WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Ushindi kwa muislam mujahedeen🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maana yake wayahudi watapunguza mashambulizi ya anga na missiles wakati gari za nje za misaada zipo Gaza.
Huo ni ushindi kwa Wapalestina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushindi kwa muislam mujahedeen🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maana yake wayahudi watapunguza mashambulizi ya anga na missiles wakati gari za nje za misaada zipo Gaza.
Huo ni ushindi kwa Wapalestina.
Mujahedeen kavurugwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Upo sahihi.
Umevurugwa mujahedeen🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wiki mbili zimepita toka niandike uzi huu. Msimamo wangu ni ule ule. Wayahudi wameshindwa. Wamezidiwa akili na Wapalestina.
Hili prke yake linadg8h7r7shq kuwa hawa eiyo wale "wana wa Israel" waliosifiwa kwa akili na ujanja.
Hawa ashkenazi, kina netanyahu ni wayahudi koko tu.
Kwa izo missiles zinakuwa bombed wapi Gaza yote au nirthern GazaMaana yake wayahudi watapunguza mashambulizi ya anga na missiles wakati gari za nje za misaada zipo Gaza.
Huo ni ushindi kwa Wapalestina.
Zinapigwa wapiSijakuelewa, uliza tena kwa utaratibu, bila kuchanganya lugha.
Kwa "bombed" unamaanisha zinaporushwa, zinapotunguliwa au zinapopiga?
Wanamgambo wanaovaa hijab na kujificha ktk mashimo na hospitali!! Hawana hata kambi ya jeshi hata moja.Hizo zote ni porojo bila mpango. Mambo ni Gaza, wanamgambo wa Hamas wanawafanya mhororoje na kubwabwaja bila mpango.
Jana Iran, Saudi Arabia, Jorda, South Afica, wote hao wametangaza kimbembe kw Myahudi.
Maana yake ni nyepesi sana, kiburi kinaanza kuwaishia.Hapana nifahamishe mkuu, pia internatio al stance ipoje kwa sasa pia?
Hiyo ndiyo ajabu yenyewe, hawana jeshi, silaha zao nyingi za kuunda wao wenyewe lakini mpaka dakika hii wanalihenyesha moja ya jeshi tajiri na kali kabisa:Wanamgambo wanaovaa hijab na kujificha ktk mashimo na hospitali!! Hawana hata kambi ya jeshi hata moja.
Wanvyouliwa wapalestina kwa miaka 75 sasa hukuyaona?NAFASI YA MKRISTO KATIKA VITA YA ISRAELI NA PALESTINA.
Shalom.
Juzi Palestina kupitia wanamgambo wa Hamas wameanzisha mashambulizi juu ya Israel, na inasemekana ni mashambulizi makubwa kuwahi kushambulia na kufanikiwa kuwaua Waisraeli zaidi ya 300 na wengine zaidi 100 kujeruhiwa, idadi hiyo inahofiwa kuongezeka. Waziri mkuu Benjamin Netanyahu ametangaza vita rasmi.
Kufikia jana Israel amejibu mapigo na kuishambulia Palestina na kufanikiwa kuwaua wapalestina zaidi ya 313 na wengine 2000 kujeruhiwa na idadi inahofiwa kuongezeka.
Sasa kutokana na matukio hayo kumekuwa na mvutano mkubwa wa watu katika mitandao ya kijamii na hata Duniani, kila mmoja akiongea lake. Lakini mivutano yote hiyo kwa sehemu kubwa imejaa udini ambao unaelemea upande wa imani ya mtu husika. Wengine wanaongea kisiasa n.k.
Nami pia kwa upande wangu naomba niongee kidogo kuhusu jambo hili, na mimi nitaongea tu kwa upande mmoja wa kikristo tu. Siongelei siasa wala historia leo ila nitaongea kwa upande wa nafasi ya Mkristo mgogoro huu.
Nimebahatika kupitia maoni mengi ya Wakristo na baadhi ya watumishi, wanafurahia Israel kujibu mapigo kwa Palestina kwa kile wanachodai kuwa Palestina ndiyo walioanza. Hivyo tunaiombea Israeli ikiwezekana wawachape wafilisti mpaka maji wayaite m-ma.
Leo nataka niondoe mtazamo huo mfu katika akili za wengi, Palestina kuna Wakristo kama sisi, yawezekana kuna walokole kule, Wasabato, Wakatoliki n.k unafikiri wale Wakristo wakule wanapoomba Mungu huwa wanaombaje? Je wanaiombea Israel iwapige wapalestina au Palestina iwapige Waisraeli? Ukilitambua hilo utaanza kunielewa.
Kristo alikufa msalabani kwa ajili ya Kanisa na si taifa la Israel, narudia Kristo alilifia kanisa na si taifa la Israel pale msalabani. Hivyo tambua kitu cha thamani kwa Kristo kwa sasa ni kanisa kuliko taifa lolote, yani kwake kanisa ni zaidi ya mataifa yote ulimwengu. Na zaidi ya yote kanisa ni mwili wake yeye mwenyewe, hivyo sote tu viungo katika mwili wake.
Kwa kulitambua hilo hilo Mkristo hakutakuwa kufurahia hii vita na vifo vinavyotokea huko Palestina, kama ambavyo waislamu wengi wanavyofuhia vifo vya huko Israeli. Mkristo anapaswa kuiombea Palestina kwa namna ya anavyoiombea Israel kwa sababu nchi zote zina ndugu zetu, yaani watoto wa Mungu ambao tunaungana nao katika mwili wa Kristo.
Wayahudi wengi kama ilivyo kwa wapalestina hawamtaki Kristo, wamemkataa, na kuweka sheria kali kwa ndugu zao wanaotamani kukata shauri, wengi wanajua Israeli ni nchi ya Kikristo lakini si kweli. Wakristo wengi hubaki katika andiko la kitabu cha
Hesabu 24:9
Aliinama, akalala mfano wa simba,
Na kama simba mke; ni nani atakayemstusha?
Na abarikiwe kila akubarikiye,
Na alaaniwe kila akulaaniye.
Tunaamini kwamba baraka zitapatikana kwa kuibariki Israeli hata katika machafuko, maana tutakapoilaani tutalaaniwa. Ndugu zangu baraka ya pekee ni kuwa na Kristo tuu, hatuna baraka nyingine iliyobakia. Sisi kanisa ni wakuu kuliko Israeli hivyo kazi yetu ni kuupatanisha ulimwengu na Mungu. Ulimwengu ni pamoja na Israeli wenyewe na Palestina, tutawaombea amani katika wakati kama huu na wokovu wa Mungu kwa sababu wengi wanaokufa hawana Yesu.
Hiyo ndiyo nafasi ya kanisa iliyobaki katika taifa la Israel, tuachane na Siasa na udini. Wote tunajua Palestina hawamuwezi myahudi na tunajua kinachotokea ni wapalestina kupigwa, ila mgogoro huu kwa kadri siku zinavyozidi huchochewa na itikadi kubwa ya udini na mwisho kuzidi kushika kasi Duniani. Mungu hafurahii mauaji.
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.
Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwa watu wao wengi wametekwa?
Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.
Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wanamgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Gaza? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.
Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapango yalio "very complex" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.
Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.
Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hamas.
Hamas wameshafanya yao, bado wana mateka kibao, wayahudi wanangoja nini?
Mara sababu ooh hali ya hewa, mara sababu ooh sijuwi nini? Kwa ufupi, hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha hu klKaskazini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja wazijaribu kwa kuipiga Tel Aviv. Waje tu.
Israel itaendelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa uso ndani ya gaza itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hamas wanaokitamani kifo cha kufashaheed" (martyr).
Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora kutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walioshikiliwa mateka. Na hilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja la chini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanacho kingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.
Haya wale ambao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.
View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4
Hilo lisikutishe kila kijana, watu wanafyatuana saa hizi chini ya ardhi kama pamya.Wanawake wanahitajika wakapanue miguu kule wazalishwe upya maana kizazi kinafutika, wewe ungekua mmoja wao sema tatizo ni Mwafrika na kama kawaida Waarabu hawapendi Waafrika, hata yule 'mungu' wako muddy alichukia sana weusi