Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Je, ni wote wanalitekeleza hili?KULEA WATOTO NA KULINDA MALI ZAKO ZA NYUMBANI KWAKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, ni wote wanalitekeleza hili?KULEA WATOTO NA KULINDA MALI ZAKO ZA NYUMBANI KWAKO
Katika ndoa yenu, hakuna makasiriko yoyote?Binafsi Mke wangu ni Msaidizi wangu kwenye mambo mengi, mathalani;
Ananisaidia kusimamia baadhi ya miradi tuliyoanzisha pamoja (Nafanya hivi Kwa kujua kwamba nitawahi kufa kabla yake, hivyo Jukumu la kulea watoto litabaki kwake).
Anasaidia malezi ya watoto wetu
Anasaidia kunipa Utulivu wa mwili na akili
Nini kifanyike, wakati mwingine ndoa ni muhimu, hasa tunapoelekea huko uzeeniWanaume wengi hufa mapema sababu ya direct au indirect pressure toka kwa wake zao. Mwanaume akipata maendeleo kinachofuata ni ndoa ilihali mwanamke akifanikiwa kinachofuata ni talaka. Wanawake wengi wakiwa huru kiuchumi huwa hawana time na ndoa.
Ni wote labda awe mgumba,lakin akiwa mgumba bado atalinda mali zakoJe, ni wote wanalitekeleza hili?
Usibadili maamuzi, bali zunguka dunia nzima ili upate mtu sahihi.Ngoja nikae siti ya mbele naweza badirisha maamuzi.
Mkuu ni watoto wa Uzeeni, nilikutana na binti wa elfu 2 akanizalia watoto mapacha wa Uzeeni 🤗We si babu kabisa, sasa hao watoto bado mnalea hadi leo? 😂
Hakuna migogoro yoyote?Binafsi my wife wangu ni smart sana!
Akipata ajira akumbuke ndoa ni muhimu pia
Kwa kweli kwa wanawake wa kibongo, hakuna chochote zaidi ya stress na madeni yasiyoisha.Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro...
Migogoro kama ipi mkuu?Hakuna migogoro yoyote?
Makasiriko yapo Mkuu lakini tunajitahidi kuvumilianaKatika ndoa yenu, hakuna makasiriko yoyote?
Hapa ndipo kuna kutelekezwaJaribu kuugua muda mrefu.
Ndoa ni muhimu hasa huko uzeeniKula jasho lako
KATAA NDOA
#YANGA BINGWA
Ukitaka kuishi vizuri hapa Dunian hakikisha unajitegemea kwa 100% hasa katika uzee wako. Tumia nguvu zako piga kazi ujiwekee akiba ya uzeeni, mwanadamu siyo wa kumtumainia.Nini kifanyike, wakati mwingine ndoa ni muhimu, hasa tunapoelekea huko uzeeni
Kuna wale wanaoachana na kugawana mali, unasemaje kuhusu wao?Ni wote labda awe mgumba,lakin akiwa mgumba bado atalinda mali zako
Inawezekana katika uchaguzi wetu, tuliangalia sana muonekano badala ya tabiaKwa kweli kwa wanawake wa kibongo, hakuna chochote zaidi ya stress na madeni yasiyoisha.
TalakaWengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana...