Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume anaambiwa "una kila kitu sasa uoe", na mwanamke anaambiwa "una kila kitu kwanini ujifunge chini ya mwanaume?" mwanamke anaweza kuishi single na kuzaa na wanaume tofauti(secret fantasy ya ke wengi) na akiulizwa anajitetea hakubahatika kuolewa ila ukweli ni hataki kuolewa. Lakini mwanaume akiwa na 'unafuu' kidogo wa maisha halafu hajaoa atasikia kila aina ya maneno ya shombo. Binafsi naona ndoa inatakiwa itokane na upendo kati ya me na ke, na si kwa sababu za kiuchumi au presha ya jamii inayotuzunguka.Mwanamke akipata financial freedom lakwanza ni kuondokana na mwanaume maishani mwake. Hatari hawa viumbe. Ni kuwagegeda tuu
Km nikijaoa cha kwanza IQ then sura,sura zenyewe za make-up/wigi akiitoa tu unaona mauza uza halafu viburi kweli kweliAsilimia kubwa, wengi hukimbilia kuoa kutokana na muonekano wa mtu; je uko tayari kuoa mtu ambaye hajakuvutia ila ana IQ kubwa?
Binafsi Mke wangu ni Msaidizi wangu kwenye mambo mengi, mathalani;
Ananisaidia kusimamia baadhi ya miradi tuliyoanzisha pamoja (Nafanya hivi Kwa kujua kwamba nitawahi kufa kabla yake, hivyo Jukumu la kulea watoto litabaki kwake).
Anasaidia malezi ya watoto wetu
Anasaidia kunipa Utulivu wa mwili na akili
One of the best commentsWanaume wengi hufa mapema sababu ya direct au indirect pressure toka kwa wake zao. Mwanaume akipata maendeleo kinachofuata ni ndoa ilihali mwanamke akifanikiwa kinachofuata ni talaka. Wanawake wengi wakiwa huru kiuchumi huwa hawana time na ndoa.
Mwanamke ni kama mtoto ukileta u baby baby sanaa anakupanda kichwani ukiwa kauzu ni balaa kwa kifupi hayashauriki haya wala hayana mwalimu, kuna jamaa alikuja kuniomba ushauri huku anabubujikwa michozi mkewe ana gubu wakati huo mwenzae nna karibia wiki hatuongeleshani na wife ila wakija wageni tunapretend na jamaa ushauri nikampa safi akaondoka ana amani kumbe na mimi niko dhofulhali hapoKupunguza makali unafanyaje?
unajua mke hana shida na mali, yeye anakuja kusimamia kile alichokikuta, ambaye anakuja kuchuma huyo ni mjasiria mali kuwa makiniUko sahihi, Je ni wake wote wanalijua hili na kulitekeleza? Kwa sababu huwa kuna migogoro ya ndoa kuvunjika na kugawana mali, mzee kutelekezwa na bibie kukimbilia kwingine n.k
Ngoja niongeze moja kwanza 😆Ebu fafanua vizuri mkuu tuweze kuelewa zaidi
Ikiwa hivyo basi ni tatizo la jamii nzima tumewekeza wapi katika kuwalea watoto wetu? mtoto wa kike anatakiwa akue akijua siku moja atakuwa mama, sasa atakuwa mama wa namna gani ndio penye malezi penyeweUmeandika mambo mazuri lakini ni irrelevant na characters za wanawake wa kisasa
Hahahah umenichekesha sana rafiki. Sijabagua hataaTunaopenda kuwekana hatuko smart 😅😅🤣huu ni ubaguzi wa wazi wazi
Yank sie tunaofa k tu 🤣🤣🤣we sawa tuuuuHahahah umenichekesha sana rafiki. Sijabagua hataa
Ni kweli kwenye suala la malezi katika jamii yetu tumepoteana sana.Ikiwa hivyo basi ni tatizo la jamii nzima tumewekeza wapi katika kuwalea watoto wetu? mtoto wa kike anatakiwa akue akijua siku moja atakuwa mama, sasa atakuwa mama wa namna gani ndio penye malezi penyewe
Huku ni nje ya bandiko lakoKuna wale wanaoachana na kugawana mali, unasemaje kuhusu wao?
Sio kweli bwana...Yank sie tunaofa k tu 🤣🤣🤣we sawa tuuuu