Kwa taarifa yako Israel limetajwa mara 2200 ndani ya Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Kwa taarifa yako Israel limetajwa mara 2200 ndani ya Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote
Niende kwenye hoja moja Kwa moja

Huu ndiyo ukweli wa Maandiko matakatifu

Taifa la Israel limetajwa mara 2,200 kwenye Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Je Taifa la Israel limetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Je Palestine imetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Mwenye ushahidi wa Takwimu tofauti anakaribishwa.

Lugha zisizo na staha hazikubaliki

Niwatakie sabato njema
 
NA TANZANIA JE IMETAJWA MARA NGAPI ?

Mimi ni mkristo.

Ila biblia hata Quran ya waislamu sivichukulii kama vitabu special vya Mungu.

Biblia ni kitabu ambacho kimeandikwa na watu kama mimi na wewe. Kwa sababu ya manufaa na madhumuni yao binafsi

Hata yesu ambaye ni baba wa ukristo akili yangu inaniambia hajawai kuwepo. Ni fictional character tu wa kutungwa kwa faida ya watu fulani.

Yesu huyo wakristo tunaemuamudu kazaliwa israel na kafia israel... ila cha kushangaza raia wa israel hawamtambui wala kumuabudu. Wanamuona tapeli tu.

Yesu kama angekuwa ni mkweli angeanza na kuabudiwa na waisrael yaani wayahudi wenzake jamii moja.
 
Mimi ni mkristo.

Ila biblia hata Quran ya waislamu sivichukulii kama vitabu special vya Mungu.

Biblia ni kitabu ambacho kimeandikwa na watu kama mimi na wewe. Kwa sababu ya manufaa na madhumuni yao binafsi

Hata yesu ambaye ni baba wa ukristo akili yangu inaniambia hajawai kuwepo. Ni fictional character tu wa kutungwa kwa faida ya watu fulani.

Yesu huyo wakristo tunaemuamudu kazaliwa israel na kafia israel... ila cha kushangaza raia wa israel hawamtambui wala kumuabudu. Wanamuona tapeli tu.

Yesu kama angekuwa ni mkweli angeanza na kuabudiwa na waisrael yaani wayahudi wenzake jamii moja.
Kuna mtu kakuuliza iman yako?.
 
Wadau hamjamboni nyote
Niende kwenye hoja moja Kwa moja

Huu ndiyo ukweli wa Maandiko matakatifu

Taifa la Israel limetajwa mara 2,200 kwenye Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Je Taifa la Israel limetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Je Palestine imetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Mwenye ushahidi wa Takwimu tofauti anakaribishwa.

Lugha zisizo na staha hazikubaliki

Niwatakie sabato njema
Hiyo bible si wamejiandikia wenyewe waisrael kwa ajili yao na ni kama katiba yao na si kwa ajili ya wewe msukule.

Kama unabisha nionyesha bible imeandikwa kwa ajii ya mzayuni wa mbagala au tandale
 
Mimi ni mkristo.

Ila biblia hata Quran ya waislamu sivichukulii kama vitabu special vya Mungu.

Biblia ni kitabu ambacho kimeandikwa na watu kama mimi na wewe. Kwa sababu ya manufaa na madhumuni yao binafsi

Hata yesu ambaye ni baba wa ukristo akili yangu inaniambia hajawai kuwepo. Ni fictional character tu wa kutungwa kwa faida ya watu fulani.

Yesu huyo wakristo tunaemuamudu kazaliwa israel na kafia israel... ila cha kushangaza raia wa israel hawamtambui wala kumuabudu. Wanamuona tapeli tu.

Yesu kama angekuwa ni mkweli angeanza na kuabudiwa na waisrael yaani wayahudi wenzake jamii moja.

Binadamu hatukosi visingizio
Mungu angeandika Biblia bado mngetaka proof kwamba nani alimuona wakati akiandika.

Kama Yesu hajawahi kuwepo, huu mwaka 2023 AD unahesabiwaje? Kwanini tarehe kabla ya Kristo zinaitwa BC (Before Christ) eg; 345BC

Kwanini mnaamini katika uwepo wa wanafalsafa kama Socrates, Plato, Aristole, Alexandra the Great etc ambao walikuwepo kabla ya Kristo lakini mnakataa uwepo wa Yesu hata baada ya kuwepo kwa uthibitisho na vielelezo tosha juu ya uwepo wake?

Kama ni simulizi za kughushi, miaka zaidi ya 2000 sasa tunatumia mfumo huohuo kuhesabu miaka yani Tangu kuzaliwa kwa Yesu Kristo na hatushituki? Jiulize sana katika hili
 
Wadau hamjamboni nyote
Niende kwenye hoja moja Kwa moja

Huu ndiyo ukweli wa Maandiko matakatifu

Taifa la Israel limetajwa mara 2,200 kwenye Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Je Taifa la Israel limetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Je Palestine imetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Mwenye ushahidi wa Takwimu tofauti anakaribishwa.

Lugha zisizo na staha hazikubaliki

Niwatakie sabato njema
Limetajwa taifa la wana wa Israel na sio inchi ya israel,,

Usishupaze shingo,,

Taifa la wana wa srael sio inchi..
 
"KWA TAARIFA YAKO ALI KAMWE ANATAJWA ZAIDI KWENYE MEDIA HIVI NDIO MMILIKI WA YANGA"?
 
Wadau hamjamboni nyote
Niende kwenye hoja moja Kwa moja

Huu ndiyo ukweli wa Maandiko matakatifu

Taifa la Israel limetajwa mara 2,200 kwenye Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Je Taifa la Israel limetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Je Palestine imetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Mwenye ushahidi wa Takwimu tofauti anakaribishwa.

Lugha zisizo na staha hazikubaliki

Niwatakie sabato njema
Kwanza hili nina Israel chimbuko lake ni kwenye qur,an,jiulize biblia yakwanza kuja hapa ilikuwa imeandikwa kingereza ndipo ikatufusiliwa kwa kiswahili na kiswahili kimachukua maneno mengi na majina kutoka kwenye lugha ya kiarabu,swali hiyo biblia ya mwanzo kabla ajatafsiliwa kwa kiswahili huyo Israel alikuwa akiitwa nani?
 
Mimi ni mkristo.

Ila biblia hata Quran ya waislamu sivichukulii kama vitabu special vya Mungu.

Biblia ni kitabu ambacho kimeandikwa na watu kama mimi na wewe. Kwa sababu ya manufaa na madhumuni yao binafsi

Hata yesu ambaye ni baba wa ukristo akili yangu inaniambia hajawai kuwepo. Ni fictional character tu wa kutungwa kwa faida ya watu fulani.

Yesu huyo wakristo tunaemuamudu kazaliwa israel na kafia israel... ila cha kushangaza raia wa israel hawamtambui wala kumuabudu. Wanamuona tapeli tu.

Yesu kama angekuwa ni mkweli angeanza na kuabudiwa na waisrael yaani wayahudi wenzake jamii moja.
Hata wewe ulijiumba,swali ivyo vitabu alie viandika alikusudia kupata faida gani?
 
Wadau hamjamboni nyote
Niende kwenye hoja moja Kwa moja

Huu ndiyo ukweli wa Maandiko matakatifu

Taifa la Israel limetajwa mara 2,200 kwenye Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Je Taifa la Israel limetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Je Palestine imetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Mwenye ushahidi wa Takwimu tofauti anakaribishwa.

Lugha zisizo na staha hazikubaliki

Niwatakie sabato njema

Kuna mtu yeyote kwenye ukoo wenu katajwa kwenye Biblia?
 
Back
Top Bottom