Kwa tulipofikia mikutano ya siasa kwa nchi yetu haina tija zaidi ya kucharuana tu! Pigeni marufuku hii mikutano uchwara!

Kwa tulipofikia mikutano ya siasa kwa nchi yetu haina tija zaidi ya kucharuana tu! Pigeni marufuku hii mikutano uchwara!

Magufuli alikuwa ni Dikteta mpumbavu ndiyo maana alifuta mikutano ya vyama vya upinzani. Haya mambo yapo kikatiba na ukitaka kuyafuta kaanzie Bungeni kubadili sheria.

Hatutaki turudi kwenye ule UHAYAWANI wa Magufuli, tumeufukia kama tulivyomfukia yeye mwenyewe Chato
Kile kilikuwa chuma na nchi ilitulia
 
Wasiipige mikutano marufuku. Acha mvua inyeshe ili 2025 tujue panapovuja ni wapi i.e. tujue pumba ni akina nani na mchele ni nani
Ingekuwa ni hivyo uchaguzi wa 2015 ndio ulikuwa wao lakini walichemka
 
Nimejitahidi kusikiliza hoja za wanasiasa katika majukwaa tangia mama aliporuhusu mikutano nimechoka kabisa! Huwezi ukaelewa Nini hasa mkakati wa wanasiasa!

Ni ajabu ni matusi na vijembe na kucharuana hakuna siku tukasikia watu wanaongea fact! Magufuli aliona mbali sana kupiga stop hii mikutano uchwara! Ili kuepusha dalili za uhaini katika nchi yetu mikutano ipigwe stop!

Tuinusuru nchi yetu na Mkono wa shetani ..kama lengo kuu la mikutano ndio hili sioni sababu ya kuendelea nayo
Mungu anaenda kukufuta ndani ya uso Dunia , tunza hii, hii nchi sio ya baba au mama yako, kiapo ni kiapo iwe kwa miungu ,Mungu , au makabaliano yoyote katika nchi mfano katiba ,

Mungu hawezi ruhusu mtu mjinga kati ya nyoyo 60ml kuangamiza Taifa lake , tunza hii
 
Nimejitahidi kusikiliza hoja za wanasiasa katika majukwaa tangia mama aliporuhusu mikutano nimechoka kabisa! Huwezi ukaelewa Nini hasa mkakati wa wanasiasa!

Ni ajabu ni matusi na vijembe na kucharuana hakuna siku tukasikia watu wanaongea fact! Magufuli aliona mbali sana kupiga stop hii mikutano uchwara! Ili kuepusha dalili za uhaini katika nchi yetu mikutano ipigwe stop!

Tuinusuru nchi yetu na Mkono wa shetani ..kama lengo kuu la mikutano ndio hili sioni sababu ya kuendelea nayo
Hiki ulichokiandika ndo kinapaswa kupigwa marufuku na kukemewa na wote wenye akili timamu, wapenda amani, haki, wajibu na maendeleo.
 
Kile kilikuwa chuma na nchi ilitulia
Huwezi kusema nchi ilitulia wakati watu walikuwa wanauliwa na kutupwa baharini wakiwa ndani ya viroba, wabunge walikuwa wanapigwa risasi bungeni na wafanyabiashara walikuwa wananyang'anywa fedha zao.

Huwezi kusema kile kilikuwa chuma wakati alikufa kwa mafua ya corona. Ile ilikuwa ni walking carcass tu
 
Tatizo ni wewe hujui Siasa! Hiyo ndio Siasa Kaka. Ulitegemea siasa iwe Sawa na lecture room,ulitaka siasa iwe Sawa na semina? Hiyo ndio Siasa..unasema hili,mwenzio anakuja kusema lile ulilosema kwa namna nyingine ...wananchi wanaachiwa jukumu la kutafsiri.
Nakuhakikishia kwamba kama siasa zilivyokua zinakwenda wakati wa Jakaya zingeendelezwa na JPM nchi yetu isingekua hapa ilipo leo.
 
Mfano wa mambo matatu yenye kwako ambayo ungependa yazungumziwe na vyama vya siasa ni yapi??
Alitegemea kusikia neno anaupiga mwingi kalikosa kila mkutano ni spana tupu, mbaya zaidi watu wanalipa nauli zao bila kusombwa hili jambo limemkwaza sana mwananzengo.
 
Hata kama kusingelikuwa na mikutano ila bandari zetu zisingeliuzwa na hazitauzwa
 
Nimejitahidi kusikiliza hoja za wanasiasa katika majukwaa tangia mama aliporuhusu mikutano nimechoka kabisa! Huwezi ukaelewa Nini hasa mkakati wa wanasiasa!

Ni ajabu ni matusi na vijembe na kucharuana hakuna siku tukasikia watu wanaongea fact! Magufuli aliona mbali sana kupiga stop hii mikutano uchwara! Ili kuepusha dalili za uhaini katika nchi yetu mikutano ipigwe stop!

Tuinusuru nchi yetu na Mkono wa shetani ..kama lengo kuu la mikutano ndio hili sioni sababu ya kuendelea nayo
Badili katiba. Unaogopa nn mikutano? Au we Ni wale wa mchongo.
 
Back
Top Bottom