Kwa sera za namna hii, Tanzania inaweza badilisha hali yake ya kiuchumi na kuwa taifa imara ukanda wa Kusini mwa Afrika ama inahtaji mageuzi zaidi?

Kwa sera za namna hii, Tanzania inaweza badilisha hali yake ya kiuchumi na kuwa taifa imara ukanda wa Kusini mwa Afrika ama inahtaji mageuzi zaidi?

Kama hapo umeshaona kazi haiendelei fikra lazima zije hela imeliwa ama hazipo na hii inapelekea haylta mwananchi kutokuwa mstari wa mbele kwenye kuinua uchumi wa nchi na kutojali nchi yake
Haijengwi na mkandarasi halipwi kwakua "hicho sio kipaumbele chetu"
 
Tz tutajua kula na sikutafuta,alieonyesha njia ni jiwe pekee ndio maana uchumi ulikua kwa haraka sana , baada ya mola kumchukua nchi imerudi kule alikosema huku hatufiki,walimuita mvunja haki za binadamu kwakua upigaji ulibanwa but sasa slogani yetu ni Mkalitazame na hili
Hari na molari ya wananchi kutafuta inawezaletwa ama kuongezwa kutokana na nini kinacho sikika masikioni mwao.

Media zikionesha uchapakazi wenye complexity yaani (miradi mikubwa na mizuri wananchi waliokuwa wanaitamani) basi wananchi watajua ama kweli hapa kama huyu tulie mkubali ana onesha juhudi hizi na mimi hebu niamke nikapambane maana tunapoenda ni kuzuri.

Ila ukilala ukiamka unakuta Yanga wamsema hili, msemaji wa simba kakanusha ukienda huku fulani katumbuiza huku huyu kafanya hili inapoteza hari ya wale wanaopambana.

Inatakiwa ifike hatua hata mfanya biashara akikatwa kodi basi anasema lakini inaenda fanya kitu na kimesha fanyika ila wakikatwa kodi sababu hawaoneshwi kwa wingi nini kina fanyika basi wanajua hela inaenda mifukoni mwa watu.

Kwahiyo dira kwa ujumla inatakiwa ibadilike sio kila kitu cha kuwaonesha watu na sio kila kitu cha kukiweka hewani tuweke hewani ufanisi wa kweli na unaofanyika na ulio fanyika utakao chochea hari ya wananchi kupiga kazi na kuwa na mtazamo mkubwa na mzuri kwa taifa.

Kuna baadhi ya nchi ukienda tv zao matangazo wanaonesha major and big projects zilizo kamilika na zinazo endelea ni feeling moja kubwa sana mpaka unasema daah hawa wamefika mbali ila sisi hakuna hili kwa wingi
 
Hatuna Sera yeyote ya maendeleo tuna Sera za kukandamiza Wananchi wawe masikini zaidi kwa kuwafanya watumie usafiri unaoweza kuwaua dakika yeyote Bajaji na Boda boda huku wakikandamiza vitu bora kuingia kwa gharama nafuu Tanzania..
 
Nakuonea huruma unaandika mambo mazito sana yanayotaka watu wenye uwezo kuyapangia mikakati.

Hao vijana waliopo hapo leo wanaotakiwa kushika nchi kesho the future is not bleak but darker.

Uhalisia ni kwamba hawana uwezo kabisa.

Mfano mdogo nilikuwa sielewi tatizo la extent ya foreign exchange ukifanya biashara Tanzania as an importer kupata.

Salaleh kupata hela ni shida, sasa waziri mwenyewe anakwambia sio shida. Hila ni tatizo kubwa sana kwa sasa.

Kwa importers wenye akili timamu faida yao lazima waidai kwa malipo ya dollar ili ku-mitigate inflation risk ya currency devaluation.

Maana ukipanga bei na mtu ya kiasi fulani biashara ya million 50 tu hadi akupatie hiyo bila ya kukubaliana fixed rate importer una loose. Hiyo hela kwake kuikusanya kupata dollar, pound au euro ni mtihani.

Hali ya foreign Tanzania ni mbaya sana, mimi mwenyewe nimejionea. Sijui waagizaji wa mafuta na large quantities za essential commodities wanapitia mtihani gani.

Halafu hapo hapo unaona Irene uwoya anaringishia $10000 ambazo hana shida nazo za biashara.

Huyo mama na serikali ya watu wasiojali sidhani kama wanaelewa ukubwa wa tatizo, yaani hali ni mbaya sana kwenye foreign. Halafu waziri analeta siasa.

Foreign exchange Tanzania hali ni mbaya.

Hiyo mipango yako mingine ya akili mleta mada kwa maendeleo ya taifa sahau sio kwa watu ni zero.

Pole, muhimu ni kuwakumbusha tu lakini kwa mapoyoyo ya kufukia hizo hazma zako sahau.

Aisee mungu anajuwa hawa waagizaji wa essential commodities hela wanatoa wapi.

Hali ni mbaya sana
Ahsante ssna Mayor Quimby ni kweli naelewa kinacho andikwa hapa huenda kikawa kigumu kwa watu na wanao endesha kulielewa na kulifanyia kazi lakini ukiongea una amsha uelewa wa watu hasa humu Jamii forum.

Ndio maana unaona kila siku zinavyo enda Jamii forum kuna ongezeko la mada zisizoleta tija kwa jamii japo zipo zenye mashiko ila ndio tumesha iita jamii tayari sio kila mtazamo wako utafanana na watu wote na kufanya watu wafikirie zaidi juu ya taifa na mipango endelevu ya Taifa.

Kuhusu swala la manunuzi kutoka nnje kwa wafanya boashara wa soko la ndani nadhani cha kwanza wenye dhamana wanatakiwa wajue wapi kunapo fanya hii hali ibadilike sababu kupanda kwa kiwango cha kubadili fedha kwa hela zote tuzitumiazo kutaleta maumivu ndani ya mwaka huu kabla haujaisha.

Yaani kutapelekea mfumuko wa bei kwa bidhaa za nnje na hii itafanya wazalishaji hata wa chakula wa ndani nao wazidishe bei.

Kulikata hilo kabla halijatokea na kuwa kubwa iangaliwe ni kwa namna gani exchange rates zinaweza pungua na hii usiwe ushawishi wa kisiasa yaani kuwalazimisha wenye taasisi za fedha kushusha kiwango cha rates wakati uhalisia sio hivyo hata bank kuu.

Wakiweza hiyo hali waangalie na ni kwa namna gani wanaweza kuzuia ubadilishanaji wa hizo fedha mtaani kusiwe na flow kubwa mtaani kuliko kwemye taasisi husika ( la muhimu na hatari hili).
Hii itapelekea taasisi kuwa na idadi kubwa kuliko mtu mmoja mmoja na hii itaweza ondoa ulipukaji wa bei ya fedha za kigeni sokoni.

Yapo mengi Siwezi andika yote lakini tukae kitaalamu na kiuweledi zsidi kama si hivyo basi wananchi watachukia na kutoa imani yao moja kwa moja
 
Asante kiongozi kwa andiko ..ila umesahau kwamba tuna kila kitu isipokuwa UONGOZI BORA!
Ahsante sana Mtemi Mbojo uongozi bora unatokana na malengo sera na mafundisho ya wanaopewa vijiti, naimani wanaweza kuwa vizuri zaidi kama wakikaa chini na wakongwe, na wenye nia nzuri ya sera na malengo kwa taifa, yakawekwa mezani basi kila aingiae atajua nini kazi yake.

Lakini tukifanya mambo pasipo sera, malengo na mpangilio tutakuwa tuna rusha ndoano kila upande tukidhani tutapata chochote kitu.

Mkakati uwepo wapi kunapatikana hiki kitu na tutakipataje kwa muda gani na kwa staili ipi ikisha tambulika basi mmoja anatoswa tuu kikubwa walio nyuma yake wamshikilie yeye vizuri au kamba ilio kiunoni kwake waishike vizuri ndani ya muda tutapata kila samaki tuliokuwa tunauhitaji nao
 
Habari za jioni wana jamii leo nimekaa na kuwaza kuhusu nchi yetu ya Tanzania kwa kina na kwa upana sikuwa na budi bali kuandika haya mambo kwa sisi watanzania wote

Tanzania ni nchi ambayo imekaa vizuri kijiografia yaani tumezungukwa na nchi nane tunaweza sema tisa tukiweka na visiwa vya Comoros. Strategically Tanzania ni nchi nzuri kiuwekezaji na kiuchumi kwa namna ya kuzungukwa na nchi karibia tisa.


Tukija swala la pili Tanzania ni lango kuelekea kusini mwa afrika nchi kama maalawi,zambia na hata congo, hapa tunaweza jumuisha Burudi na hata Rwanda kwa namna fulani.

Tukiongezea kwenye idadi ya watu kwa ukanda huu wa kusini mwa afrika ni kati ya nchi yenye idadi kubwa ya watu pamoja na wanyama.

Tanzania ukiachana na idadi ya watu, ina eneo la mraba mkubwa sana zaidi ya nchi zilizo pakana nazo ukiachana na Congo upande wa magharibi.

Kwa namna hiyo kama taifa inawezekanaje bado tukawa na hali ya wasiwasi wa kichumi na ya kufikirisha na ukiongeza kwa rasilimali ni nchi naweza sema pekee duniani imezungukwa na maji katika kila pande kaskazini mashariki ,magharibi pamoja na kusini.

Kwa namna ya kawaida tunaweza sema ni nchi ya asali na maziwa ambayo kila binadamu pamoja na kiongozi huenda ana imezea mate japo sisi bado tuna wasiwasi wa namna tutakavyo amka kesho yake, hii ni kwa majority japo natambua wapo wasio na wasi wasi juu ya kesho yao, kwenye swala la kiuchumi.

View attachment 3083681

Kama taifa, viongozi wake Ndugu Raisi, Makamu, Spika, Mawaziri, Wabunge, pamoja na viongozi wote kwanini tusiwe na sera za muda mrefu (miaka 10 - 20) au mfupi (miaka 2 mpaka 5) za kiuchumi kwa taifa kwenye mambo tofauti?. Juhudi za viongozi wote mlijitahidi kwenye kuitangaza nchi hasa kwenye utalii na mengine mengi lakini kuna mambo tunaweza yasahau madogo ama hata makubwa ambayo yanahitaji jicho makini na la tofauti ili kuendeleza taifa letu la Tanzania na kuweka ahuweni na imani kwa wana wa Tanzania hasa swala la uchumi :-

1. Itungwe sera ya kuwekeza kwenye miundo mbinu ya nchi kuanzia barabara, maji, umeme majengo ya shule na biashara.
Kama taifa na viongozi wake wanaweza kuweka sera ya miaka mitatu sababu tumesha jitangaza vya kutosha na kuwekeza hela kwenye utalii na mambo mengine. Je tunaweza jaribu haya:-

(i) Tujitahidi kuanza sera ya maji kwenye kila kijiji fedha zitakazo pangwa kwa ajili ya matangazo basi tuanze la maji na upatikanaji wake, kutokana na matumizi yake kuwa muhimu kwenye shughuli za kila siku. Hii tuipe hata sera ya miaka miwili itategemea na serikali itapanga bajeti kiasi gani kwa sababu kasi ya mradi nadhani huwa inategemea fungu lililowekwa pamoja na ufanisi wa watendaji wa huo mradi lakini muda utakuwa muhimu zaidi kwenye haya mambo.

(ii) Iwepo sera ya kusambaza umeme kila kijiji kila mtaa hii imeshafanyika huenda sehemu kubwa ya nchi inabidi tuupeleke kote ila hapa inatakiwa uwepo uangalifu na nyumba inayo fungiwa umeme ili kukwepa gharama za uharibifu pale ambapo majanga yatatokea hata madogo kama upepo na ukaharibu nyumba isio imara, kwasababu tunaelewa hali zetu watanzania vidole vyote havilingani na ndivyo hivyo kwenye swala la ujenzi pia kila nyumba itajengwa kwa ubora kutokana na kipato cha mtu. Hii sera ya umeme inaweza kuja baada ya maji kwa sababu uwekezaji wa bomba za maji huwa zina husisha uchimbaji wa mitaro mikubwa.

(iii) Kwenye sera ya tatu ni ujenzi wa barabara tujitahidi kila eneo ambalo linatumika kama chanzo kikubwa cha mapato basi barabara iweze kupita hapo ya kiwango bora cha lami, tujitahidi kupeleka hizi barabara mashambani, karibia na migodi, na hata mipakani mwa mbuga za wanyama bila kusahau vijijini kwa wakulima hii itasaidia usafirishaji wa hizi rasilimali zote pamoja na watu kufika kwenye maeneo hayo kwa usalama, uharaka na bila shida yoyote na hata mboga mboga pamoja nafaka zita safirishwa kwa muda mfupi kuliko sasa.

Kwa sababu kwenye uchumi wowote ili ukuwe tunatakiwa tujitahidi kupunguza muda wa usafirishaji wa rasilimali ama utengenezaji wa vitu kwa namna hiyo tutaifanya Tanzania kuwa nchi ambayo iko makini na haraka kwenye sekta na swala la uchukuzi.

(iv) Ya nne itashangaza lakini itasaidia tuwekeze kwenye ujenzi wa shule vyuo vikubwa hospitali za hadhi ya juu kwenye kutibu magonjwa na hata kuwekeza kwenye tafiti za kidunia sababu hakuna nchi ilio endelea kwa kushabikia mpira miziki na mengine kwa kiwango kinachozidi utafiti yaani researches, nchi zinazo endelea ni kutokana na sera nzuri za kwenye utafiti either science, uchumi na siasa tusome duniani nchi nyingine zina fanya nini na sisi tunaweza changia nini hii itaweza vutia wana zuoni wengi kuja Tanzania na kusoma mfano tunaona nchi ya afrika kusini ukiachana na miundombinu ila watu wengi wanatamani pia kwenda kusoma huko ukienda ulaya na Asia ndio usiseme, kila mwana wa Afrika anapatamani.

@ Kwenye sera ya ujenzi wa shule yaani vyuo vikubwa tujitahidi kila mkoa uwe na chuo chenye hadhi kama ya chuo kikuu dar es salaam ama zaidi hii itachangia pia uinuaji wa uchumi kwenye mikoa iliokuwa haionekani na pia itafanya wanafunzi wanaomaliza mikoa husika kusoma vyuo vikuu na vikubwa kwa kila mkoa ambao atakuwepo na wengine wanaweza pia kuomba nafasi ya kusoma kwenye hivyo vyuo lakini la muhimu hapa itaamsha shughuli za kiuchumi kwa kila mkoa wa Tanganyika na Zanzibar.

(b) Na kwenye hospitali kufanyike vivyo hivyo kwa sasa tunaweza anza na mikoa yenye idadi nyingi ya watu na ipo angalau vizuri kiuchumi kuendeleza hospitali zao mkoa ziwe kama muhimbili au kujenga hospitali kubwa za hadhi ya muhimbili au zaidi zenye vifaa na wataalamu wazuri ili kusaidia jamii za eneo husika kwenye nyanja tofauti. Hii itafanya nchi kuto endelea upande mmoja tuu tutajijuta kila mkoa wa Tanzania kuna fursa kutokana na upatikanaji wa vitu muhimu

(c) Kujijenga imara na kiteknolojia zaidi kwenye swala la ulinzi cha kwanza imani irudushwe kwa wananchi juu ya vyombo vyetu vya usalama, pili inawezekana kila mkoa kukawa na mfumo wa vinasa picha yaani kamera za matukio ambazo zita unganishwa na vituo vidofompaka vikubwa vya kila kata wilaya, mkoa na hata nchi kwa namna hii nawahakikishia kama suala la watu kwenda Serengeti, Zanzibar Udizungwa Kilimanjaro wata miminika mpaka tuweke sheria kali kama baadhi ya nchi kama China

Sababu tutakuwa tuko vizuri sehemu zote muhimu hili la ulinzi naimani wenye nafasi wanaweza liboresha zaidi na tuka aminika sababu hili ni kati ya changamoto kwa nchi zetu za afrika Tanzania tukitatua basi tutakuwa na ugeni usiokuwa na idadi kati ya 6Million hata 10Million kwa mwaka na itashangaza.

Kwa namna hii nadhani tunaweza peleka taifa letu mbele zaidi ila inahitaji watu wenye upendo wa kweli kwa nchi yetu. Tukumbuke tunaweza tukala kila kitu na kuiporoka Tanzania na hata kuona watu wake hawastahili mazuri ama wana stahili lakini sio kwa kiwango kikubwa, ila usije ukasahau hii ardhi ndio itakayo kupokea siku ikikuhitaji utajisikiaje umefanya mambo ambayo hukuweza kuondoka nayo wakati yalikuwa kwenye uwezo wako tuipende Tanzania tuipende afrika naelewa ni ngumu kwa sera zote kufanyika kutokana na vikwazo vingi vitakavyoweza kuinuka lakini tujitahidi hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunaweza kimbilia ulaya kula na kukaa ila kama ulitokea kwenye uso wa Tanzania basi kumbuka kuna siku utataka ukurudishe ardhini kwake utakumbukwa kwa lipi juubya taifa lako?
Bandiko zuri sana mkuu, lakini hili litafaa kama stories of change humu jamvini kwa ufupi tuna uhaba wa rasilimali watu.
 
Hatuna Sera yeyote ya maendeleo tuna Sera za kukandamiza Wananchi wawe masikini zaidi kwa kuwafanya watumie usafiri unaoweza kuwaua dakika yeyote Bajaji na Boda boda huku wakikandamiza vitu bora kuingia kwa gharama nafuu Tanzania..
Ni kweli Isanga inaonekana umeumia na kuvunjika imani lakini nauhakika wao pia wanatamani kufanya jambo zuri litakalo onekana lakini masikio ya wapokeaji huenda yanaenda kufa inakuwa ngumu kusikia kila mlio mzuri wao wataugeuza na kufikiri nu mlio utakao wapa maumivu zaidi.

Kikubwa ni kwa wenye nafasi kukaa chini na kufanya litakalo leta amani na kuonekana tena kwa watu wao
 
Bandiko zuri sana mkuu, lakini hili litafaa kama stories of change humu jamvini kwa ufupi tuna uhaba wa rasilimali watu.
Shukrani sana City of lies basi kama itawezekana modes walipeleke sehemu ambayo kutakuwa na mchango mzuri wa watu kikubwa taifa liende sehemu bora zaidi na tuwe na hali nzuri zaidi
 
Thread 'Vunja Statasi Kuo, (2025-2050) Ni Nyakati Za Mabadiliko Kuifikia Tanzania Tuitakayo' SoC04 - Vunja Statasi Kuo, (2025-2050) Ni Nyakati Za Mabadiliko Kuifikia Tanzania Tuitakayo
Nimepitia thread yako Smartkahn kuna point kabla ya nini kifanyike umeelezea watanzania ni greedy na hatuna nidhamu pamoja na unafki.

Greedy yaani tunatamaa zilizo pitiliza mpaka tunakosa utu, kuwa wanafki huenda upo ukweli sababu ya kukosa uelewa wa kuchambua mambo bila kukosoa mtu aliepo hiyo sehemu basi tunageuka kuwa wanafki na machawa.

Nadhani kuna muda hawa wenye dhamana wanatamani wakae chini na kujadiliana ya msingi na walio wazunguka ila walipo ongea mawili matatu na kugundua hawapo nafasi ya kuwashauri basi wao pia hawana budi kupokea sifa wapewazo lakini deep down wanaelewa kabisa hawa wana ninafkia ila ndio hivyo wahamasishaji na watu wa pembeni ya viongozi huenda wamekosa namna nzuri na yenye maana kwenye kuwapa ushauri kutokana na uelewa mkubwa na mpana wa mambo ya ndani mpaka ya kidunia yanavyo enda.

Ni mbaya sana.
 
Hari na molari ya wananchi kutafuta inawezaletwa ama kuongezwa kutokana na nini kinacho sikika masikioni mwao.

Media zikionesha uchapakazi wenye complexity yaani (miradi mikubwa na mizuri wananchi waliokuwa wanaitamani) basi wananchi watajua ama kweli hapa kama huyu tulie mkubali ana onesha juhudi hizi na mimi hebu niamke nikapambane maana tunapoenda ni kuzuri.

Ila ukilala ukiamka unakuta Yanga wamsema hili, msemaji wa simba kakanusha ukienda huku fulani katumbuiza huku huyu kafanya hili inapoteza hari ya wale wanaopambana.

Inatakiwa ifike hatua hata mfanya biashara akikatwa kodi basi anasema lakini inaenda fanya kitu na kimesha fanyika ila wakikatwa kodi sababu hawaoneshwi kwa wingi nini kina fanyika basi wanajua hela inaenda mifukoni mwa watu.

Kwahiyo dira kwa ujumla inatakiwa ibadilike sio kila kitu cha kuwaonesha watu na sio kila kitu cha kukiweka hewani tuweke hewani ufanisi wa kweli na unaofanyika na ulio fanyika utakao chochea hari ya wananchi kupiga kazi na kuwa na mtazamo mkubwa na mzuri kwa taifa.

Kuna baadhi ya nchi ukienda tv zao matangazo wanaonesha major and big projects zilizo kamilika na zinazo endelea ni feeling moja kubwa sana mpaka unasema daah hawa wamefika mbali ila sisi hakuna hili kwa wingi
Dira zenyewe ndio hizo watoa maoni wanasema ving'amuzi vya Azam viehuke bei 😆😆😆😆😆😆
 
Habari za jioni wana jamii leo nimekaa na kuwaza kuhusu nchi yetu ya Tanzania kwa kina na kwa upana sikuwa na budi bali kuandika haya mambo kwa sisi watanzania wote

Tanzania ni nchi ambayo imekaa vizuri kijiografia yaani tumezungukwa na nchi nane tunaweza sema tisa tukiweka na visiwa vya Comoros. Strategically Tanzania ni nchi nzuri kiuwekezaji na kiuchumi kwa namna ya kuzungukwa na nchi karibia tisa.


Tukija swala la pili Tanzania ni lango kuelekea kusini mwa afrika nchi kama maalawi,zambia na hata congo, hapa tunaweza jumuisha Burudi na hata Rwanda kwa namna fulani.

Tukiongezea kwenye idadi ya watu kwa ukanda huu wa kusini mwa afrika ni kati ya nchi yenye idadi kubwa ya watu pamoja na wanyama.

Tanzania ukiachana na idadi ya watu, ina eneo la mraba mkubwa sana zaidi ya nchi zilizo pakana nazo ukiachana na Congo upande wa magharibi.

Kwa namna hiyo kama taifa inawezekanaje bado tukawa na hali ya wasiwasi wa kichumi na ya kufikirisha na ukiongeza kwa rasilimali ni nchi naweza sema pekee duniani imezungukwa na maji katika kila pande kaskazini mashariki ,magharibi pamoja na kusini.

Kwa namna ya kawaida tunaweza sema ni nchi ya asali na maziwa ambayo kila binadamu pamoja na kiongozi huenda ana imezea mate japo sisi bado tuna wasiwasi wa namna tutakavyo amka kesho yake, hii ni kwa majority japo natambua wapo wasio na wasi wasi juu ya kesho yao, kwenye swala la kiuchumi.

View attachment 3083681

Kama taifa, viongozi wake Ndugu Raisi, Makamu, Spika, Mawaziri, Wabunge, pamoja na viongozi wote kwanini tusiwe na sera za muda mrefu (miaka 10 - 20) au mfupi (miaka 2 mpaka 5) za kiuchumi kwa taifa kwenye mambo tofauti?. Juhudi za viongozi wote mlijitahidi kwenye kuitangaza nchi hasa kwenye utalii na mengine mengi lakini kuna mambo tunaweza yasahau madogo ama hata makubwa ambayo yanahitaji jicho makini na la tofauti ili kuendeleza taifa letu la Tanzania na kuweka ahuweni na imani kwa wana wa Tanzania hasa swala la uchumi :-

1. Itungwe sera ya kuwekeza kwenye miundo mbinu ya nchi kuanzia barabara, maji, umeme majengo ya shule na biashara.
Kama taifa na viongozi wake wanaweza kuweka sera ya miaka mitatu sababu tumesha jitangaza vya kutosha na kuwekeza hela kwenye utalii na mambo mengine. Je tunaweza jaribu haya:-

(i) Tujitahidi kuanza sera ya maji kwenye kila kijiji fedha zitakazo pangwa kwa ajili ya matangazo basi tuanze la maji na upatikanaji wake, kutokana na matumizi yake kuwa muhimu kwenye shughuli za kila siku. Hii tuipe hata sera ya miaka miwili itategemea na serikali itapanga bajeti kiasi gani kwa sababu kasi ya mradi nadhani huwa inategemea fungu lililowekwa pamoja na ufanisi wa watendaji wa huo mradi lakini muda utakuwa muhimu zaidi kwenye haya mambo.

(ii) Iwepo sera ya kusambaza umeme kila kijiji kila mtaa hii imeshafanyika huenda sehemu kubwa ya nchi inabidi tuupeleke kote ila hapa inatakiwa uwepo uangalifu na nyumba inayo fungiwa umeme ili kukwepa gharama za uharibifu pale ambapo majanga yatatokea hata madogo kama upepo na ukaharibu nyumba isio imara, kwasababu tunaelewa hali zetu watanzania vidole vyote havilingani na ndivyo hivyo kwenye swala la ujenzi pia kila nyumba itajengwa kwa ubora kutokana na kipato cha mtu. Hii sera ya umeme inaweza kuja baada ya maji kwa sababu uwekezaji wa bomba za maji huwa zina husisha uchimbaji wa mitaro mikubwa.

(iii) Kwenye sera ya tatu ni ujenzi wa barabara tujitahidi kila eneo ambalo linatumika kama chanzo kikubwa cha mapato basi barabara iweze kupita hapo ya kiwango bora cha lami, tujitahidi kupeleka hizi barabara mashambani, karibia na migodi, na hata mipakani mwa mbuga za wanyama bila kusahau vijijini kwa wakulima hii itasaidia usafirishaji wa hizi rasilimali zote pamoja na watu kufika kwenye maeneo hayo kwa usalama, uharaka na bila shida yoyote na hata mboga mboga pamoja nafaka zita safirishwa kwa muda mfupi kuliko sasa.

Kwa sababu kwenye uchumi wowote ili ukuwe tunatakiwa tujitahidi kupunguza muda wa usafirishaji wa rasilimali ama utengenezaji wa vitu kwa namna hiyo tutaifanya Tanzania kuwa nchi ambayo iko makini na haraka kwenye sekta na swala la uchukuzi.

(iv) Ya nne itashangaza lakini itasaidia tuwekeze kwenye ujenzi wa shule vyuo vikubwa hospitali za hadhi ya juu kwenye kutibu magonjwa na hata kuwekeza kwenye tafiti za kidunia sababu hakuna nchi ilio endelea kwa kushabikia mpira miziki na mengine kwa kiwango kinachozidi utafiti yaani researches, nchi zinazo endelea ni kutokana na sera nzuri za kwenye utafiti either science, uchumi na siasa tusome duniani nchi nyingine zina fanya nini na sisi tunaweza changia nini hii itaweza vutia wana zuoni wengi kuja Tanzania na kusoma mfano tunaona nchi ya afrika kusini ukiachana na miundombinu ila watu wengi wanatamani pia kwenda kusoma huko ukienda ulaya na Asia ndio usiseme, kila mwana wa Afrika anapatamani.

@ Kwenye sera ya ujenzi wa shule yaani vyuo vikubwa tujitahidi kila mkoa uwe na chuo chenye hadhi kama ya chuo kikuu dar es salaam ama zaidi hii itachangia pia uinuaji wa uchumi kwenye mikoa iliokuwa haionekani na pia itafanya wanafunzi wanaomaliza mikoa husika kusoma vyuo vikuu na vikubwa kwa kila mkoa ambao atakuwepo na wengine wanaweza pia kuomba nafasi ya kusoma kwenye hivyo vyuo lakini la muhimu hapa itaamsha shughuli za kiuchumi kwa kila mkoa wa Tanganyika na Zanzibar.

(b) Na kwenye hospitali kufanyike vivyo hivyo kwa sasa tunaweza anza na mikoa yenye idadi nyingi ya watu na ipo angalau vizuri kiuchumi kuendeleza hospitali zao mkoa ziwe kama muhimbili au kujenga hospitali kubwa za hadhi ya muhimbili au zaidi zenye vifaa na wataalamu wazuri ili kusaidia jamii za eneo husika kwenye nyanja tofauti. Hii itafanya nchi kuto endelea upande mmoja tuu tutajijuta kila mkoa wa Tanzania kuna fursa kutokana na upatikanaji wa vitu muhimu

(c) Kujijenga imara na kiteknolojia zaidi kwenye swala la ulinzi cha kwanza imani irudushwe kwa wananchi juu ya vyombo vyetu vya usalama, pili inawezekana kila mkoa kukawa na mfumo wa vinasa picha yaani kamera za matukio ambazo zita unganishwa na vituo vidofompaka vikubwa vya kila kata wilaya, mkoa na hata nchi kwa namna hii nawahakikishia kama suala la watu kwenda Serengeti, Zanzibar Udizungwa Kilimanjaro wata miminika mpaka tuweke sheria kali kama baadhi ya nchi kama China

Sababu tutakuwa tuko vizuri sehemu zote muhimu hili la ulinzi naimani wenye nafasi wanaweza liboresha zaidi na tuka aminika sababu hili ni kati ya changamoto kwa nchi zetu za afrika Tanzania tukitatua basi tutakuwa na ugeni usiokuwa na idadi kati ya 6Million hata 10Million kwa mwaka na itashangaza.

Kwa namna hii nadhani tunaweza peleka taifa letu mbele zaidi ila inahitaji watu wenye upendo wa kweli kwa nchi yetu. Tukumbuke tunaweza tukala kila kitu na kuiporoka Tanzania na hata kuona watu wake hawastahili mazuri ama wana stahili lakini sio kwa kiwango kikubwa, ila usije ukasahau hii ardhi ndio itakayo kupokea siku ikikuhitaji utajisikiaje umefanya mambo ambayo hukuweza kuondoka nayo wakati yalikuwa kwenye uwezo wako tuipende Tanzania tuipende afrika naelewa ni ngumu kwa sera zote kufanyika kutokana na vikwazo vingi vitakavyoweza kuinuka lakini tujitahidi hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunaweza kimbilia ulaya kula na kukaa ila kama ulitokea kwenye uso wa Tanzania basi kumbuka kuna siku utataka ukurudishe ardhini kwake utakumbukwa kwa lipi juubya taifa lako?
Hayo yatie tunahitaji kuwa na viongozi wenye maono na sio kuuza nchi . Na njia mojawapo, hata kama wanasema , serikali haifanyi biashara lakini wanatakiwa kuelewa wa Tanzania wengi hawana mtaji, hivyo ni lazima tuanzie mahali Kwa Sirikali kuhodhi hizo biashara wakati wanakuza uwezo wa watu wake kumiliki hizo biashara/Viwanda nk Kwa kuuza shares kwa wananchi ili kurudisha huo mtaji Sirikali uliowekeza.

Ambao utaendana na kuweka uongozi Bora katika hayo makampuni na usimamizi uliotukuka sio wakiurafiki na kuchukkulia hiki si changu
 
Habari za jioni wana jamii leo nimekaa na kuwaza kuhusu nchi yetu ya Tanzania kwa kina na kwa upana sikuwa na budi bali kuandika haya mambo kwa sisi watanzania wote

Tanzania ni nchi ambayo imekaa vizuri kijiografia yaani tumezungukwa na nchi nane tunaweza sema tisa tukiweka na visiwa vya Comoros. Strategically Tanzania ni nchi nzuri kiuwekezaji na kiuchumi kwa namna ya kuzungukwa na nchi karibia tisa.


Tukija swala la pili Tanzania ni lango kuelekea kusini mwa afrika nchi kama maalawi,zambia na hata congo, hapa tunaweza jumuisha Burudi na hata Rwanda kwa namna fulani.

Tukiongezea kwenye idadi ya watu kwa ukanda huu wa kusini mwa afrika ni kati ya nchi yenye idadi kubwa ya watu pamoja na wanyama.

Tanzania ukiachana na idadi ya watu, ina eneo la mraba mkubwa sana zaidi ya nchi zilizo pakana nazo ukiachana na Congo upande wa magharibi.

Kwa namna hiyo kama taifa inawezekanaje bado tukawa na hali ya wasiwasi wa kichumi na ya kufikirisha na ukiongeza kwa rasilimali ni nchi naweza sema pekee duniani imezungukwa na maji katika kila pande kaskazini mashariki ,magharibi pamoja na kusini.

Kwa namna ya kawaida tunaweza sema ni nchi ya asali na maziwa ambayo kila binadamu pamoja na kiongozi huenda ana imezea mate japo sisi bado tuna wasiwasi wa namna tutakavyo amka kesho yake, hii ni kwa majority japo natambua wapo wasio na wasi wasi juu ya kesho yao, kwenye swala la kiuchumi.

View attachment 3083681

Kama taifa, viongozi wake Ndugu Raisi, Makamu, Spika, Mawaziri, Wabunge, pamoja na viongozi wote kwanini tusiwe na sera za muda mrefu (miaka 10 - 20) au mfupi (miaka 2 mpaka 5) za kiuchumi kwa taifa kwenye mambo tofauti?. Juhudi za viongozi wote mlijitahidi kwenye kuitangaza nchi hasa kwenye utalii na mengine mengi lakini kuna mambo tunaweza yasahau madogo ama hata makubwa ambayo yanahitaji jicho makini na la tofauti ili kuendeleza taifa letu la Tanzania na kuweka ahuweni na imani kwa wana wa Tanzania hasa swala la uchumi :-

1. Itungwe sera ya kuwekeza kwenye miundo mbinu ya nchi kuanzia barabara, maji, umeme majengo ya shule na biashara.
Kama taifa na viongozi wake wanaweza kuweka sera ya miaka mitatu sababu tumesha jitangaza vya kutosha na kuwekeza hela kwenye utalii na mambo mengine. Je tunaweza jaribu haya:-

(i) Tujitahidi kuanza sera ya maji kwenye kila kijiji fedha zitakazo pangwa kwa ajili ya matangazo basi tuanze la maji na upatikanaji wake, kutokana na matumizi yake kuwa muhimu kwenye shughuli za kila siku. Hii tuipe hata sera ya miaka miwili itategemea na serikali itapanga bajeti kiasi gani kwa sababu kasi ya mradi nadhani huwa inategemea fungu lililowekwa pamoja na ufanisi wa watendaji wa huo mradi lakini muda utakuwa muhimu zaidi kwenye haya mambo.

(ii) Iwepo sera ya kusambaza umeme kila kijiji kila mtaa hii imeshafanyika huenda sehemu kubwa ya nchi inabidi tuupeleke kote ila hapa inatakiwa uwepo uangalifu na nyumba inayo fungiwa umeme ili kukwepa gharama za uharibifu pale ambapo majanga yatatokea hata madogo kama upepo na ukaharibu nyumba isio imara, kwasababu tunaelewa hali zetu watanzania vidole vyote havilingani na ndivyo hivyo kwenye swala la ujenzi pia kila nyumba itajengwa kwa ubora kutokana na kipato cha mtu. Hii sera ya umeme inaweza kuja baada ya maji kwa sababu uwekezaji wa bomba za maji huwa zina husisha uchimbaji wa mitaro mikubwa.

(iii) Kwenye sera ya tatu ni ujenzi wa barabara tujitahidi kila eneo ambalo linatumika kama chanzo kikubwa cha mapato basi barabara iweze kupita hapo ya kiwango bora cha lami, tujitahidi kupeleka hizi barabara mashambani, karibia na migodi, na hata mipakani mwa mbuga za wanyama bila kusahau vijijini kwa wakulima hii itasaidia usafirishaji wa hizi rasilimali zote pamoja na watu kufika kwenye maeneo hayo kwa usalama, uharaka na bila shida yoyote na hata mboga mboga pamoja nafaka zita safirishwa kwa muda mfupi kuliko sasa.

Kwa sababu kwenye uchumi wowote ili ukuwe tunatakiwa tujitahidi kupunguza muda wa usafirishaji wa rasilimali ama utengenezaji wa vitu kwa namna hiyo tutaifanya Tanzania kuwa nchi ambayo iko makini na haraka kwenye sekta na swala la uchukuzi.

(iv) Ya nne itashangaza lakini itasaidia tuwekeze kwenye ujenzi wa shule vyuo vikubwa hospitali za hadhi ya juu kwenye kutibu magonjwa na hata kuwekeza kwenye tafiti za kidunia sababu hakuna nchi ilio endelea kwa kushabikia mpira miziki na mengine kwa kiwango kinachozidi utafiti yaani researches, nchi zinazo endelea ni kutokana na sera nzuri za kwenye utafiti either science, uchumi na siasa tusome duniani nchi nyingine zina fanya nini na sisi tunaweza changia nini hii itaweza vutia wana zuoni wengi kuja Tanzania na kusoma mfano tunaona nchi ya afrika kusini ukiachana na miundombinu ila watu wengi wanatamani pia kwenda kusoma huko ukienda ulaya na Asia ndio usiseme, kila mwana wa Afrika anapatamani.

@ Kwenye sera ya ujenzi wa shule yaani vyuo vikubwa tujitahidi kila mkoa uwe na chuo chenye hadhi kama ya chuo kikuu dar es salaam ama zaidi hii itachangia pia uinuaji wa uchumi kwenye mikoa iliokuwa haionekani na pia itafanya wanafunzi wanaomaliza mikoa husika kusoma vyuo vikuu na vikubwa kwa kila mkoa ambao atakuwepo na wengine wanaweza pia kuomba nafasi ya kusoma kwenye hivyo vyuo lakini la muhimu hapa itaamsha shughuli za kiuchumi kwa kila mkoa wa Tanganyika na Zanzibar.

(b) Na kwenye hospitali kufanyike vivyo hivyo kwa sasa tunaweza anza na mikoa yenye idadi nyingi ya watu na ipo angalau vizuri kiuchumi kuendeleza hospitali zao mkoa ziwe kama muhimbili au kujenga hospitali kubwa za hadhi ya muhimbili au zaidi zenye vifaa na wataalamu wazuri ili kusaidia jamii za eneo husika kwenye nyanja tofauti. Hii itafanya nchi kuto endelea upande mmoja tuu tutajijuta kila mkoa wa Tanzania kuna fursa kutokana na upatikanaji wa vitu muhimu

(c) Kujijenga imara na kiteknolojia zaidi kwenye swala la ulinzi cha kwanza imani irudushwe kwa wananchi juu ya vyombo vyetu vya usalama, pili inawezekana kila mkoa kukawa na mfumo wa vinasa picha yaani kamera za matukio ambazo zita unganishwa na vituo vidofompaka vikubwa vya kila kata wilaya, mkoa na hata nchi kwa namna hii nawahakikishia kama suala la watu kwenda Serengeti, Zanzibar Udizungwa Kilimanjaro wata miminika mpaka tuweke sheria kali kama baadhi ya nchi kama China

Sababu tutakuwa tuko vizuri sehemu zote muhimu hili la ulinzi naimani wenye nafasi wanaweza liboresha zaidi na tuka aminika sababu hili ni kati ya changamoto kwa nchi zetu za afrika Tanzania tukitatua basi tutakuwa na ugeni usiokuwa na idadi kati ya 6Million hata 10Million kwa mwaka na itashangaza.

Kwa namna hii nadhani tunaweza peleka taifa letu mbele zaidi ila inahitaji watu wenye upendo wa kweli kwa nchi yetu. Tukumbuke tunaweza tukala kila kitu na kuiporoka Tanzania na hata kuona watu wake hawastahili mazuri ama wana stahili lakini sio kwa kiwango kikubwa, ila usije ukasahau hii ardhi ndio itakayo kupokea siku ikikuhitaji utajisikiaje umefanya mambo ambayo hukuweza kuondoka nayo wakati yalikuwa kwenye uwezo wako tuipende Tanzania tuipende afrika naelewa ni ngumu kwa sera zote kufanyika kutokana na vikwazo vingi vitakavyoweza kuinuka lakini tujitahidi hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunaweza kimbilia ulaya kula na kukaa ila kama ulitokea kwenye uso wa Tanzania basi kumbuka kuna siku utataka ukurudishe ardhini kwake utakumbukwa kwa lipi juubya taifa lako?
Una mawazo mazuri sana tatizo ni wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data
 
Hayo yatie tunahitaji kuwa na viongozi wenye maono na sio kuuza nchi . Na njia mojawapo, hata kama wanasema , serikali haifanyi biashara lakini wanatakiwa kuelewa wa Tanzania wengi hawana mtaji, hivyo ni lazima tuanzie mahali Kwa Sirikali kuhodhi hizo biashara wakati wanakuza uwezo wa watu wake kumiliki hizo biashara/Viwanda nk Kwa kuuza shares kwa wananchi ili kurudisha huo mtaji Sirikali uliowekeza.

Ambao utaendana na kuweka uongozi Bora katika hayo makampuni na usimamizi uliotukuka sio wakiurafiki na kuchukkulia hiki si changu
Kwenye swala la maono na kuuza nchi huenda linawezekana kutatuliwa nadhani taasisi za kiulinzi inapofika nyakati na hata kabla ya vipindi vya uchaguzi itumike taaluma ya kuwachuja hao viongozi kwa maslahi ya taifa.

Yaani kiongozi achunguzwe asili, vyanzo vya mapato (hii tasaida hata wananchi kutokuwa na presha juu ya nafasi kwamba hatokuwa na ubinafsi) changamoto zake, yaani impact nchi iyakayo pata baada ya yeye kushika nafasi, itachangiaje na itachukuliwaje kitaifa na nnje ya mipaka, nguvu yake kimkakati katika kuliendeleza taifa hiki kitengo naimani kipo na kama kipo kina takiwa kifanye kazi nnje ya siasa japo haiepukiki lakini kuna muda inabidi.
 
Una mawazo mazuri sana tatizo ni wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data
Shukrani sana nikweli kabisa Benny Haraba huenda wapo wa namna hiyo lakini yakijadiliwa nadhani haitoweza kutokea viongozi wa namna hiyo
 
Back
Top Bottom