kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Acha uoga mjomba,miamala midogo midogo ya 50k na 100k ni mingi sana kuliko hiyo mikubwaNimeeleza from my own experience. Unachokatwa kwenye makato ya miamala sio anacholipwa wakala. Mtaji wa 5m ukiamua kuiweka float kwenye mtandao let say wa voda unaweza ukahudumia watu wawili au watatu ukajikuta huwezi kutoa huduma kwa either kuwa na float bila cash or kuwa na cash bila float. Kwa maneno rahisi ili shughuli ya uwakala ikulipe unahitaji mtaji mkubwa na mzunguko
5m ni ndogo kwa biashara ya uwakala wa bank na hata kununua hyo proboxWasalaam.
Title yajieleza. Tsh 5M nataka kuizalisha.
Nawaza hizo ideas mbili, aidha (a) Kufungua Uwakala wa Bank ama (b) Kununua Toyota probox (mkononi mwa mtu) na kuipeleka route za vijijini.
Location: Ndani ya Mkoa wa Geita.
NB: Ideas hizo zote mbili ni mgeni nazo, sijawahi kuzifanya kabla.
Ushauri wenu wazoefu.
Usisubirie mtaji uwe mkubwa ndio uanze biashara,huyu anaongea kuhusu kuwa na mtaji kuanza biashara na wakati inatakiwa uwe na entrepreneur mind to start a business mkuu. Watu wanaanza biashara bila hela Ni udhubutu tu ,sema uwoga unashikilia watu wasiende mbele. Kwani lazima awahudumie hao 10M atamwambia Hana mtaji. Usisubirie uwe na kila bidhaa ndio ufungue duka ,Anza na bidhaa ndogo utakuwa unajaza ,kila kitu kinakuwa Kama mtt anavyotokea kwenye maji maji ya wazazi wake mpaka anakuwa binge la kitu na mifupa yake ya kupasua mawe. Mbuyu ulikuwa mchicha so usipgope mkuu
Vipi huko michomoko ruksa?Vuta probox hiyo hela, piga ruti Geita/Nyankumbu Kakola abiria kibao.
Mambo ya uwakala hapo Geita ni kutafuta kuvamiwa na majambazi tu.
Njoo tuyajengee mkuuBoss mi nahitaji hizo tv
Ruksa mkuu!Vipi huko michomoko ruksa?
Kuna probox ya Milioni 5?Wasalaam.
Title yajieleza. Tsh 5M nataka kuizalisha.
Nawaza hizo ideas mbili, aidha (a) Kufungua Uwakala wa Bank ama (b) Kununua Toyota probox (mkononi mwa mtu) na kuipeleka route za vijijini.
Location: Ndani ya Mkoa wa Geita.
NB: Ideas hizo zote mbili ni mgeni nazo, sijawahi kuzifanya kabla.
Ushauri wenu wazoefu.
Nzuri hiiWasikutishe ,mie niliuza yangu kwa 4M na ilikuwa nzima,ishu ilikuwa Ni usimamizi. Niliyemuuzia anapiga mzigo mpaka muda huu.
Kwa ushauri wangu Kama wewe Ni mtu usiyeogopa kupoteza pesa aka risk taker ,nunua probox Ila Kama Ni mwoga weka miamala,ukipata location nzuri na usimamizi mkuu iyo hela unasogea,nadhani huwezi ukakosa like 1M+ kwa mwezi hapo kampuni zote za pesa
Kumbe hata mimi na weza kununua probox then nikazama ndichi nikaanza kula vichwaWasikutishe ,mie niliuza yangu kwa 4M na ilikuwa nzima,ishu ilikuwa Ni usimamizi. Niliyemuuzia anapiga mzigo mpaka muda huu.
Kwa ushauri wangu Kama wewe Ni mtu usiyeogopa kupoteza pesa aka risk taker ,nunua probox Ila Kama Ni mwoga weka miamala,ukipata location nzuri na usimamizi mkuu iyo hela unasogea,nadhani huwezi ukakosa like 1M+ kwa mwezi hapo kampuni zote za pesa
Watu wanatiana hofu tu mkuu na Ni kwa vile sikuwa dereva mwenye chombo nadhani ningepata helaKumbe hata mimi na weza kununua probox then nikazama ndichi nikaanza kula vichwa
Aisee haya mambo haya watu wana weza kukujaza upepo na wewe ukajaa, kumbe mambo yana wezekana kabisa tena mimi dereva/kondakta mimi mwenyewe. Maana ni kadogo tu. Na weza ku mudu.Wat
Watu wanatiana hofu tu mkuu na Ni kwa vile sikuwa dereva mwenye chombo nadhani ningepata hela
Mtu anajenga anaanza kutisha kuwa ametumia pesa nyingi mnoAisee haya mambo haya watu wana weza kukujaza upepo na wewe ukajaa, kumbe mambo yana wezekana kabisa tena mimi dereva/kondakta mimi mwenyewe. Maana ni kadogo tu. Na weza ku mudu.
Hivi vi Probox niliwahi kuviona Congo na Zambia cina piga kazi kuliko daladala ya Tz [emoji23] kwahiyo wanoko watuache kwanza wasitutishe tutie hela aisee. [emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo yote ni unoko tu ili utishike kwamba hauwezi ila ukisubutu una weza watu hawa nawachikiaga wana ongezaga sana chumvi kwanini mtu usiwe really tu.Mtu anajenga anaanza kutisha kuwa ametumia pesa nyingi mno