Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga hawakutakiwa kucheza vile nyumbani. Waliiogopa mno MamelodiNadhani hujui maana ya kitu game plan ,Yanga walicheza hivyo kwa dar na SA na bado Mamelody hawakupata goli
naona hapo shot on target ni zero.... maana yake hata lile goli pia mpira ulipaa juu ukashuka kwa kipaTulishuhudia mechi wote, Yanga walikuwa wamezidiwa kila idara na Mamelodi
Yanga walichofanya ni kupaki basi kubutua butua, kucheza rafu kwa dakika zote na kubahatisha shuti moja ambalo ndio wanalolalamikia walinyimwa goli
Kwa mashabiki tunaopenda kuona soka, tunataka timu bora ishinde, sio kubahatisha, hata Penalti walishindwa kupiga
Mamelodi ndio alikuwa timu bora na alistahili kushinda
Ila akili za wabongo!! Eti Yanga hakupambana..kwahiyo kwako wewe kupambana ni kupi sasa?Hizo ni mbinu za woga!! Ukisikia kitolewa kike ndio hivyo! Yanga katolewa kike! Kutolewa kike ni kutolewa pasipo kupambana! Yanga hakupambana! Aliogopa kupambana!! Alitegemea kudra!! Ni sawa na bondia ambaye muda wote yeye anarudi nyuma na kujitahidi kukinga uso wake! Huyo akitolewa tunasema ametolewa KIKE!!
Mbona utazoea tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpira ni magoli. Yanga walipata goli, refa akalimezea, wala hakutaka kujishughulisha kuthibitisha kuwa ni kweli ni goli.
View attachment 2955742