kwakuwa waislam wengi ni wanafiki,kwenye nyekundu atakwambia hii ni nyeusi ili asiwakere wenzake[emoji16][emoji16].Wewe si Muislam na umeleta uongo kwa maslahi yako binafsi
Ndio adanganye kwamba alikuwa muislamu 😅😅😅uongo mbaya pale kwa Mwamposa wote wanasema ni waislamu.!!kwakuwa waislam wengi ni wanafiki,kwenye nyekundu atakwambia hii ni nyeusi ili asiwakere wenzake[emoji16][emoji16].
akinyoosha mstari anakuwa sio muislam.
Mnatapeliwa tu na uchawi wa KinigeriaUponyaji wa Imani unafanyika Kwa Imani. Sasa anaendaji Ocean road Kwa wagonjwa ambao hawajawa na Imani hiyo????
Mungu yuko mmoja tu aliyehai. Hao manabii wenu ni matapeli tu. Najuwa huwezi kukubali wala kuelewa umekwishatekwa vibayaJibu swali acha kurukaruka kama maharage.
MUNGU HAWEZI KUFANYA AMBACHO MTOA MADA AMEANDIKA?
mi ni muumini wa YESU KRISTO sio wa mwamposa kwanza simfagilii kiviile lkn hata ingekua kweli haimuusu mtu.
Kama wewe unae mungu wako basi acha kuponda Mungu wa wenzio. Pita zako hivi uende kwenye majukwaa ya waabudu mizimu wenzio kimyakimya.
Mnatapeliwa tu ila hamna mtu anaponywa kwenye hayo makongamano yenu.Bro inaonekana kichwa yako ina shida. Sasa unachopenda ni nini? Watu kuponywa na nguvu za Mungu au huo uchawi wa kinaijeria unaouona una nguvu? Kwahiyo Mungu ashindwe kuponya ila uchawi wa kinaijeria uponyaji? Nashauri, sio kila thread unatakiwa ucomment. Nyingine pita pembeni kwani unazidi onyesha uchi wa akili yako.
Kuhusu wagonjwa Ocean Road na Muhimbili, toka enzi za Adam hadi wakati wa Yesu na Mitume Magonjwa yalikuwepo na Mahospitali na matabibu walikuwepo mbona hawakuzunguka huko Mahospitalini? Ebu acha ujuaji, issue zingine ziache zikupite tu mkuu.
Hamnaga maombezi hapo hao matapeli tu.Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Hakuna shekhe majini ,kqtaa utapeli 🤣🤣
waislam pia wana matatizo kijana,ni miongoni mwa raia 60mln wa tz,wanakula ugari na dagaa kama wakristo.Ndio adanganye kwamba alikuwa muislamu [emoji28][emoji28][emoji28]uongo mbaya pale kwa Mwamposa wote wanasema ni waislamu.!!
Sasa ninyi kama Familia nzima mnatafakari nini juu ya huyu Yesu KRISTO?
Kumbuka siku ya Hukumu ataidai familia huu muujiza aliofanya lakini hamkuamini na kumpokea kama BWANA na Mwokozi wenu,(Warumi2:4-6)
Barikiwa sana sana Dogo. Mungu ni wa kwetu sote, MUNGU hana dini, ni wa kwetu sote. aione FaizaFoxy kwa fileUkimtukana mtu kafiri unatakiwa ujue kuwa hakuna mwislam aliyekufa akarudi kukupa taarifa kuwa huko peponi wapo watu wa aina gani ukishalijua hilo basi heshimu sana imani za wengine Maisha baada ya kifo ni Siri kubwa na mitihani ya maisha ndio inatufanya tujue ukweli hukusu hzi Din
Mbona hilo andiko halihusiani na andiko nililtoa hapo kwenye maelezo ya ushuhuda? Harafu '' SI KILA aniambiaye" hakuwa na maana kuwa "WOTE waniambiao Bwana Bwana" hawataingia katika ufalme wa mbinguni!Mathayo 7:21-29
21. “Si kila aniambiaye, ‘Bwana, Bwana’, ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza matakwa ya Baba yangu aliye mbinguni.
22. Wengi wataniambia siku ile ya hukumu: ‘Bwana, Bwana! Kwa jina lako tulitangaza ujumbe wako, na kwa jina lako tuliwatoa pepo na kufanya miujiza mingi’.
23. Hapo nitawaambia: ‘Sikuwajua nyinyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.’
Ni wachache sana wenye uelewo kama wako, huu ni utapeli wa wazi kabisaHii ni hadithi ya kutunga ili kumproti huyo nabii feki. Jitahidi utawapata wenye roho nyepesi
Pole,Hii ni hadithi ya kutunga ili kumproti huyo nabii feki. Jitahidi utawapata wenye roho nyepesi