Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Hizo zote ni porojo bila mpango. Mambo ni Gaza, wanamgambo wa Hamas wanawafanya mhororoje na kubwabwaja bila mpango.

Jana Iran, Saudi Arabia, Jorda, South Afica, wote hao wametangaza kimbembe kw Myahudi.
Hauna hata cheti cha mgambo lakini umegeuka mchambuzi wa vita, ama kweli kila muislamu ni gaidi in Israelis voice.

Unaleta udaku, hayo maeneo mlioua watoto, wanawake na kubaka wazee mmeadhibiti? si mnataka ardhi yenu vipi mbona mnakimbia na kuitelekeza?

Mimi nafikiri Israel wamejiexpand through vita, na mara zote waarabu mnajiunga ili nguvu iwe kubw but bado mnajikuta mnapoteza tu, na hata leo bado mnaelekea kupoteza hii vita nyie ni wajinga.

Et Hizbullah🤣🤣🤣🤣🤣 let wait and see!!!!
 
Upo sahihi.
 
Kwani nyie hamas mlivyolianzisha mlipiga kambi za Jessica. Si mlipiga raia? Halafu uhai wa mtu unathamani ileile machoni pa MUNGU, awe mtoto, kijana, mwanamke, mwanaume, mzee. Wote ni binadamu walioumbwa na MUNGU, hawatakiwi kuuliwa bila,sababu.
Wale wanajeahi wliotekwa unafikili walikutwa kilabuni wanakunywa ulanzi? Na makamanda wao wote wamesombwa. Hii ni aibu sana kwa jeshi bora zaidi duniani
 
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
la yujad 'iilh yanbaghi 'an yuebd bialeadl 'iilaa Yasue Warasulih Bulus [emoji1377][emoji1360]

.Hakuna Mungu anayepaswa kuabudiwa kwa HAKI ILA YESU!; NA PAULO MTUME WAKE [emoji1377][emoji1360]
[emoji1370][emoji1370]
YESU ni MUNGU KAMILI na MTU KAMILI
tatizo ni unamjadili Yesu Akiwa katika Umbile lake la Kibinadamu Kamili! Lakini kama Mungu Kamili huwezi kujadili!

Msome Yesu.Hapa!
[emoji116][emoji116]
.Hakuna Mungu anayepaswa kuabudiwa kwa HAKI ILA YESU!; NA PAULO MTUME WAKE [emoji1377][emoji1360]
[emoji1370][emoji1370]
YESU ni MUNGU KAMILI na MTU KAMILI
tatizo ni unamjadili Yesu Akiwa katika Umbile lake la Kibinadamu Kamili! Lakini kama Mungu Kamili huwezi kujadili!
Msome Yesu sasa!
[emoji116][emoji116]
Yohana 1:1-3,14
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

[14]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
 

Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
 
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Hapa!
John 14:8-9
[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
 
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Soma tena kwa umakini nilichokujibu. Pia nioneshe kwenye Quran Mahali panapoonyesha "allah ni Mungu" nionyeshe au mtume mohamed alisema yeye ni mtume wa Mungu
 
FaizaFoxy post yako umeisoma kabla ya kuipost?
Ebu isome tena naona umepost ukiwa na bado na usingizi mwingi my sister.
 
FaizaFoxy post yako umeisoma kabla ya kuipost?
Ebu isome tena naona umepost ukiwa na bado na usingizi mwingi my sister.
Mradi hakuna makosa ya R na L na kugha haijabadilishwa isikutie shaka.

ch ajabu kuna staff wa JF kazi yao kubadiki vichwa vya habari, kuweka wanavyopenda wao na kuhamisha nyuzi kupekuunga na wanazopenda wao au kupoteza kabisa nyuzi wasizozipenda wao, lakini kurekebisha makosa ya spelling hawafanyi. Jiulize why? Na wengine wanaitwa "content manager".
 
Wiki mbili zimepita toka niandike uzi huu. Msimamo wangu ni ule ule. Wayahudi wameshindwa. Wamezidiwa akili na Wapalestina.

Hili prke yake linadg8h7r7shq kuwa hawa eiyo wale "wana wa Israel" waliosifiwa kwa akili na ujanja.

Hawa ashkenazi, kina netanyahu ni wayahudi koko tu.
 
Hali ya vita ipo vp pale kwa sasa?
 
Hali ya vita ipo vp pale kwa sasa?
Hali ya vita inaendelea, wayahudi wanaendelea kuuwa watoto, wazee na wagonjwa mahospitalini.

Wakitia pua sehemu nyeti wanafyekwa vilevile, jana wameuliwa IDF wengi sana, ingawa wao wenyewe wanasema ni 11 tu. Na leo bado tunaendelea kuchambuwa taarifa za huko.

Kimbembe walichokunbana nacho jana kutokea Yemen imebidi wenyewe wafunguwe mpaka misaada iingie Gaza. Unajuwa maana yake nini hiyo?
 
Hapana nifahamishe mkuu, pia internatio al stance ipoje kwa sasa pia?
 
Hapana nifahamishe mkuu, pia internatio al stance ipoje kwa sasa pia?
Maana yake wayahudi watapunguza mashambulizi ya anga na missiles wakati gari za nje za misaada zipo Gaza.

Huo ni ushindi kwa Wapalestina.
 
Maana yake wayahudi watapunguza mashambulizi ya anga na missiles wakati gari za nje za misaada zipo Gaza.

Huo ni ushindi kwa Wapalestina.
Kwa kadhia hizi tunazoziona hapa aljazeera kweli unasema kusitisha air raids na kuruhusu humanitarian aid ni ushindi kwa wapalestina?
 
Hiv huyu Bibi bado anasema waisrael wanaogopa kuingia Gaza. Umesahau kanuni yao kuu. Haisameh wala haisahau.
 
Tena kabisa, mjulishe hilo mungu wako myahudi.

Hao wanamgambo wagonjwa wa akili kwa miaka zaidi ya 70. naona halijuwi hilo.
Kashindwa kabla.........??? mda mwingine watanzania muwe mnashirikisha akili zenu, acheni ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…