Kwa sisi wanaume tuliooa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?

Kwa sisi wanaume tuliooa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?

mm mke wang nje ya tendo la ndoa ni mtumish wangu mwaminifu,,ananitumikia kwenye ajira niliyomwajiri pia ni shushushu wangu mzuri sana kuniletea taarifa za waajiriwa wengine..

Kiufupi kazi ya ushushushu anaimudu vizur sana na ananisaidia sana ktk hii biashara!!

Mungu ampe maisha marefu uyu mwanamke💯💯
Je hiyo biashara ikiyumba au kufilisika, bado atakuwa na upendo na wewe?
 
Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.

Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.

Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.

Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.

Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?​
Wewe kwa mwanamke unatafuta nini? Bussiness parterner au msaidizi wa nyumbani na kutatua shida zako za hisia?
 
Binafsi Mke wangu ni Msaidizi wangu kwenye mambo mengi, mathalani;

Ananisaidia kusimamia baadhi ya miradi tuliyoanzisha pamoja (Nafanya hivi Kwa kujua kwamba nitawahi kufa kabla yake, hivyo Jukumu la kulea watoto litabaki kwake).

Anasaidia malezi ya watoto wetu

Anasaidia kunipa Utulivu wa mwili na akili
Hayo yote uliyoyataja yanapatikana nje ya ndoa kwa gharama nafuu, amani, utulivu kuliko kwenye ndoa.

Nitazungumia hili moja kama mfano,

Usimamizi wa miradi, Kuna uwezekano hajachangia mtaji, anaiba pesa kama wanavyofanya wafanyakazi na mwisho wa siku hizo mali ni zenu wote. Ila ungeajiri mtu ungemlipa pesa kidogo kuliko unayotumia kumtunza mkeo na familia yake na mali zingebaki zakwako pekeako.
 
Katika mahusiano ya kimapenzi ni mazuri mno yale ya kihawala mtaenjoy mno pamoja, mtaenda viwanja pamoja, simu hamkaguani n.k ila ukioa/kuolewa kila mtu anaonesha makucha tabia yake halisi migogoro inaanza indapo katika ndoa hakuna atakae jishusha.
 
Binafsi Mke wangu ni Msaidizi wangu kwenye mambo mengi, mathalani;

Ananisaidia kusimamia baadhi ya miradi tuliyoanzisha pamoja (Nafanya hivi Kwa kujua kwamba nitawahi kufa kabla yake, hivyo Jukumu la kulea watoto litabaki kwake).

Anasaidia malezi ya watoto wetu

Anasaidia kunipa Utulivu wa mwili na akili
Umetuheshimisha mkuu
 
Kama atakuwa anawapatia wengine nje, itakuwa sawa?
Sijui kwako ila Mimi naamini mwanamke kutongozwa na kuliwa Huwa lipo haijarishi kaolewa ama lah!!

Jinsi unavyowaona wake za watu wanaliwa basi na wakwako hufanywa vile pasina shaka.(Naamini hivyo)

Kwa hayo machache ni Bora tu usijue Ili maisha yaendelee na aendelee kukutii basi.

Siku akibainika analiwa Nje timua
 
Katika mahusiano ya kimapenzi ni mazuri mno yale ya kihawala mtaenjoy mno pamoja, mtaenda viwanja pamoja, simu hamkaguani n.k ila ukioa/kuolewa kila mtu anaonesha makucha tabia yake halisi migogoro inaanza indapo katika ndoa hakuna atakae jishusha.
Ndipo tunashauriwa tutumie muda mwingi katika kutafuta mtu sahihi
 
Sijui kwako ila Mimi naamini mwanamke kutongozwa na kuliwa Huwa lipo haijarishi kaolewa ama lah!!

Jinsi unavyowaona wake za watu wanaliwa basi na wakwako hufanywa vile pasina shaka.(Naamini hivyo)

Kwa hayo machache ni Bora tu usijue Ili maisha yaendelee na aendelee kukutii basi.

Siku akibainika analiwa Nje timua
Kwa hiyo mkuu, unataka kutuambia wake zetu tulio waoa wanachepuka huko nje?
 
Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.

Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.

Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.

Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.

Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?​
Uchawi (kina Hamisa Mobeto kutaka kupewa nyumba ya ghorofa), stress za mikopo ya kijinga, michango ya kumchangia Mchungaji wakati familia yake ina matatizo kibao, michango ya vikoba na sare za harusi za kila wiki.
 
Back
Top Bottom