Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kwa mara 4 bado hukumuelewa, tatizo siyo Lissu, bali akili yako ndogo ndiyo shidaWakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.
Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.
Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.
Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.
Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.
Mkuu usiandaa mawazo yako katika kuona na kuukubali ukweli kamwe huwezi kuona,CCM imetutoa toka kwenye kundi la LDC to MDC wewe huoni hilo?Njaa zako zisikufanye ukose akili wee mataga hizo juhudi zilizofanywa na awamu ya tano mnazokaririshwa ni zipi wakati hakuna ajira,maisha magumu biashara ngumu Kodi kubwa, mshahara haupandi ni zipi hizo jinga wewe
Sio mwaka huu tu,lissu kuwa rais wa Tanzania maisha yake yote itakuwa ni sawa na bingu na ardhi kukutanaTo be honest, ukitarajia kwamba Tundu Lissu atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu, unaumiza hisia zako bure. Hilo jambo haliwezi kutokea.
Tulia dawa ikuingieni,tunamnyoa mgombea wa CHADEMA upaa kwa kuitumia vipande vya chupa.Uzi Kama huu ukipewa buku 7 ujaitendea haki lumumba fc
Maisha yamekuwa magumu kupindukia,wanaccm Wengi wameamua kupindua meza.ukabila imezidi ndani ya chama.watanzania Wengi watapiga kura za hasira.Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.
Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.
Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.
Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.
Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.
Msipotaka kuona uhalisia watanzania watawaonesheni Oct.28Maisha yamekuwa magumu kupindukia,wanaccm Wengi wameamua kupindua meza.ukabila imezidi ndani ya chama.watanzania Wengi watapiga kura za hasira.
CCM hata anga imeikataa,hata mabeberu wanakula picha za wagombea wa ccm kinabii ccm imekwishaTulia dawa ikuingieni,tunamnyoa mgombea wa CHADEMA upaa kwa kuitumia vipande vya chupa.
Kama nyie mlivyoandaa maskio yenu kusikia mabeberu, huko kwenu kuna ntu aliita mabeberu "WANAUME"Dhaifu kivipi? Tatizo mmeandaa masikio yenu kusikia kile yanachopenda kusikia,,mukiambiwa kuna hiki hamuelewi
Mazoea yaliiponza kanu kenyaMsipotaka kuona uhalisia watanzania watawaonesheni Oct.28
Mabeberu yanakula mabango ya chakavuKama nyie mlivyoandaa maskio yenu kusikia mabeberu, huko kwenu kuna ntu aliita mabeberu "WANAUME"
Keep calm and waitMazoea yaliiponza kanu kenya
Hapo ulipo hata chai leo hujui unaipataje Ila shati la kijani umeshalivaa.watakao piga Kura ni sisi na tuna walio nyuma yetu. October mtanyolewa amini maneno yangu.Msipotaka kuona uhalisia watanzania watawaonesheni Oct.28
Unajinyea tu mwaka huukatika wagombea wapuuzi huyu ni no 1,aliyempiga risasi hizo hajulikani labda hata ni wenzie huko huko kwake kwa kujifanya mjuaji namn hii leo.
Wanyturu wanasifika kwaa kuuza matogwa na uchafu mwingi sana kwa chakula huu ni uchafu. huyu tunaambiw ni mwanasheria ngunguli hajui hata sheria ya kumkosea heshima JPM hadharani ambaye bado ana miaka mi5 hewani iliyosajiliwa anamalizia kwa kuteleza tu,
huyu mgombea karata yake sijui Ubelgiji alikoenda matibabu miezi 12 tu anajifanya anajua kila kitu Ulaya nzima huku kuna wanasiasa wana miaka 30+ hawana story na Africa wala siasa zake washakata tamaa.
Mwacheni tu akimaliza hii porojo ataomba ten ukimbizi kwmba ni sias zinamuandama then apewe visa na familia yake. sidhani kama kuna kingine anataraji zaidi ya hicho,
Mkuu Wewe ndo huna uhakika wa chai, ninao uwezo wa kukulisha wewe na family yako,Hapo ulipo hata chai leo hujui unaipataje Ila shati la kijani umeshalivaa.watakao piga Kura ni sisi na tuna walio nyuma yetu. October mtanyolewa amini maneno yangu.
Kwa uchumi upi? Kwa kazi ipi? Kwa biashara ipi unayoifanya? Kwa mshahara upi? Labda wewe ni mjumbe😏Mkuu Wewe ndo huna uhakika wa chai, ninao uwezo wa kukulisha wewe na family yako,
Wewe una kula chakula cha kununua kidokidogo,mimi nikiangalia humu ndani mwangu kulia naona gunia 40 za mahindi,kushoto gunia 30 za mpunga,
Sasa njaa itoke wapi?
tuliza kinyeo uandike vizuri. kama hujaambulia chochote usiende tena. sisi werevu tunamkubali sanaWakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.
Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.
Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.
Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.
Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.
Aliyesema atamgawa mama yake kwa mwanaume kwa sababu ya kupewa jogoo ana faili wapi???JPM hawezi kufanya midahalo na mtu mwenye faili milembe,utakuwa ni kumdhalilisha rais mteule
Akikujibu nitagKwa uchumi upi? Kwa kazi ipi? Kwa biashara ipi unayoifanya? Kwa mshahara upi? Labda wewe ni mjumbe😏