Kwa tabia hii una tofauti gani na Ibilisi?

Kwa tabia hii una tofauti gani na Ibilisi?

Aliumbwa na moto alafu akapewa adhabu ya kwenda motoni kwake hiyo ni adhabu kweli?
Ameumbwa kutokana na ndimi za moto, ila yeye sio moto au sio mwenye maumbile ya moto. Ni kama sisi tulivyoumbwa kwa udongo (asili yetu ni Aadam aliyeumbwa kwa udongo) ila kwani sisi ni udongo? Maumbile yetu si unaona yalivyo? Kisha tukaumbwa kutokana na maji maji dhalili kabisa, kwani sisi ni maji?

Pili, tukienda kwa akili yako hiyo hiyo kuwa itawezekana vipi Iblisi aungue na moto ilhali kaumbwa na moto. Chukua tu mfano wa binadamu ambaye kaumbwa kwa udongo, lakini udongo huo huo unaweza kutumika kumuadhibu na kumdhuru. Ukichukua dongo gumu lililokomaa ukampiga nalo mwanadamu kichwani litamuumiza bila shaka bali linaweza kumdhuru. Binadamu mpaka wanakufa kwa kuporomokewa na madongo na ilhali wameumbwa kwa udongo. Na pia akaumbwa mwanaadamu kutokana na maji maji, na maji yanaweza kutumika kumdhuru.

Iblisi kaumbwa kwa moto na ataadhibiwa kwa moto wa Jahannam ambao moto mkali mno na haufikiwi na moto wa kawaida. Ukizingatia pia Iblis yeye sio moto (kama binadamu alivyo sio udongo) japo wameumbwa kwa vitu hivyo. Allah ni Muweza juu ya kila kitu.

Na Allah ni Mjuzi zaidi.
 
Ameumbwa kutokana na ndimi za moto, ila yeye sio moto au sio mwenye maumbile ya moto. Ni kama sisi tulivyoumbwa kwa udongo (asili yetu ni Aadam aliyeumbwa kwa udongo) ila kwani sisi ni udongo? Maumbile yetu si unaona yalivyo? Kisha tukaumbwa kutokana na maji maji dhalili kabisa, kwani sisi ni maji?

Pili, tukienda kwa akili yako hiyo hiyo kuwa itawezekana vipi Iblisi aungue na moto ilhali kaumbwa na moto. Chukua tu mfano wa binadamu ambaye kaumbwa kwa udongo, lakini udongo huo huo unaweza kutumika kumuadhibu na kumdhuru. Ukichukua dango gumu lililokomaa ukampiga nalo mwanadamu kichwani litamuumiza bila shaka bali linaweza kumdhuru. Binadamu mpaka wanakufa kwa kuporomokewa na madongo na ilhali wameumbwa kwa udongo. Na pia akaumbwa mwanaadamu kutokana na maji maji, na maji yanaweza kutumika kumdhuru.

Iblisi kaumbwa kwa moto na ataadhibiwa kwa moto wa Jahannam ambao moto mkali mno na haufikiwi na moto wa kawaida. Ukizingatia pia Iblis yeye sio moto (kama binadamu alivyo sio udongo) japo wameumbwa kwa vitu hivyo. Allah ni Muweza juu ya kila kitu.

Na Allah ni Mjuzi zaidi.
Swadakta mkuu umesema vyema sana
 
Ameumbwa kutokana na ndimi za moto, ila yeye sio moto au sio mwenye maumbile ya moto. Ni kama sisi tulivyoumbwa kwa udongo (asili yetu ni Aadam aliyeumbwa kwa udongo) ila kwani sisi ni udongo? Maumbile yetu si unaona yalivyo? Kisha tukaumbwa kutokana na maji maji dhalili kabisa, kwani sisi ni maji?

Pili, tukienda kwa akili yako hiyo hiyo kuwa itawezekana vipi Iblisi aungue na moto ilhali kaumbwa na moto. Chukua tu mfano wa binadamu ambaye kaumbwa kwa udongo, lakini udongo huo huo unaweza kutumika kumuadhibu na kumdhuru. Ukichukua dango gumu lililokomaa ukampiga nalo mwanadamu kichwani litamuumiza bila shaka bali linaweza kumdhuru. Binadamu mpaka wanakufa kwa kuporomokewa na madongo na ilhali wameumbwa kwa udongo. Na pia akaumbwa mwanaadamu kutokana na maji maji, na maji yanaweza kutumika kumdhuru.

Iblisi kaumbwa kwa moto na ataadhibiwa kwa moto wa Jahannam ambao moto mkali mno na haufikiwi na moto wa kawaida. Ukizingatia pia Iblis yeye sio moto (kama binadamu alivyo sio udongo) japo wameumbwa kwa vitu hivyo. Allah ni Muweza juu ya kila kitu.

Na Allah ni Mjuzi zaidi.
جزاك الله خيرا
 
Tabia iliyomponza Ibilisi ni KIBURI. Baada ya kuambiwa na Mwenyezi Mungu amsujudie Adam sijida ya heshima basi yeye alikataa Kwa kujawa na Kiburi kwasababu yeye alijiona Bora sana.

Na alipoambiwa kwanini ulikataa kumsujudia Adam akasema;

Mimi ni Bora nimeumbwa Kwa Moto na yeye ameumbwa na Udongo

Kwahiyo Ibilisi akajiona yeye ni Bora zaidi ndio maana akakataa amri ya ya Mola wake.

Na Mwenyezi Mungu anasema hakika Kiburi ndio vazi lake kwahiyo yeyote ambaye analeta kiburi basi anafanya kosa kubwa Sana.

Na ili ujue Kibri ni kosa kubwa Sana mpaka Mwenyezi Mungu akamhukumu Ibilisi aende Motoni ,ebu tuangalie Ibilisi alikuwa wa namna gani.

Inasemwa Ibilisi alikuwa anafanya ibada Sana kiasi ambacho hakuna sehemu yoyote katika ardhi hakuacha Kusujudu,alisujudu kila sehemu Kwa AJILI ya kumwabudu Mola wake

Lakini

Pamoja na yote hayo basi Kiburi kikamuweka mbali na Mola wake na kuhukumiwa adhabu mbaya kabisa

Sasa baadhi yetu nasi tuna Uibilisi Fulani hivi ingawa ukitutazama machoni tunaonekana kama watu vile lakini tumejawa na Kiburi kupindukia katika Maisha yetu.

Kisa wewe ni CEO sehemu Fulani basi unajiona wewe ndio wewe, unajiona mpanaaa na wengine wote unawaona hawana maana kabisa,husikilizi shida za wafanyakazi wako,hujali mahitaji Yao kwasababu wewe ndio kila kitu hapo,usichojua ni kwamba kila kitu kina mwisho na IPO siku hiyo nafasi utaiacha, kwahiyo usitumie cheo kunyanyasa watu.

Malecture mpo? Nyie nanyi huwa mnajiona mko juu Sana kwasababu Maisha ya taaluma ya mwanachuo yapo mikononi mwenu basi mmejawa na Kiburi kuwa angamiza wanafunzi wenu tena saa nyingine kwasababu za kipuuzi Sana,machoni mnaonekana kama watu lkn mna Uibilisi Fulani hivi.

Madaktari na Manesi mpo? Nyie nanyi kwakuwa afya za binadamu wenzenu zipo mikononi mwenu basi Kiburi ni sehemu ya Maisha yenu. Mko radhi wagonjwa wafe au waendelee kupata maumivu kwasababu tu ya kiburi chenu,tena hawa manesi ndio balaa kabisa, mnayowafanyia wanawake wenzenu huko sehemu za kujifungua yaani Mungu Tu ndio anajua kwakweli, acheni Kiburi mwisho wenu utakuwa mbaya Sana.

Wana usalama kwanza nawapa Salute Kwa heshima yenu! Lakini nanyi pia huwa mnazingua Sana mnapokuwa katika majukumu yenu,kwa nafasi yenu huwa mna Kiburi Sana kwakuwa mna nguvu ambayo mmepewa na Katiba,niwakumbushe Tu ubinadamu ndio kila kitu katika Maisha IPO siku utaacha hayo majukumu na utarudi mtaani na huenda karma itafanya kazi yake.

Hiyo ni mifano michache Tu ambayo nimeitumia lkn watu viburi ambao Wana Uibilisi ndani yake wapo wengi Sana na wanakiburi Sana Kwa nafasi zao hadhi zao walizo kuwa nazo.

Niwakumbushe Tu kwamba Kiburi ni vazi la Mwenyezi Mungu kwahiyo unapokuwa Kiburi ni kana kwamba unataka kuchukua vazi lake nadhani mwisho wake unaujua utakuwaje.

Niwakumbushe nyie ni viumbe wa Allah hamna mnachokimiliki hapa duniani, kwahiyo muishi vizuri na watu na muwatendee wema daima dawamu ili muwe na mwisho mwema.

Ni hayo tu!

Kazakh destroyer
adriz
Msonjo
baby zu
reymage
To yeye
Mademoiselle
Yaishe nimekuelewa
Nitabadirika
 
malaika huwa hasemehewi . wewe ungekuwa huli, hunywi,hulali,huchoki,hunahisia za mapenzi,huna haja na hela, huoi, haufi, nk utafanya dhambi gani sasa?
Hapo ukifanya dhambi ni kufuru na ujuaji tu maana vishawishi huna, umesahau pia hawajaumbwa na tamaa.
 
Ameumbwa kutokana na ndimi za moto, ila yeye sio moto au sio mwenye maumbile ya moto. Ni kama sisi tulivyoumbwa kwa udongo (asili yetu ni Aadam aliyeumbwa kwa udongo) ila kwani sisi ni udongo? Maumbile yetu si unaona yalivyo? Kisha tukaumbwa kutokana na maji maji dhalili kabisa, kwani sisi ni maji?

Pili, tukienda kwa akili yako hiyo hiyo kuwa itawezekana vipi Iblisi aungue na moto ilhali kaumbwa na moto. Chukua tu mfano wa binadamu ambaye kaumbwa kwa udongo, lakini udongo huo huo unaweza kutumika kumuadhibu na kumdhuru. Ukichukua dongo gumu lililokomaa ukampiga nalo mwanadamu kichwani litamuumiza bila shaka bali linaweza kumdhuru. Binadamu mpaka wanakufa kwa kuporomokewa na madongo na ilhali wameumbwa kwa udongo. Na pia akaumbwa mwanaadamu kutokana na maji maji, na maji yanaweza kutumika kumdhuru.

Iblisi kaumbwa kwa moto na ataadhibiwa kwa moto wa Jahannam ambao moto mkali mno na haufikiwi na moto wa kawaida. Ukizingatia pia Iblis yeye sio moto (kama binadamu alivyo sio udongo) japo wameumbwa kwa vitu hivyo. Allah ni Muweza juu ya kila kitu.

Na Allah ni Mjuzi zaidi.
ما شاء الله، جزاك الله خيرا.
لو ما رأيت هذا، لناديتك لتكتب شيئا[emoji16] بس كنت قد عزمت ذلك.
 
ما شاء الله، جزاك الله خيرا.
لو ما رأيت هذا، لناديتك لتكتب شيئا[emoji16] بس كنت قد عزمت ذلك.
و أنتم فجزاكم الله خيرا
 
Back
Top Bottom