Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Je hiyo biashara ikiyumba au kufilisika, bado atakuwa na upendo na wewe?mm mke wang nje ya tendo la ndoa ni mtumish wangu mwaminifu,,ananitumikia kwenye ajira niliyomwajiri pia ni shushushu wangu mzuri sana kuniletea taarifa za waajiriwa wengine..
Kiufupi kazi ya ushushushu anaimudu vizur sana na ananisaidia sana ktk hii biashara!!
Mungu ampe maisha marefu uyu mwanamke💯💯
Anaingizaje maokoto?Kulea familia na kuingiza maokoto maokoto.
Wewe kwa mwanamke unatafuta nini? Bussiness parterner au msaidizi wa nyumbani na kutatua shida zako za hisia?Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?
Hayo yote uliyoyataja yanapatikana nje ya ndoa kwa gharama nafuu, amani, utulivu kuliko kwenye ndoa.Binafsi Mke wangu ni Msaidizi wangu kwenye mambo mengi, mathalani;
Ananisaidia kusimamia baadhi ya miradi tuliyoanzisha pamoja (Nafanya hivi Kwa kujua kwamba nitawahi kufa kabla yake, hivyo Jukumu la kulea watoto litabaki kwake).
Anasaidia malezi ya watoto wetu
Anasaidia kunipa Utulivu wa mwili na akili
Ndipo swali lilipo; kwa sababu kwa nyakati hizi, nje ya tendo la ndoa wengi wao hawana msaada mwingine.Tendo la ndoa tena siyo msaada, maana unaweza kulipata kwa'ela zako mara unapolihitaji.
Labda tujadili manufaa mengine nje ya tendo la ndoa.
Tunaopenda kuwekana hatuko smart 😅😅🤣huu ni ubaguzi wa wazi waziWanawake smart hawapendi sana kuwekana mkuu. Hapo nimenyqnyua mikono. Mambo mengine tunaenda sawa.
Kwa upande wangu ni kumpata mtu wa kufanana naye, ambaye tutaishi mpaka pale kifo kitakapo tutenganishaWewe kwa mwanamke unatafuta nini? Bussiness parterner au msaidizi wa nyumbani na kutatua shida zako za hisia?
Kama atakuwa anawapatia wengine nje, itakuwa sawa?In general kwangu ni msaidizi wa majukumu ya kifamilia.
Tendo la ndoa sio issue sana kwangu
Ni kweli, changamoto ni kumpata mtu sahihi.Ukipata mwanamke sahihi kwa muda sahihi hutoona ndoa chungu wala ngumu
Umetuheshimisha mkuuBinafsi Mke wangu ni Msaidizi wangu kwenye mambo mengi, mathalani;
Ananisaidia kusimamia baadhi ya miradi tuliyoanzisha pamoja (Nafanya hivi Kwa kujua kwamba nitawahi kufa kabla yake, hivyo Jukumu la kulea watoto litabaki kwake).
Anasaidia malezi ya watoto wetu
Anasaidia kunipa Utulivu wa mwili na akili
Sijui kwako ila Mimi naamini mwanamke kutongozwa na kuliwa Huwa lipo haijarishi kaolewa ama lah!!Kama atakuwa anawapatia wengine nje, itakuwa sawa?
Wengine mkiwa mnawekana ndio bili zote zinakuwa zinaorodheshwaTunaopenda kuwekana hatuko smart 😅😅🤣huu ni ubaguzi wa wazi wazi
Ndipo tunashauriwa tutumie muda mwingi katika kutafuta mtu sahihiKatika mahusiano ya kimapenzi ni mazuri mno yale ya kihawala mtaenjoy mno pamoja, mtaenda viwanja pamoja, simu hamkaguani n.k ila ukioa/kuolewa kila mtu anaonesha makucha tabia yake halisi migogoro inaanza indapo katika ndoa hakuna atakae jishusha.
Kwa hiyo mkuu, unataka kutuambia wake zetu tulio waoa wanachepuka huko nje?Sijui kwako ila Mimi naamini mwanamke kutongozwa na kuliwa Huwa lipo haijarishi kaolewa ama lah!!
Jinsi unavyowaona wake za watu wanaliwa basi na wakwako hufanywa vile pasina shaka.(Naamini hivyo)
Kwa hayo machache ni Bora tu usijue Ili maisha yaendelee na aendelee kukutii basi.
Siku akibainika analiwa Nje timua
Uchawi (kina Hamisa Mobeto kutaka kupewa nyumba ya ghorofa), stress za mikopo ya kijinga, michango ya kumchangia Mchungaji wakati familia yake ina matatizo kibao, michango ya vikoba na sare za harusi za kila wiki.Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?
Ebu fafanua vizuri mkuu tuweze kuelewa zaidiShida ulioa kabla ya kuoa ...