Kwa taarifa yako Israel limetajwa mara 2200 ndani ya Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Kwa taarifa yako Israel limetajwa mara 2200 ndani ya Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Uyole yetu nayo imetajwa mara ngapi kwenye biblia?

Tuache kushobokea vitu vya watu, utumwa wa kiakili huu
 
Kwa sisi wenzangu na mie Tanzania tuna Mungu mwingine au? maana nchi nyingi duniani hajitajwa labda 90% haijatajwa sehemu yoyote ukiunga na Vatican, Je unataka kusema Mungu alikuwa anafanya upendeleo? sasa kama alifanya upendeleo sisi tumuabudi nani? Ukileta maana hiyo tutavurugana humu maana sijaona hata nchi moja ya Africa imetajwa ukiondoa Egypt tu. Kama unaona Israel ndio wenye Mungu basi tungejitangaza kujiunga na uyahudi au unaonaje?
 
Kwanza hujui biblia umekurupuka... Palestinians wametajwa unasema haikutajwa

Pili huelewi lugha... Unalinganisha vitu visivyo na uhusiano>>> Israel iliyotajwa siyo ardhi bali taifa (watu) unalinganishaje na Palestine (ardhi)

Tatu enhe imetajwa mara zote hizo so what? Maana huko (kwenye Quran) ulikouliza nako ni hivyo hivyo taifa la wana wa Israel limetajwa sana sasa sijui ulitaka kusemaje

Nne nikupe elimu kidogo tu kupitia Quran... Mitume wengi sana waliotumwa zamani kabla ya mtume Muhammad walitumwa kwa wana wa Israel. Pia mtume ambaye ameongoza kutajwa (visa vingi) katika Quran ni Mussa. Kwa mantiki hiyo utakuta habari nyingi za kuhusu zamani zinawataja wana wa Israel

Tano nikupe faida kidogo tena kuhusu hao unaodai wametajwa sana kwenye biblia (injili), ni kwamba lazima watajwe kwa wingi kwa sababu kubwa kama mbili hivi; kwanza ni watukutu tangia enzi na pili hao ndio walikuwa wakiishi naye huyo aliyeleta injili (ndio ambao yesu alikuwa anawafikishia ujumbe wa mola mara zote anapokuwa nao)
 
[emoji23][emoji23] kuna watu huwa wapumbavu na mnakurupuka tu sasa kujifanya mnasupport Israel wakat hao waisrael wenyew walimkataa huyo yesu wenu wakamsulubu SHAME ON YOU
 
[emoji23][emoji23] kuna watu huwa wapumbavu na mnakurupuka tu sasa kujifanya mnasupport Israel wakat hao waisrael wenyew walimkataa huyo yesu wenu wakamsulubu SHAME ON YOU
Wayahudi walimua mungu wao yesu
 
Hii mijadala ya kuiona isarel kua nchi sijui takatifu haina maana yoyote na haliwezi kua takatifu coz Mungu alishalikataa na kugeukia watu wa mataifa yote. Iwe mpalestina au mwisarel wote ni sawa. Hio nchi haina upekee wowote
 
NA TANZANIA JE IMETAJWA MARA NGAPI ?

Mimi ni mkristo.

Ila biblia hata Quran ya waislamu sivichukulii kama vitabu special vya Mungu.

Biblia ni kitabu ambacho kimeandikwa na watu kama mimi na wewe. Kwa sababu ya manufaa na madhumuni yao binafsi

Hata yesu ambaye ni baba wa ukristo akili yangu inaniambia hajawai kuwepo. Ni fictional character tu wa kutungwa kwa faida ya watu fulani.

Yesu huyo wakristo tunaemuamudu kazaliwa israel na kafia israel... ila cha kushangaza raia wa israel hawamtambui wala kumuabudu. Wanamuona tapeli tu.

Yesu kama angekuwa ni mkweli angeanza na kuabudiwa na waisrael yaani wayahudi wenzake jamii moja.
Umetumia akiliyako ipasavo bro!! Kuna mtuwangu wa karibu yupo Israel kwa miaka sasa alipigiwa simu na jamaayake Mkristo alimuulize hebu niambie hivo kuna sehema huko haswa ambaye yesu kazaliwa ?? Na kakulia??
 
Wadau hamjamboni nyote
Niende kwenye hoja moja Kwa moja

Huu ndiyo ukweli wa Maandiko matakatifu

Taifa la Israel limetajwa mara 2,200 kwenye Biblia wakati Palestina haijatajwa hata mara moja

Je Taifa la Israel limetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Je Palestine imetajwa mara ngapi ndani ya Quran tukufu?

Mwenye ushahidi wa Takwimu tofauti anakaribishwa.

Lugha zisizo na staha hazikubaliki

Niwatakie sabato njema
Kwahiyo kuna faida gani? acha ujinga unapoteza mda kwa vitu vya kipuuzi.
 
Back
Top Bottom