya wao.
Sifa zipi za ziada ambazo wanawake wengine hawana, nimewatolea mifano hao sababu ni maarufu ila wapo wanawake wengi wenye historia ya umalaya na bado wanapata wanaume wazuri tu wakuwaoa, na unakuta hao wanaume wanakuwa wanajua historia za hao wanawake ila bado wanaamua kuwaoa na ndoa zinadumu
 
Leta takwimu wewe acha maneno mengi, idadi ya wanaume wanaooa takwimu zinashuka na hili suala hata Rais alishaliongelea kumbuka Rais ana vyanzo vya uhakika vya takwimu, sasa wewe izo takwimu zako za wanawake kutotaka ndoa umezitoa wapi
Siyo kila kitu hadi utafuniwe kama kweli unahitaji kujua basi fuatilia ila kama hutaki basi endelea kujifariji, pita mitandaoni uone jinsi mabinti wengi wanavyogomea ndoa wengine wanadai wanataka wazalishwe tu kisha walee wenyewe ila hawataki kuolewa, ukisema eti wakifika uzeeni wanaanza kutamani ndoa basi hiyo siyo kwao tu hata wanaume wanaojifanya kukataa ndoa ujanani wakifika uzeeni nao wanaanza kutamani ndoa na wengi huamua kuoa
 
Aloo hivi wewe unaongelea wanaume hawa hawa wa kiafrika au unaongelea wanaume wa maeneo gani, hawa hawa wanaume ambao achilia mbali watoto hata wakiwa kwenye mageto yao tu wenyewe, wanaona uvivu kufanya hizo kazi wanategemea wapenzi wao wakija kuwatembelea ndio wawafanyie

Kuna uzi mmoja ulianzishwa humu kuwauliza wanawake walikutaje mazingira ya nyumbani, baada ya wao kuondoka na kuwaacha waume zao kwa muda mfupi asee majibu ya wanaume wengi yalinisikitisha sana, yani unaona ni dhahiri bado wanaume hawajalipokea hili suala la wao kuyachukulia majukumu ya nyumbani kama ya kwao bado wana ile mitazamo ya babu zetu

Mimi nimekuuliza ni wanawake wangapi wanatelekezwa na watoto na bado wanapambana wenyewe kuhakikisha watoto wanakula na wanasoma, kuanzia wakiwa wadogo hadi wakiwa watu wazima huku pia wakihangaika na malezi na makuzi ya watoto bila msaada wa wanaume, je ni wanaume wangapi wanaweza ku multi task kama hivo bila msaada wa wanawake
Sasa mwanaume kutelekeza mtoto huo ni ujinga, na ujinga huu upo hata kwa wanawake tena wao wanaua kabisa watoto, mfano kutoa mimba, hamuelewi uhai wa mtoto unaanzia tumboni, kutoa mimba ni ukatili, au mtu anajifungua ananyonga mtoto, au anamtupa jalalani, haya matukio ni mengi, mnanyofoa mimba kama hamna akili vizuri, ujinga mwingine kubambika mwanaume mtoto si wake, unajua kabisa hio mimba ni fulani unambambika mwingine, mna roho ngumu sana.

Ndio maana wanaume wengine wanakataa mnasema mmetelekezwa.


Kuhusu single mother kulea watoto.
Kwani ni wanaume wangapi wanalea watoto si wao, unakuta mwanaume hana mtoto anaoa mwanamke ana watoto wawili, mwanaume anawatunza watoto kama wake na kuwahudumia bila neno, shida ni mwanamke amkute mwanaume ana watoto na mwanamke aliyeachana nae, au mkewe alifariki, aisee kwa asilimia kubwa mwanamke atalea watoto kwa ubaguzi mara nyingine kuwatesa, tumeshasikia sana kuhusu mama wa kambo. Sijui aina hii ya wanawake wanakuwaga na roho ya aina gani, watoto wanaanza kumchukia mama wa kambo, familia nyingi ipo hivyo.

Unakuta mwanaume anasomesha ndugu wa mwanamke, anahudumia familia ya mwanamke kama yake kuanzia mama hadi mzee, nyumbani anakaa anakaa na ndugu wa mwanamke vizuri.
Hio nyie mnaweza? Hata kama una pesa unaweza kusomesha ndugu wa mwanaume na nikisema kusomesha unaelewa mziki wake, mnaweza kukaa kistaarabu na mama mkwe nyumbani kwa amani na heshima?
Hilo kwa asilimia kubwa hamuwezi, lazima chokochoko zianze. Fanya research hata nyuzi za hapa jf utathibitisha hili. Fanya research uangalie kuna vijana wangapi wamesomeshwa na shemeji zao wa kiume.
Kuna rafiki yangu kasomeshwa na shemeji yake toka utoto, akampeleka China akarudi, akampeleaka kwenye kampuni yake hivi sasa anafanya kazi hapo, jamaa kaachana na dada yake lakini bado msela anafanya kazi kwake, jamaa(huyo mwanangu) hadi kanunua gari na ghorofa Dodoma kwa kazi hio shemeji yake kampa, wanawake mnaweza? Acheni nyie, wanaume wangapi wamejenga kwa mwanamke, kuuguza wazazi wa mwanamke, nyie mnaweza?

Wanaume wanaojielewa wana roho za kizungu sana, wanaume mnawahitaji tena sana tu.
 
Back
Top Bottom