Kwa sisi wanaume tuliooa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?

Wanaume wengi hufa mapema sababu ya direct au indirect pressure toka kwa wake zao. Mwanaume akipata maendeleo kinachofuata ni ndoa ilihali mwanamke akifanikiwa kinachofuata ni talaka. Wanawake wengi wakiwa huru kiuchumi huwa hawana time na ndoa.
wanasema ndoa kwa mwanamke ambaye yupo vizur kiuchumi haina umuhimu kwasababu inaweza sababisha uchumi wake kutetereka kwa sababu baadhi ya wanaume huwabana nakuchungwa muda wote pamoja na wivu uliotukuka hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao
 
Ukijichanganya kwenye kupata mke mwema, kila siku utawaonea wivu mabachela. Wanaume tunakosea mwanzoni kwenye selection, mwanamke lazima umfanyie vetting na umpitishe kwenye mitihani midogo midogo, kupima level yake ya uvumilivu.

Ukitaka kujua huyu ndiye, mpime hofu yake kwa Mungu. Mpime nidhamu yake unapokuwa na fedha au unapopitia changamoto za kiuchumi na vilevile mpime kwa hela unayo mpatia,uone nidhamu yake tena sometimes muongezee, akitaka 30k,mpe 50k.

Kwangu mke mwema ni mwenye, hofu ya Mungu, anajua nini maana ya maisha/mwenye akili ya maisha.
 
Vip vingi mke wangu ambavyo ananipa ambavyo yamkini hakuna ndugu yangu yeyote angenipa

1.Kukubali kunizaliaaa ni kubwa sanaaa ambayo amenipaaaaa kuliko vyote
2.Kunilelea wanangu sio kitu kidogo
3.Kufanya tunakoishi paitwe kwa Nyumbani kwa Mzee Kibori Nangai

Hayo yote ni makubwa sanaaa kuliko hata Gamuuuuu Mkuu sijui wewe utafsiri vipi kuwa na mke ,Mkee ni zaidi ya gamu


Tuko tofauti kimtazamooo ,
 
wanasema ndoa kwa mwanamke ambaye yupo vizur kiuchumi haina umuhimu kwasababu inaweza sababisha uchumi wake kutetereka kwa sababu baadhi ya wanaume huwabana nakuchungwa muda wote pamoja na wivu uliotukuka hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao
Kwa maana hiyo ndoa ni kwa wanawake makapuku ili waweze kujiimarisha kiuchumi kupitia mwanaume?
 
Wote wawili mnauziwa maziwa na nyama tofauti ni kwamba mmoja anauziwa direct mwingine anauziwa indirect
 
....kufa kabla yake?????!!!!!!!!!
Umeongea na Mungu
 
mtu ajipime kama anaweza kuvumilia wakati mwenza wake anapoanza kupoteza mvuto,maana ule mvuto wa mwanzo mwanzo huisha halafu mnaanza kuona mbona ni mambo ya kawaida haya,kwanini niendelee kukaa hapa,kama umefunga pingi za maisha ni kipengele kingine.
 
....kufa kabla yake?????!!!!!!!!!
Umeongea na Mungu
Nakupa mifano michache kusapoti hoja yangu;
Mwl Nyerere amelala Mauti, lakini Mke wake yupo hai
Mzee Ally Hassani Mwinyi, amelala Mauti, Mke wake yupo hai
Benjamin Mkapa amelala Mauti, Mke wake yupo hai
John Pombe Magufuli, amelala Mauti, Mke wake yupo hai

Hivyo nina matumaini nami nitaanza Kulala Mauti, kabla ya Mke wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…