Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

Hahaha! Angekuwa na umaarufu huo asingeiba uchaguzi. Miaka yote CCM huwa wanaiba kura, yeye akaiba uchaguzi.
 
Watanzania ni shida sana. Yaani mama karuhusu mikutano ya hadhara, ambayo ilizuiliwa kinyume na Katiba ya Nchi, lakini watu wanaona kama Hisani fulani hivi.

Kwa maoni yangu, hapa hakuna chochote kilichoongezwa.
Mbona ilikuwa haifanyiki! Punguza wivu na chuki! Rais Samia kafanya jambo kubwa.
 
Comment uchwara kabisa hii.Unavyotaka wewe iwe ndio unataka watu wote waamini hivyo,haitakuwa.Marehemu Magufuli atabaki kuwa kipenzi cha wanyonge Tanzania,hata akiwa kaburini
 
Hakuna kitu kama Sukuma Gang,that is an illusion implanted in you by Magufuli's enemies.
Wapo. Wapo Sana.

Halafu kumbe unajua kuwa Magufuli ana maadui? Unadhani kwann ana maadui?

.........Alikuwa dikteta yule
 
2022 matukio ya uhalifu yalikuwa mengi sana na yanaendelea, waliibuka panyaroad hali iliyofanya polisi kukamata hovyo raia na kuuwa sana tu raia na hadi sasa bado polisi imekuwa kama mchezo kwao kukamata vijana na kuwagea kesi za wizi.
Bila kusahau huo mwaka watu wamekuwa wakiuwana hovyo hovyo na matukio mengi ya ubakaji ni mambo ambayo yanaendelea hadi sasa.
 
Kuna CCM ya jiwe (sukuma gang) na ccm ya Samia. Jiwe pamoja na wafuasi wake wamedhalilishwa. Sijui wataficha wapi uso wao.
Kitu kikubwa kilichobaki ni kuwafanya raia kumuelewa Samia, hadi wanawake wenzake ambao ndio wapiga kura wengi hawamuelewi kama kungekuwa na uchaguzi kwa maana ya uchaguzi Tanzania basi Samia asongetoboa huo uchaguzi ujao.
 
Wapo. Wapo Sana.

Halafu kumbe unajua kuwa Magufuli ana maadui? Unadhani kwann ana maadui?

.........Alikuwa dikteta yule
No,alikuwa Paka aliyetaka kuangamiza mipanya yote inayokula mahindi ghalani,kwa bahati mbaya mipanya ikatengeneza gang ikamuangamiza.
 
mzembe wa kufikiri,nchi inayotegemea mikopo na misaada unategemea nini zaidi ya kufuata masharti hata kama ni mazito
 
Sababu za Lema na Lisu kujibanza kwa wazungu zinadhidi kumalizwa, mikutano ya siasa imeruhusiwa, madai yote ya Lisu yamelipwa, kesi yenye kila aina ya ushahidi ya gaidi wa kuuwa viongozi wa serikali imefutwa.
Ngoja tuone kiki mpya watakayokuja nao .
Kwani wale kunguni waliomwaga damu wamekamatwa?
 
Mbuzi wanahanja kutuhadaa. Mbuzi Ni Mbuzi tu hata iweje.
 
Kitu kikubwa kilichobaki ni kuwafanya raia kumuelewa Samia, hadi wanawake wenzake ambao ndio wapiga kura wengi hawamuelewi kama kungekuwa na uchaguzi kwa maana ya uchaguzi Tanzania basi Samia asongetoboa huo uchaguzi ujao.
Rais Samia Suluhu anakubalika kila kona mzee ingia mtaani utaona watu wanavyomkubali mama then sio mtaani tu hata mitandaoni ukifatilia utagungua watu wameanza kumuelewa mama hasa kwa hilo tamko la jana matumaini yameongezeka
 
Mlivyo mabwege utafikiri hiyo katiba mpya itawaletea chakula mezani. Shida hata katiba iliyopo huijui umebaki kukariri wimbo.
 
Kweli ukiwa chawa akili zote zinakuwa umekopeshwa kwa iyo kufa kwa kuchomwa na kunyimwa chakula kuko tofauti
 
Ivi vilinyimwa chakula wakati vimekufa eee
Vioishikiliwa pale airport ili aliyevileta atimize matakwa ya kisheria. Lkn kwa bahati mbaya taratibu za kuvilea vifaranga hazikufuatwa ipasavyo ndiyo maana vikafa.

Lakini shetani jiwe, kwa makisudi kabisa akiviiwashia Moto vifaranga ambavyo ni hai. That monster was horribly heartless.
 
Sexless nadhani utakua chawa hadi kama shoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…