Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Upuuzi tu..

#Justice for J.Mollel
Waulize mazayuni wamemfanya nini.

Umeingia kichwa kichwa ule uongo wa ile clip?
Uongo kama ule hata #@MK 254 toka ajifunze graphichs kila siku anauleta hapa JF.

Tatizo lenu mjomba wa mungu wenu yuko taabani huko kwa ushoga.
 
Kichapo cha kuwadunguwa kinaendelea:

Your browser is not able to display this video.
 
Hilo lisikutishe kila kijana, watu wanafyatuana saa hizi chini ya ardhi kama pamya.


Usiwe na hofu, wakiibuka huko ni kuangamiza mazayuni tu, hawaelewi kingine.

Wewe nyeusi hautakua wa msaada pale kwenye kupanua miguu maana muarabu hapendi nyeusi kama ambavyo muddy hakua anawapenda, itabidi waombe msaada kwa wanawake waarabu wenzao....

 
Wewe nyeusi hautakua wa msaada pale kwenye kupanua miguu maana muarabu hapendi nyeusi kama ambavyo muddy hakua anawapenda, itabidi waombe msaada kwa wanawake waarabu wenzao....
Your browser is not able to display this video.
 
Unapambania watu wasiopenda weusi, kule hautaruhusiwa kwenda kupanua miguu licha ya kwamba wanaisha
Tazama kamanda wa kikosi cha mazayuni yupo nyuma kabisa na jeep anaongoza kikosi chake anaporushwa na ma Ghosts wa Hamas hapo:

Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu naongeza buku jero hili dume kabisa
 
Leo wamekiri kuuliwa IDF 11, wayahudi wakisema wameuliwa 11 uelewe kuwa hapo ni 110.


View: https://youtu.be/UYyprwa-VLA?si=P7zc5Apgk68GC5SP
Wakikwambia wameuliwa 11Γ—100 wanaenda kuua 1100,
Hivi we mpumbavu hata nani alikupandisha ndege ukafika nchi zenye watu.?
Wenzio wanafanya mahesabu ya kufanya uzayuni wao mnaita.
Ili kesho wakimwaga damu wasilaumiwe.
Vita mahesabu tu.
Kula vibaba na tende na mandazi na chai hapo ulale.
Bill yako silipi utaletewa.
 
Uchambuzi wa kijinga...hebu njoo usome tena...bado Mayahudi wanashindwa!? Unashangilia vita ,huku wewe umekaa una paka wanja na kujifukiza udi.....!
 
Kwani wameanza leo kuuwa?

Wewe ndiyo maana mpaka leo unatawaliwa bila kujijuwa. Una fikra za kitumwa.
 
Ulipotoa uzi wa kushangilia kipindi Hamas wanavamia Israel, wakaua na kuteka raia
Wewe ni hatari sana kwenye jamii ukiwa jukumu hili
πŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘ŽπŸ‘Ž

Hivi wewe mpaka leo huwasifii Hamas?

Mwezi wa ngapi huu kikundi kidogi kimeyqsimqmishq majeshi ya Israel yakisaiwa na wamarekani, wahindi, na NATO yote.

Mie nawashangilia sana mpaka dakika hii. Wewe huwashangilii japo kisirisiri?
 
Hivi wewe mpaka leo huwasifii Hamas?

Mwezi wa ngapi huu kikundi kidogi kimeyqsimqmishq majeshi ya Israel yakisaiwa na wamarekani, wahindi, na NATO yote.

Mie nawashangilia sana mpaka dakika hii. Wewe huwashangilii japo kisirisiri?
Maisha mwangu huwa sishangilii mauaji (vita) ya aina yoyote ile.
Kitendo cha october 7 nilijua yatatokea makubwa hata watu kwenda ICJ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…