Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Umevurugwa mujahedeen🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Maana yake wayahudi watapunguza mashambulizi ya anga na missiles wakati gari za nje za misaada zipo Gaza.

Huo ni ushindi kwa Wapalestina.
Kwa izo missiles zinakuwa bombed wapi Gaza yote au nirthern Gaza
 
Kwa izo missiles zinakuwa bombed wapi Gaza yote au nirthern Gaza
Sijakuelewa, uliza tena kwa utaratibu, bila kuchanganya lugha.

Kwa "bombed" unamaanisha zinaporushwa, zinapotunguliwa au zinapopiga?
 
Hizo zote ni porojo bila mpango. Mambo ni Gaza, wanamgambo wa Hamas wanawafanya mhororoje na kubwabwaja bila mpango.

Jana Iran, Saudi Arabia, Jorda, South Afica, wote hao wametangaza kimbembe kw Myahudi.
Wanamgambo wanaovaa hijab na kujificha ktk mashimo na hospitali!! Hawana hata kambi ya jeshi hata moja.
 
Hapana nifahamishe mkuu, pia internatio al stance ipoje kwa sasa pia?
Maana yake ni nyepesi sana, kiburi kinaanza kuwaishia.


Kimataifa, watu wamegawanyIka, kuwnzianrqia mpaka serikali. Wapo wanaounga mkono mazayuni waziwazi, wapo wanaounga mkono Wapalestina.
 
Wanamgambo wanaovaa hijab na kujificha ktk mashimo na hospitali!! Hawana hata kambi ya jeshi hata moja.
Hiyo ndiyo ajabu yenyewe, hawana jeshi, silaha zao nyingi za kuunda wao wenyewe lakini mpaka dakika hii wanalihenyesha moja ya jeshi tajiri na kali kabisa:

Your browser is not able to display this video.
 
Wanvyouliwa wapalestina kwa miaka 75 sasa hukuyaona?
 
Hii fresh, sasa hivi:

haraka

Kulingana na uvujaji tuliopokea
*Mawasiliano makali na ya dharura yanafanywa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu hususan Misri na Qatar ili kuishinikiza muqawama wa Palestina kukubali mapatano ya haraka kwa kisingizio cha kuleta misaada huko Gaza!!

Ukweli ni kwamba mapatano haya yaliombwa kwa dharura na Israel kutoka Marekani ili iweze kuwaondoa wanajeshi na magari yake kutoka kwenye kinamasi kilichoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa katika magari na maisha. Makumi ya magari na mamia ya wanajeshi wa Kizayuni walizingirwa ndani ya barabara za Gaza na hawawezi kurudi nyuma. Mbele ya upinzani huvizia!!

Idhaa za Kiebrania zimeanza kutangaza habari kuhusu kuanguka kwa idadi kubwa ya maafisa na wanajeshi wa Israel katika mashambulizi kadhaa yaliyowekwa kwa ajili yao na upinzani leo!!
Na ni jihadi ya ushindi au kufa kishahidi!!

"Israeli ilitamka
Pumzi yake ya mwisho

………………………………..
Tafadhali sambaza makala kwa upana iwezekanavyo

 
Jibu unajijibu halafu jibu hulioni, Israel wamechukua muda kuhakikisha raia wa Kipalestina wanaondoka eneo husika ili waweze shambulia waharibu miundo mbinu ya Hamas, fikiria kama wangepiga Gaza hapo hapo si leo unge vua hadi huo ushungi kwa kulia ? Huwa siamini kama wewe ni mwanamke unachat kama mwanaume naweza bet buku jero kwamba wewe ni mwanaume sio mwanamke
 
Wapalestina wanaendelea kupeleka moto Tel Aviv na Ashdod:

Your browser is not able to display this video.
 
Wanawake wanahitajika wakapanue miguu kule wazalishwe upya maana kizazi kinafutika, wewe ungekua mmoja wao sema tatizo ni Mwafrika na kama kawaida Waarabu hawapendi Waafrika, hata yule 'mungu' wako muddy alichukia sana weusi
Hilo lisikutishe kila kijana, watu wanafyatuana saa hizi chini ya ardhi kama pamya.


Usiwe na hofu, wakiibuka huko ni kuangamiza mazayuni tu, hawaelewi kingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…