Kwa takwinu hizi, Yanga kutolewa ni haki, ingeitoa Mamelodi ndio isingekuwa haki, Mamelodi alikuwa timu bora

Kwa takwinu hizi, Yanga kutolewa ni haki, ingeitoa Mamelodi ndio isingekuwa haki, Mamelodi alikuwa timu bora

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Tulishuhudia mechi wote, Yanga walikuwa wamezidiwa kila idara na Mamelodi
Yanga walichofanya ni kupaki basi kubutua butua, kucheza rafu kwa dakika zote na kubahatisha shuti moja ambalo ndio wanalolalamikia walinyimwa goli

Kwa mashabiki tunaopenda kuona soka, tunataka timu bora ishinde, sio kubahatisha, hata Penalti walishindwa kupiga

Mamelodi ndio alikuwa timu bora na alistahili kushinda

Screenshot_20240406-115418.png
 
Ili mradi nawe umeanzisha uzi idiot
Tulishuhudia mechi wote, Yanga walikuwa wamezidiwa kila idara na Mamelodi
Yanga walichofanya ni kupaki basi kwa dakika zote na kubahatisha shuti moja ambalo ndio wanalolalamikia walinyimwa goli

Kwa mashabiki tunaopenda kuona soka, tunataka timu bora ishinde, sio kubahatisha, hata Penalti walishindwa kupiga

Mamelodi ndio alikuwa timu bora na alistahili kushinda
 
Tulishuhudia mechi wote, Yanga walikuwa wamezidiwa kila idara na Mamelodi
Yanga walichofanya ni kupaki basi kubutua butua, kucheza rafu kwa dakika zote na kubahatisha shuti moja ambalo ndio wanalolalamikia walinyimwa goli

Kwa mashabiki tunaopenda kuona soka, tunataka timu bora ishinde, sio kubahatisha, hata Penalti walishindwa kupiga

Mamelodi ndio alikuwa timu bora na alistahili kushinda

View attachment 2955417
Zero 🧠 !
 
Nadhani hiyo ni mipango na mbinu za timu. Yanga waliwawin Mamelodi
Hizo ni mbinu za woga!! Ukisikia kitolewa kike ndio hivyo! Yanga katolewa kike! Kutolewa kike ni kutolewa pasipo kupambana! Yanga hakupambana! Aliogopa kupambana!! Alitegemea kudra!! Ni sawa na bondia ambaye muda wote yeye anarudi nyuma na kujitahidi kukinga uso wake! Huyo akitolewa tunasema ametolewa KIKE!!
 
Hizo ni mbinu za woga!! Ukisikia kitolewa kike ndio hivyo! Yanga katolewa kike! Kutolewa kike ni kutolewa pasipo kupambana! Yanga hakupambana! Aliogopa kupambana!! Alitegemea kudra!! Ni sawa na bondia ambaye muda wote yeye anarudi nyuma na kujitahidi kukinga uso wake! Huyo akitolewa tunasema ametolewa KIKE!!
0 🧠
 
Unapaki basi dakika tisini, unakuja kutolewa kwa Penalty, si bora ufunguke tu unaweza kushinda.

Ukitoa Chelsea ya 2012, sijawahi kuona timu nyingine iliyowahi kuchukua ubingwa kwa kupaki bus.

Utopolo takataka kabisa!
 
Tulishuhudia mechi wote, Yanga walikuwa wamezidiwa kila idara na Mamelodi
Yanga walichofanya ni kupaki basi kubutua butua, kucheza rafu kwa dakika zote na kubahatisha shuti moja ambalo ndio wanalolalamikia walinyimwa goli

Kwa mashabiki tunaopenda kuona soka, tunataka timu bora ishinde, sio kubahatisha, hata Penalti walishindwa kupiga

Mamelodi ndio alikuwa timu bora na alistahili kushinda

View attachment 2955417
We kweli matako.
Kwahiyo chelsea ilomtoa barcelona kwa magoli mawili huku possession ikia 80 kwa 20 ilimuonea barcelona??
 
Back
Top Bottom